Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

Kwao Makete Huyu, anamuashia Taa Yule Mbunge Wa Makete Anaitwa Sjui Seneta Sanga [emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio ila ata dar anaweza, mana sikuizi makaazi ya mtu kwa mda wa 5+ years inakufanya uwe mkazi wa eneo husika na kufaidika na fursa za hapo. Plus ana hela na elimu and hes smart, na kwenye siasa hela ni kila kitu. So 2025lazima ale ubunge kwa hatua hiyo.
 
Nice and smart. Mipango ya kuingia bungeni 2025. Km hamuamini tusubiri 2025
Ambacho si kitu kibaya kwakweli kama nia yao ni kutumia uzoefu wake, uthubutu wake na maono yake katika nyanja ya vijana kujikwamua kiuchumi na kuwa na mchango mali kwenye ustawi wa jamii zao na nchi yao.

Japo intuition yangu inataka kuniaminisha kuwa kilichomuweka hapo na wanachokitarget wananzengo wale walioomba msamaha kwa wananchi kwa makosa yasiyojulikana mara baada ya JPM kwenda zake: ni ushawishi wa mfuko wake na si akili zake.
 
mshikaji wetu seneta sanga kaa mguu sawa hapo makete. dogo anakuja kwa speed ya bus la sauli
Kuna dogo nilimuacha chuo miaka 2, amemaliza chuo 2020 akachukua fom ya ubunge mbeya. Nilicheka sana nikamwambia dogo km utapata kura 10 kwenye maoni tu bas umeshinda. Alidhani ubunge ni km uvccm, ni rahisi tu na mtu hohehahe anapata!!! Aendelee kujipanga tu
 
Ambacho si kitu kibaya kwakweli kama nia yao ni kutumia uzoefu wake, uthubutu wake na maono yake katika nyanja ya vijana kujikwamua kiuchumi na kuwa na mchango mali kwenye ustawi wa jamii zao na nchi yao.

Japo intuition yangu inataka kuniaminisha kuwa kilichomuweka hapo na wanachokitarget wananzengo wale walioomba msamaha kwa wananchi kwa makosa yasiyojulikana mara baada ya JPM kwenda zake: ni ushawishi wa mfuko wake na si akili zake.
Vyote viwili ila na yeye atafaidika zaidi. Biashara zake zitanyooka sana. Dunia ya sasa lazima uliwe ndo ww ule zaidi, nukuu ya JK
 
Kuna dogo nilimuacha chuo miaka 2, amemaliza chuo 2020 akachukua fom ya ubunge mbeya. Nilicheka sana nikamwambia dogo km utapata kura 10 kwenye maoni tu bas umeshinda. Alidhani ubunge ni km uvccm, ni rahisi tu na mtu hohehahe anapata!!! Aendelee kujipanga tu
Kama huna pesa na unataka siasa, inakubidi uwe na hoja na uanzie vyama vidogo uonekane.
 
Vyote viwili ila na yeye atafaidika zaidi. Biashara zake zitanyooka sana. Dunia ya sasa lazima uliwe ndo ww ule zaidi, nukuu ya JK
Ni nukuu mbaya sana[emoji1787]
Naprefer lazma upande ndo uweze kuvuna.[emoji1614] Kupanda sio lazma kuwe kwa kuliwa..unaweza kupanda kwa kuwekeza.
Hizi nukuu za hawa wahuni wahuni ndo hizi zinatumika kutuambia hatuwezi kuishi kama tupo kisiwani na wakati miaka mi5 tumeishi na hakuna mtu kati yao alifia kwenye hiyo kisiwa zaidi ya kunawiri.
 
mshikaji wetu seneta sanga kaa mguu sawa hapo makete. dogo anakuja kwa speed ya bus la sauli
Festo Sanga anakubalika mno Makete na kwa bahati nzuri watu wa kule hawaangalii Pesa, wanaangalia utu zaidi!

Festo anakubalika mpaka na upinzani
 
Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna

----
Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchumi, Uwezeshaji na Fedha kupitia kikao cha Baraza Kuu ambacho kimemalizika jana Makao Makuu ya CCM Dodoma.

Kamati ya utekelezaji chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komredi Kheri James ilikuja na pendekezo la jina la mwenyekiti huyo wa kamati ambapo baadae alithibitishwa na wajumbe kwa kura nyingi za ndio huku katibu wake akifahamika kwa jina la Rose Manumba, Baraza lilichagua wajumbe wengine wanne wa kamati kutoka bara na visiwani.
Safi sana,Mwamba,kwa mbaaali nauona ubunge huoooo,
Hawa ndio wanafaa kuwa mawaziri na kuwa kwenye kamati kuweka mipango ya kupunguza ajira,sasa unamuweka mtu kama Katambi au Jenesta muhagama au mavunde atafute suluhisho la ajira wakati yeye mwenyewe hajawahi kujiajiri na huo uwaziri na ubunge ndio ajira yake ya kwanza baada ya shule,kama hakuwahi kujiajiri anaweza vp kuwaeleza vijana jinsi ya kutengeneza ajira
 
Back
Top Bottom