Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Me nadaiwa Mil.11+Mil 7!! ,Bora sikuwahi kukopa
Daaah ulisomea civil engineering nn 🤯 🤣🤣🤣🤣Me nadaiwa Mil.11+
Jesu daaaah unaishije sasa mkuuu 🤔
Show off at its best tu kwani alishindwa kuficha si lazima kila mtu ajue kuwa kalipaKwa hadhi na uwezo wake; miaka yote hiyo alishindwa kulipa 7.3M!!? 🙄
Pesa ya kununua crown kabisa Mkuu!!!Me nadaiwa Mil.11+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila umeandika kwa hasira mkuu.Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Mkuu, naona umefoka hadi mate yamerukia huku...😜Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Mkuu we unadhani unailipa kwa mkupuo? Wao faida watapataje?Kwa hadhi na uwezo wake; miaka yote hiyo alishindwa kulipa 7.3M!!? 🙄
Wangeandika kiswahili tu.Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Nimejiuliza sana aisee kazi ipo yani kila siku huwa nasema hizi barua wanazichukua tu zilishakuwa composed na tahira mmoja hana akili wanazibandika majina ya watu na anwani zao halafu wanaweka amount then wanaprint, hawazisomi, hii nchii ina ufala mwingi sana mzee wangu...Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Kabisa, huyo anaweza kuona neno ‘Liquidate’ kwenye mkataba akajua kwamba ndio tunalipa na kumaliza deni la taifa, kumbe ndio mali zetu Ikiwemo bwawa ndio vinakuwa ‘Liquidated’....Wangeandika kiswahili tu.