hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha 😂 😂 daahKwaiyo nyie wote mutakuwa ni matajiri kama yeye au? Au ndo mpo mpo tu hamna mbele wala nyuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 😂 😂 daahKwaiyo nyie wote mutakuwa ni matajiri kama yeye au? Au ndo mpo mpo tu hamna mbele wala nyuma.
Kwahiyo Wabena salamu yao inasemaje?
Maana wamesema wanamjua, sasa huwezi juana na mtu tangu utotoni akatoboa na wewe ukabaki nyuma.Hahaha [emoji23] [emoji23] daah
Wapi mbona wengi tunawaona wanashikwa makalio na kushikishwa ukuta. Tamaa za kutoka zinawasumbua sana mashemeji wangu siku hizi.Hahah Wachaga kwa sasa wanamiliki viwanda na kuwauzia bidhaa zao wakinga waliopo hapo kariakoo.
Wachagga ilikuwa zamani, siku hizi hawa jamaa ni ulevi tu na kutomaswa makalioWakinga wameshawapindua wachagga.
Wachagga wamebaki kuwa Mamarioo, Pombe na Bange 🤣🤣🤣🤣🤣
Sambusa..hahaKande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?
vijana wengi ni "ma -pusher" hayo maduka kisingizio tu, mjini "form six" iga ufe!
Huyu jamaa nimemuona mara kadhaa akitajwa kama mjasiriamali mkubwa wa mavazi. Pia anatajwa kama mdau wa masuala ya burudani hususani mziki wa Bongo Fleva. Nimemuona akiwa katikati ya kundi la wasanii wa mziki na maigizo.
Gazeti la the Citizen limemuandika kama ni mjasiliamali kijana akijikita kwenye biashara ya mavazi.
Kabla sijamwagia sifa kama walivyofanya wengine, Nimejukuta nimetamani kumjua zaidi,kumjua nje ya box. Ametokea wapi.Amepambanaje.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sambusa..haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?
Weekend ijayo tuonane Chanika , tupige kitimoto hadi kikomeMkuu mimi unayeongea nae ni mkinga kwa hiyo network yangu asilimia kubwa ni hao. Unapoongea vitu kama hivi sikuelewi wala
Hee ;Tajiri gani kapanga flats za BOT Mbezi beach zimechakaa
Duuuh, hivi zile flats bado zipo aisee? Kitambo sanaTajiri gani kapanga flats za BOT Mbezi beach zimechakaa
Daaah wabongoTajiri gani kapanga flats za BOT Mbezi beach zimechakaa
Hiv Fred vunjabei alishindwa kweli kumshauri billionaire Shilla kwenye ile nembo ya duka lake la nguo pale sinza maana yake imefanana almost wholly ki-design na nembo ya born to shine ya B-dozen.
Huyu jamaa nimemuona mara kadhaa akitajwa kama mjasiriamali mkubwa wa mavazi. Pia anatajwa kama mdau wa masuala ya burudani hususani mziki wa Bongo Fleva. Nimemuona akiwa katikati ya kundi la wasanii wa mziki na maigizo.
Gazeti la the Citizen limemuandika kama ni mjasiliamali kijana akijikita kwenye biashara ya mavazi.
Kabla sijamwagia sifa kama walivyofanya wengine, Nimejukuta nimetamani kumjua zaidi,kumjua nje ya box. Ametokea wapi.Amepambanaje.
We nyau mekumiss.Once you get money kila mtu atajielezea anavyokufahamu, kweli pesa mwanaharamu
Wabongo hata ukipanga kwenye yatch ambayo si chini ya $100 per night bado watasema "Tajiri gani kapanga kwenye yatch ya mwaka 2005" wakati gharama ya kukodi chombo mwezi mmoja tu ni hela yake ya bando la miaka 10 ya kuandika upuuzi jf humu...Daaah wabongo
Nimeshasema humu Bongo ndio nchi inayoongoza kwa ;Wabongo hata ukipanga kwenye yatch ambayo si chini ya $100 per night bado watasema "Tajiri gani kapanga kwenye yatch ya mwaka 2005" wakati gharama ya kukodi chombo mwezi mmoja tu ni hela yake ya bando la miaka 10 ya kuandika upuuzi jf humu...
Hata Yesu alipotembea juu ya maji wapo wapumbavu kama wewe walisema ni kwa sababu hajui kuogelea.Tajiri gani kapanga flats za BOT Mbezi beach zimechakaa