Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 144
Msimamo wangu,na haujabadilika bado,kuwa ndani ya CCM hakuna wa kujilabu kuwa ni mpambanaji wa ufisadi,hauwezi kuwa katika kundi la shetani ukabakia kuwa malaika,vitu tofauti,mtu akijiona tu anataka kuwatetea Watanzania wanyonge,masikini,wanaoporwa mali zao na majizi ya chama tawala,hatokubali katu kubakia ndani ya kundi la watu(CCM),lililozaa,kulea na kukuza uhalifu huo.
Nikasema, kuwa hao akina Mwakyembe,Mama Kilango,S.Malecela,Ole Sendeka n.k wanaodaiwa kuwa ni makamanda wa vita zidi ya ufisadi,ni wapigaji zogo...mashetani katika kundi lao wakijifanya malaika....mpiganaji wa ufisadi hataweza kukaa CCM hata dakika moja...Mh.Fred Mpendazoe...ni mfano wao...na wangine wanaoumwa kweli,si bla bla bal...waige mfano wake.
Nikasema, kuwa hao akina Mwakyembe,Mama Kilango,S.Malecela,Ole Sendeka n.k wanaodaiwa kuwa ni makamanda wa vita zidi ya ufisadi,ni wapigaji zogo...mashetani katika kundi lao wakijifanya malaika....mpiganaji wa ufisadi hataweza kukaa CCM hata dakika moja...Mh.Fred Mpendazoe...ni mfano wao...na wangine wanaoumwa kweli,si bla bla bal...waige mfano wake.