Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Labda ni mambo ya kibiashara zaidi, hivi hawa watu maarufu hawaonagi pisi kali huko mtandanoni??

Wanachukuaga wachovu wachovu tu, chuma kinasoma miles kibao.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Yule mganga alikuwa hamkuni haswaa??

😂😂😂😂

Kinachowaridhisha wadada ni pesa. Nimeamini
Usikute tofauti yao sio namna ya kukuna, isipokuwa Ukubwa wa Kibunda

Mwenye kibunda kikubwa ndiyo ataonekana mtaalamu wa kukuna...
 
@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.

Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.

Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel

Chanzo Taarifa: manaratv

Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Sio pesa.
Ni ulimi tu. Hata wewe ukiutumia vizuri utapendwa kupitiliza.
 
Usikute tofauti yao sio namna ya kukuna, isipokuwa Ukubwa wa Kibunda

Mwenye kibunda kikubwa ndiyo ataonekana mtaalamu wa kukuna...
It's obvious
Yaan mwanamke ni rahisi kumkojolesha ukiwa na pesa. Otherwise Kama huna kibunda inakuwa unamchosha na mastaili yako ya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom