TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Ule mjengo mpaka leo ni wa kisasa, jamaa alikua mbele ya muda aisee, pia alikua humble and down to earth. We bado upo hayo maeneo?
Hapana niliondoka kipande hiyo siku nyingi Sana hata hiyo Complex ya Matanda ndio nasikia SASA. Zamani kule viwanja bei ilikuwa bure watu walikuwa wanaogopa uchawi.
 
Hakuna kitu kigumu kukitunza Kama utajiri- inahitaji succession plan ya nguvu- matajiri wengi wa shy- hawakuwekeza kwenye elimu ya watoto wao- watoto wao wengi waliendekeza starehe- na ndio waliofilisi wazazi wao- mbali na Hawa matajiri wa shirecu- huko nyuma kulikuwa na matajiri wa kiaarabu- kina Zege- mwanamduni- super diga- Hamndani- seif Hotel- shinyanga welding- wengi wao wamechoka- kidogo phantom ndie hajateteleka sana-kwa muda mrefu Yuko juu- walitutesa sana- ngoja twende sawa kidogo- Kama tuliosoma mwenge primary na Buluba- ilikuwa ni shida Sana. Hawa wachaga kina shoo na kina Gaki- anagalau wanawekeza kwenye vitu vya maana- kuliko hao waarabu na Ex- shirecu- wao ilikuwa ponda mali- kufa kwaja.
 
Hakuna kitu kigumu kukitunza Kama utajiri- inahitaji succession plan ya nguvu- matajiri wengi wa shy- hawakuwekeza kwenye elimu ya watoto wao- watoto wao wengi waliendekeza starehe- na ndio waliofilisi wazazi wao- mbali na Hawa matajiri wa shirecu- huko nyuma kulikuwa na matajiri wa kiaarabu- kina Zege- mwanamduni- super diga- Hamndani- seif Hotel- shinyanga welding- wengi wao wamechoka- kidogo phantom ndie hajateteleka sana-kwa muda mrefu Yuko juu- walitutesa sana- ngoja twende sawa kidogo- Kama tuliosoma mwenge primary na Buluba- ilikuwa ni shida Sana. Hawa wachaga kina shoo na kina Gaki- anagalau wanawekeza kwenye vitu vya maana- kuliko hao waarabu na Ex- shirecu- wao ilikuwa ponda mali- kufa kwaja.
Umenikumbusha kwa Zege. Mtoto wa Zege Abdallah nae alikuwa na Malori na alikuwa na ukwasi. Tena kwake ilikuwa karibu na Buluba,then kwa Mwandu,Kwa Matondo,Kwa Phantom,Kwa Bob Makani. Matajiri wa Shy hasa wasukuma wakifa ndo mwisho yaani.
 
Duuh..walitisha aseee..[emoji28][emoji28]..naskikia mwenyekiti ngwani alikua akiingia makao makuu anatoka na gunia la pesa...kipindi hicho

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Edward alikuwa hatari. Na alikuwa hapatani kabisa na Pius Ng'wandu. Hadi Askofu Barina aliwapatanisha. Edward alikuwa na power sema mwishoni kafa hana ukwasi kama kipindi cha Shirecu. Sema alifanikiwa tu kuacha wanawake Sita official na watoto wengi mno,michepuko ndo usiseme.
 
Edward alikuwa hatari. Na alikuwa hapatani kabisa na Pius Ng'wandu. Hadi Askofu Barina aliwapatanisha. Edward alikuwa na power sema mwishoni kafa hana ukwasi kama kipindi cha Shirecu. Sema alifanikiwa tu kuacha wanawake Sita official na watoto wengi mno,michepuko ndo usiseme.
Na hili ndiyo tatizo letu watu wa kanda ziwa . Ukiwa na mali na family nayo inakuwa extended . Ukiwa na mali wanawake wengi na watoto kibao. Hapo hiyo mali itadumuJe ?!
 
Hakuna kitu kigumu kukitunza Kama utajiri- inahitaji succession plan ya nguvu- matajiri wengi wa shy- hawakuwekeza kwenye elimu ya watoto wao- watoto wao wengi waliendekeza starehe- na ndio waliofilisi wazazi wao- mbali na Hawa matajiri wa shirecu- huko nyuma kulikuwa na matajiri wa kiaarabu- kina Zege- mwanamduni- super diga- Hamndani- seif Hotel- shinyanga welding- wengi wao wamechoka- kidogo phantom ndie hajateteleka sana-kwa muda mrefu Yuko juu- walitutesa sana- ngoja twende sawa kidogo- Kama tuliosoma mwenge primary na Buluba- ilikuwa ni shida Sana. Hawa wachaga kina shoo na kina Gaki- anagalau wanawekeza kwenye vitu vya maana- kuliko hao waarabu na Ex- shirecu- wao ilikuwa ponda mali- kufa kwaja.
Umesema ukweli mtupu..familia nyingi zimechoka na yamebaki magofu tu..wachache sana walio weza kumaintain mpaka leo hii.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Edward alikuwa hatari. Na alikuwa hapatani kabisa na Pius Ng'wandu. Hadi Askofu Barina aliwapatanisha. Edward alikuwa na power sema mwishoni kafa hana ukwasi kama kipindi cha Shirecu. Sema alifanikiwa tu kuacha wanawake Sita official na watoto wengi mno,michepuko ndo usiseme.
Huyu ndio kidume..aliishi falsafa ya wanyantuzu..ukikosa mali basi usikose hata watoto..[emoji28][emoji28]

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha kwa Zege. Mtoto wa Zege Abdallah nae alikuwa na Malori na alikuwa na ukwasi. Tena kwake ilikuwa karibu na Buluba,then kwa Mwandu,Kwa Matondo,Kwa Phantom,Kwa Bob Makani. Matajiri wa Shy hasa wasukuma wakifa ndo mwisho yaani.
[/QUOpia kuna wafugaji matajiri- Apàche na Gedi- jirani ya matondo na Bob
 
Hakuna kitu kigumu kukitunza Kama utajiri- inahitaji succession plan ya nguvu- matajiri wengi wa shy- hawakuwekeza kwenye elimu ya watoto wao- watoto wao wengi waliendekeza starehe- na ndio waliofilisi wazazi wao- mbali na Hawa matajiri wa shirecu- huko nyuma kulikuwa na matajiri wa kiaarabu- kina Zege- mwanamduni- super diga- Hamndani- seif Hotel- shinyanga welding- wengi wao wamechoka- kidogo phantom ndie hajateteleka sana-kwa muda mrefu Yuko juu- walitutesa sana- ngoja twende sawa kidogo- Kama tuliosoma mwenge primary na Buluba- ilikuwa ni shida Sana. Hawa wachaga kina shoo na kina Gaki- anagalau wanawekeza kwenye vitu vya maana- kuliko hao waarabu na Ex- shirecu- wao ilikuwa ponda mali- kufa kwaja.
Hao kinda Gaki, Shoo na Mbuzi (jambo) walikua wajanja unaona wamekuja kudivert funds na kujenga viwanda tofauti na kutegemea pamba
 
Back
Top Bottom