Siku zote nilijua Fred Ni mchaga,na Ni kaka yake whozu...Humu kumejaa watoto wapumbavu tu, useless.
Huwezi kumkuta mtu mwenye akili zake timamu anakomalia huu upuuzi wa kikabila.
Vunjabei ni mkinga ila marafiki zake wakubwa ni wachagga kina Frank Knows, Whozu etc ndio wanaofanya nao biashara.
Kwahiyo hivi vichuki vya kikabila huwa ni vya masikini, hohehae useless tu wasiojua hata kesho kutapambazuka viipi.