TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Wachaga pia ni wezi,tunawajua wala huna haja ya kupiga tilalila saaana.
 
Wakati huo kama sikosei mnyantuzu Philipo Ndaki akiwa mwenyekiti wa washiriki Tanzania,,
Watu walipiga hela..
 
Nimesikia Jamaa amekufa kwa corona. Ivi wakina mangi wameikosea nini corona!!!!! Mbona yawapukutisha mno. Kipindi imeingia iliwasomba sana nikawa najiuliza kilikoni awa ndugu zangu


Poleni sana, Mungu awape subira
 
RIP big man.

One thing for sure is you've loudly left a lesson, one can be rich without bieng famous!

To the young thirsty bloods out there, aim for the money Not the fame!!!

Chief, ile Dr dre pia ni yako?
 
Nimesikia Jamaa amekufa kwa corona. Ivi wakina mangi wameikosea nini corona!!!!! Mbona yawapukutisha mno. Kipindi imeingia iliwasomba sana nikawa najiuliza kilikoni awa ndugu zangu


Poleni sana, Mungu awape subira
Mapombe na makitimoto ndugu yangu..yana pukutisha kinga ya mwili...ndio mana wengi wanaugua mavisukari..so korona ni kama kumsukuma mlevi tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha kudanganya watu wewe, wewe ni mchagga haswaa. Tangu lini mchagga akakubali mwanae aolewe na kabila jingine tofauti na chagga!!! Hata kama wapo huenda ni wachache sana. Acha Walete feedback apa kama wamesalimika.
 
Ndivyo ilivyo mkuu,halafu mwendazake alikuwa akiwapiga vita mno kutokana na majina yao ya ukoo,hakufahamu tu kuwa hawa ndiyo waliokuwa wakimsaidia kutimiza ndoto yake ya tanzania ya viwanda.
Acha uongo aiseee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…