Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Kuta zinaficha mengi na haiba ya nje inaweza kukinzana na yaliyo ndani.

Kwa hali ya kawaida alipaswa kuwa dream woman wa wengi, ila cha ajabu mahusiano yake huwa yanaishia kuachwa kimya kimya na wahusika kubaki na jibu la 'no comment'.

Anyways subiri nitupiemo karata zangu, nikifanikiwa nitaleta mrejesho wa yaliyomo kama yamo.
hivi si alitaka kumuoa mzee machache?
huyo katibu wa wamama aliwahi kuwa demu wa machache, iliposhindikana kuoa ndipo machache akaenda kwa klyn
 
Mungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.

Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.

Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.

Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
Sio busara kupata hao wanaume wa maana nayo bahati kama unavyosema Mungu hakupi vyote
 
Yule dem zzk aliwahi kumla , walipoachana akasema jamaa nguvu kidogo , yule ni malaya kama malaya wengine tu, halafu huyo dogo alivamia mji amebaki kubeba videm ili atrend mjini
Na huyo uliyemtaja kuwa Kamla kwa tunaomjua ni kwamba kama akikupitia / akikukula basi anza kujiandaa kuyaanza Maisha mapya ya kuishi kwa matumaini kwani Yeye alishayaanza Siku nyingi mno.
 
Sijaelewa kitu hapa..
Kwamba diva kazaa na fred watoto watano?

Sasa hao wanaume wengine walikua wanamtia lini au ni hukohuko katikati ya hao watoto watano?

Manake watoto watano tunazungumzia mahusiano ya miaka 10+
Yawezekana hao Wengine anawachukia kwakuwa walikuwa ni Wadau wa Chama changu cha kupenda kupita Vumbi Road na siyo Lami Road kuliko zoeleka na Wengi.
 
Mungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.

Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.

Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.

Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
Kumekucha.... Kudadadeki.
 
@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.

Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.

Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel

Chanzo Taarifa: manaratv

Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Diva yupi? yule wa mganga?
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai

Tangu lini Mwanaume anayetoa hela nyingi akabezwa

Hata kama atakuwa anamkaza kimoja chali lakini atasifiwa kwenye makamera, wakati behind the scenes kuna Mwamba anampelekea moto ile ile 🙌
🤣🤣🤣🤣🤣

Yule mganga alikuwa hamkuni haswaa??

😂😂😂😂

Kinachowaridhisha wadada ni pesa. Nimeamini
 
Back
Top Bottom