Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,010
Kwani hawa ni wakinga au Wachaga?Mkinga kuwa tajiri....
Kwao ni jambo la kawaida, hata usiumize kichwa.
KingaKwani hawa ni wakinga au Wachaga?
Unataka kusema sembe?ni nmesikia anazifua hizo pesa za madafu kwa kisingizio cha maduka ya nguo ila china ndo habari nzima mtaji ulipopatikana
Chakula lakini kuna ulaji unaona kabisa Huyu mtu anakula kwa ajili ya ubahili uliopitilizakwani kande sio chakula mkuu?
Kwani kuna ubaya gani kufahamu njia walizopita watu waliofanikiwa.Na wewe ungepambana tungekua tunakuandika saa hizi ila umekalia umbea. Unataka usikie anauza unga au ana utajiri wa uchawi ndio uridhike na roho yako
We matokeo ya shuleni kwake umeyajuaje ? Umesoma Iringa ? Yan umesoma Ruaha ?huyo jamaa kwanza shuleni hesabu alikuwa anapiga AA++,pili mzee wake alikuwa na bado ana mashamba mengi sana ya miti huko mufindi,kwao wana asili ya pesa,mtaongea yoote ila kijana ni mpambanaji and akili kubwa sababu familia yake ina access ya pesa since forever,so mtasema yooote ila huyo kijana atakuwa tajiri maradufu,hakuna uchawi wala ndumba,pamoja na kuwa ni kweli mkinga,lakini ametumia fursa za nyumbani kufika hapo alipofika...kudos fred!
Si mkinga tu yoyote yule ana fursa sawa katika kuyafikia anayotamaniaMkinga kuwa tajiri....
Kwao ni jambo la kawaida, hata usiumize kichwa.
elezea uzurini nmesikia anazifua hizo pesa za madafu kwa kisingizio cha maduka ya nguo ila china ndo habari nzima mtaji ulipopatikana
Na wewe ungepambana tungekua tunakuandika saa hizi ila umekalia umbea. Unataka usikie anauza unga au ana utajiri wa uchawi ndio uridhike na roho yako
Hiki ndio ulichotaka kusikiaelezea uzuri
hadi mwanamke aliyemuoa nimeishi nae mtaani,kifupi namjua vilivyo,ni hommie huyo,na wengine kibao wanaomzunguka hapo,so usiulize kuhusu matokeo yake,we know each other In and out..we grew together!
hilo jina la blinger its me ndiye founder mzee..We umekaa mshindo kwani ?? haina noma kama unamjua mtoto wa mzee mrema na kama unamjua basi umekaa mkimbizi aisee, unasema kina ray na blinger sio ? haina noma mkuu haina noma mkuu
Mkinga,anatokea Iringa!
Huyu jamaa nimemuona mara kadhaa akitajwa kama mjasiriamali mkubwa wa mavazi. Pia anatajwa kama mdau wa masuala ya burudani hususani mziki wa Bongo Fleva. Nimemuona akiwa katikati ya kundi la wasanii wa mziki na maigizo.
Gazeti la the Citizen limemuandika kama ni mjasiliamali kijana akijikita kwenye biashara ya mavazi.
Kabla sijamwagia sifa kama walivyofanya wengine, Nimejukuta nimetamani kumjua zaidi,kumjua nje ya box. Ametokea wapi.Amepambanaje.
Coz utajiri ni wa mashartiNi wabahili wakutupwa....
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Vijana wao , hawa watabadilisha kitu....
Ila wakinga wanafurahisha sana.
Mfano duka la mkinga la mtaani
Kwa ajili ya mahitaji ya Nyumbani....
Ila utakuta lina nguo, viatu, dagaa, spare za baiskeli,....
Kiufupi ni vurugu tupu.
hilo jina la blinger its me ndiye founder mzee..