amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Mambo gani binamu?Dunia inaenda kwa kasi , na vunja ndo mambo anayoyapenda hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo gani binamu?Dunia inaenda kwa kasi , na vunja ndo mambo anayoyapenda hayo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaaa hivi mtu ameenda shule na pesa ipo ananukaje?Ila Fred ananuka sana mapumbu mxieew ana mipaja minene utafikir matairi ya fuso mxieee[emoji23][emoji23]
Kama baba levo😁😁😂😂🤣🤣Pesa ikiwepo na elimu ikiwepo haziwezi kukatika.
Vunja bei kama vunja.
Kijana tajiriiiiiiiiii.
Ila instagram kuna upumbavu mwingi sana jana hilo bonge na Aristote wanakisifia kitanda cha vunja bei.
Yaani ukiwa chawa lazima ujitoe fahamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chawa wa kike daaa.Kama baba levo[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Uchawa kipaji aisee
Mi simjui jamaa ..ila we sio chawa,ulitakiwa uwe umemgandia fred kila atakapokuwepo yeye na wewe upo🤣..hukosi yan[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chawa wa kike daaa.
Itabidi Fred anilipe.
Lakini si ni kweli ameenda shule na pesa ipo au ninadanganya ndugu yangu?
Mkongo anajua sana kusifiaPesa ikiwepo na elimu ikiwepo haziwezi kukatika.
Vunja bei kama vunja.
Kijana tajiriiiiiiiiii.
Ila instagram kuna upumbavu mwingi sana jana hilo bonge na Aristote wanakisifia kitanda cha vunja bei.
Yaani ukiwa chawa lazima ujitoe fahamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa nini usiseme yeye anigande mimi?Mi simjui jamaa ..ila we sio chawa,ulitakiwa uwe umemgandia fred kila atakapokuwepo yeye na wewe upo[emoji1787]..hukosi yan
Yaani jamaa mwanzo nilikuwa namchukia lakini imebidi tu nimuelewe huyu mkango.
Wanaingia hadi chumbani anakolala mwanaume mwenzao?Pesa ikiwepo na elimu ikiwepo haziwezi kukatika.
Vunja bei kama vunja.
Kijana tajiriiiiiiiiii.
Ila instagram kuna upumbavu mwingi sana jana hilo bonge na Aristote wanakisifia kitanda cha vunja bei.
Yaani ukiwa chawa lazima ujitoe fahamu.
Nimeshangaa sana,Mwanaume kusifia kitanda cha mwanaume mwenzio,hapo kuna walakini........
Duh!!!umeyajuaje haya mkuu?Ila Fred ananuka sana mapumbu mxieew ana mipaja minene utafikir matairi ya fuso mxieee[emoji23][emoji23]
Hakuna chakula bora cha 2000, pale unakula ili usifeGood money management ndiyo siri ya utajiri. Huwezi kutajirika kwa kutanua. Ukitaka utajiri lazima uangalie matumizi yake. Mwenzake anapata chakula bora kwa gharama ya sh. 2000 (kande, maharage, mboga na ugali), wewe unatanua kwa gharama ya sh. 10,000 (steki, samaki, na wali). Mbana matumizi ana nafasi ya kupanua biashara yake tokana faida, wewe faida yako yote iaishia kwenye matumizi.
Tajiri anayejielewa anajali mwili wake na afya yake kwa kula balanced dietyaani utajiri kwa kujibana mpaka kula, na chakula bora ni kande,maharage na mboga za majani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah.
Hakuna tajiri anayejua makande.
Tajiri anayekula makande ni maskini aliyechangamka tu.
Hapo hakuna balanced diet sana sana unaongeza protein na carbohMakande ni bora kuliko sembe. Labda hujui tu kuyapika.
Mimi hakuna chakula ninachokipenda kama Ugali, dagaa, samaki, kande, maziwa, viazi.
Na mimi ni mgumu mnoo kujaribu vyakula vipya.
Nikivyokuja Dar, nilifosi kujaribu Uduvi, na sausages zikanishinda.
Balanced diet kwetu waswahili siyo laxima uipate kupitia the same meal.
Asubuhi tutakula maziwa viazi, mchana ugali nyama au samaki, usiku, wali maharage.
Matunda tunakula mitaani huko tukiwa kwenye mishemishe.
Imagine tajiri anajibana mpaka kwenye mlo eti makande.Tajiri anayejielewa anajali mwili wake na afya yake kwa kula balanced diet
Umeanza binamu looh!Ila Fred ananuka sana mapumbu mxieew ana mipaja minene utafikir matairi ya fuso mxieee[emoji23][emoji23]
Hela zao si legit na zina terms ngumu sanaImagine tajiri anajibana mpaka kwenye mlo eti makande.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huyo mshamba analipa watu wamuimbe yeye ni tajiri anaangaika na mademu wanuka kwapa wa bongo movie ili azungumziwe...sio wa kwanza huyo tumeona wengi haswa hao wauza nguo leo hii imebaki hadithi wapiii kina makoba
usifananishe kabisa muuza nguo lonya na watu wanaoeleweka
Target yangu ni kuonesha kuwa, wengi wetu hatutumii vyakula vyote kwa wakati mmoja.Hapo hakuna balanced diet sana sana unaongeza protein na carboh