Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Angalia Jezi za Lipuli, yeye ndio mtengenezaji.Simba na manara wao wameukoga ngoja tuone hizo jezi OG china
Wewe huwa unanunua wapi nguo??Vunja bei hana nguo nimataputapu tu wallah nimezunguka kutafuta nguo kali na unique maduka ya kino, sinza na kariakoo na nimekosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna madogo watajua huyu Rayvanny.
mi huwa sijui naanzaje kuingia kwenye yale maduka yake....nafikiri wa mikoani hasa wasukuma ndiyo walengwa wake wakubwaSiku moja nilitaka nikamuunge mkono nikaenda kwenye moja ya duka lake aisee zile nguo hasa suluali sio za kuvaa mwanaume mwenye heshima zake au kunithamini. Zinawafaa wanyoa viduku tuu.
Nimeshangaa sana Kusikia kuwa anauza vitu original!!Maronya ronya yamejaa pale dukan ikwake sinza
Sina nia mbaya ya kumkatisha tamaa lakini ukweli hakuna nguo original pale. Ambayo haichuji rangi labda ununue kofia nyeupe na shati jeupe tofauti na hapo utavaa wiki mbili unadekia nyumbaNiliwahi fika kwa duka la vunjabei pale Sinza
Ni uchafu ni vurugu
Hakuna original zote ni made in China toleo la nne vichochoroni Guangzhou
Nguo zinachuja rangi hatari
Ni bora uende Kariakoo kuliko vunjabei (ni maoni yangu tu)
kuna tofauti kubwa kati ya OG mtumba na mpya feki za Vunja bei.....hiyo 20,000 unaweza kitu matata sana kwenye mtumba OGBiashara huria. Ukitaka maduka ya nguo zako yapo mengi, ila usimlazimishe audhe nguo za bei ghali, wakati wateja wengi anao watarget yeye ni wa kipato kidogo. Ndo strategy ya biashara yake. Hizo unazozitaka nenda pale maduka ya Mlimani City utazipata na bei yake imesimama vile vile. Lakini usijipende kutaka vitu original wakati bajeti yako 20000
Nitampeleka baby wangu Karucee akadake zake Gucci OG
Kuna dada hapo chini ya duka lake (lenye ghorofa) ukweli anauza vitu original kama vya South kabisa japo bei mbaya. Gauni unapata kuanzia 120,000 kwenda juu.Mimi juzi tumepitia hapo tulipata dharura mtoto aliumwa tukasema hebu tupate viwalo tuunge hospital. Kwanza walirudi na fungu la nguo... yaani hata ronya ya miaka ile kariakoo ina nafuu. Sema bei na nguo vinaendana kiasi japo ilibidi iwe less zaidi aisee.
duka gani unaliaminia kwa pamba kaliWe acha tu zile nguo huwezi vaa raia wakakuelewa labda vunjabei mwenyewe...yale ni matambara
wapi original zinapatikana?Niliwahi fika kwa duka la vunjabei pale Sinza
Ni uchafu ni vurugu
Hakuna original zote ni made in China toleo la nne vichochoroni Guangzhou
Nguo zinachuja rangi hatari
Ni bora uende Kariakoo kuliko vunjabei (ni maoni yangu tu)
ni mkinga kumbeAnauza kwa jina huyu mkinga
Basi hatakuwa hajanielewa kweli kweli yaani pamba zipeperushe ndege wangu...Unataka akakuache mazima maana zile nguo nadhani hatozipenda kabisa ataona unamdhalilisha
viatu vipi?Nimevaa surual zake. N kweli tupu Sasa usirogwe. Ukafua ndo utajua nn maana ya vunja Bei
toa location mzeeJuzi juzi walikuwa na punguzo.. niliangiamo mwana wane kufanya yangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].. mle kuacha milioni kadhaa ni kawaida kabisa
Ngoja wakuonyeshe zile za T-shirt moja 100k kupanda juu...wapi original zinapatikana?
mzee unaweza ukaongeza maelezo kidogo kuhusu nguo o.g kupatikana southNguo og zipo south si hapa bongo hapa ni michina tu
inapatikana wapi?Streetsoul pia
walikuchukulia poaVubja Bei
Nliingia kwako nkawa nachagua jins ..nkaambiw 19 skupata hata moja, Kuna upande nkaona jins na kadet zile men zenyew, huwez Amin wakanambia hz vip huruhusiw kuchagua zna watu wake , nkasema Kwan shngap hawakutaja Bei, af nikwachek wauzaji ni wengi wengne sjui magay hata skuelewa af jinz zenyew walisema nschague ni za 35 tu