Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wewe tajiri unaemjua nchi hii ni domo tu.Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.
mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.