Fred Ngajiro vs Sheria Ngowi?

My future generations are busy discussing nonsense staff rather than discussing the current economic status of their country we have a long way to go
Ukisema unaambiwa nenda jukwaa la siasa.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Sio lazima wala haina afya kujadili mda wote hayo unayodhani ni mambo ya msingi, elewa unashauriwa na matabibu kufanya mazoezi ili kujenga afya nzuri ila sio ndio ufanye mda wote, waache watu warefresh mbongo zao baada ya mikikimikiki ya kutafuta ugali wa familia zao

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ni watanzania wangap wanaweza kununua nguo kwa elfu 50?
Acha nguo zipatikane katika bei ambayo majority wana afford ili kupunguza zile copy mtaani. Maana vita dhidi ya maharamia si ndogo. Ila miongon mwa namna ya kupunguza hao maharamia ni nguo kupatikana katka bei amayo wengi wanaweza ifikia
 
Nakumbuka ushindani WA Jersey alieanzisha ni Simba,
Sa nashangaa saiv hawataki midahalo ya jersey.
Umesema jambo la msingi sana nimetaka kulisema mda mrefu mno kwenye mijadala hii ya jezi. Ni vizuri umewakumbusha wenzio kuwa pioneer wa kuthaminisha jezi ni nani. Hawa waliokuja baadae au tunaweza kuwaita "wakuja" eti ndiyo wanataka kuifundisha Simba kuhusu masuala ya jezi.

Simba siku zote anaonyesha njia halafu wengine wanafuata. Aliyekuzidi amekuzidi tu.
 
Akitokea wa kukupinga, basi wewe mlete tu kwangu nimcharaze viboko.
 
Umekurupuka read between the lines
 
Majezi yote ya timu zote mbili, ni makorija yslioshonwa hovyo kienyeji na kubuniwa hobela. Material dhaifu, na maandishi ya maandishi ya wadhamini ambayo ukifua yanafutika. Watu wanaingia mkenge tuu kwa mahaba ya timu kudanganywa jezi ni nzuri. Mbunifu Bora wa jezi za mpira Tanzania ni DISMAS TEN tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…