Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.

mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
Wewe tajiri unaemjua nchi hii ni domo tu.
 
Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.

mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
Fred Vunjabei sijawah mwelewa , jamaa ni Kiki Tu za mtandaoni , wenye pesa wanatumia brand yake kujinufaisha na yeye analamba tone kdogo , hzo lonya zake na operation cost zake huwez kuwa na Billionare status , labda kama anatumia kupata mikopo ya benki...
 
huyu dogo alipigaga mpunga wa mbolea za ruzuku enzi zile kaajiliwa gvt lakin pia mzee wake don wakinga wenye mawe biashara kibao hotels timber hajatoka kwenye umasikini mi ananikera tu anavyo mtreat mke wake walio chuma wote na kuendekeza malaya wa town fred mheshim mama. . mkeo ndio baraka zako ujue kina mobero ni wachunaji na walogi tu mkeo ndio kila kitu....alisikika mnywa ulaka mmoja akitapika.
 
Mshamba tu huyo hana hela yoyote ya maana nimpikie majungu wakuja huyo...hela yote inaishia kwenye kujitangaza aonekane tajiri mkubwa...yani hivyo viduka vya lonya ndio mnaona jamaa kayatoa? alafu hayo mambo ya simba usizungumze kwa wajanja utachekwa hiyo ni deal ya mwenye simba mwenyewe.

mitandao haisahau tutakuja kuwakumbusha.
Kwa ubahili wa huyu mwamba ni kweli hana pesa Kama anavyojimwambafai.
 
Beware of the Terms and Condition dudes....

Be careful!!
 
Hao jamaa bwana

Ni kawaida kukuta mmoja wapo kati yao Milioni Mia ngapi kwake ni hela anayoshika mara kwa mara ila anavaa kama masikini tu kuvaa mitumba mitumba wakati mtu anashika hela nyingi sana za kwake
Huyu ni Bill Gates .. Umeona amevaa simple sana Ila ni tajiri wa dunia. Mavazi haya define utajiri mkuu.
WhatsApp Image 2021-05-05 at 15.02.22.jpeg
 
Tanga hapo alishawahi kuja
Heeeeeh mbna sina habari km Gates alishawahu kuja huku home . Ukute alinogeshwa na mapenzi ya kitanga ka7bisha ndia yake kufa. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heeeeeh mbna sina habari km Gates alishawahu kuja huku home . Ukute alinogeshwa na mapenzi ya kitanga ka7bisha ndia yake kufa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Alikutana na za kwa mparange akadata mazima.
 
Alikutana na za kwa mparange akadata mazima.
kuna kitu atakua alichanganyiwa kwenye msoc huko Tanga akadata kabisaaa. Chezea Tanga ww 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tanga waja leo kurudi Majaliwa
 
kuna kitu atakua alichanganyiwa kwenye msoc huko Tanga akadata kabisaaa. Chezea Tanga ww [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tanga waja leo kurudi Majaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soon tutasikia Gates anajenga kasri lake Handeni. Mweeeeh
 
Back
Top Bottom