TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Wanyantuzu walikua na shida sehemu, wengi walikufa kwa ngoma wakaacha majumba huko mwasele yanamilikiwa na watu wengine.
Umenikumbusha Mzee Kiloba. Huyu alikuwa manager Lugulu. Kipindi tupo watoto kabisa. Mkewe alikufa kwa ngoma na yeye akamfuata. Walikuwa na bonge la nyumba Mwasele. Mwasele ilijaa wanyatunzu. Kina Magulu wadogo wawili nao ngoma iliwapeleka.Hivi mzee Mahongo bado yupo Mwasele ?Shirecu ltd 1984.Shirika hata miaka 20 halikufikisha likaanza kuyumba mpaka kufa. Edward Ng'hwani aliliua shirika kwa kuendeleza unyantuzu.
 
Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati

Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Naona unajisifia na kabila lako mangi
 
Besti ulipoteaga wapi? Kuna umbea flani niliupata yule rafiki yako kwenye wizara ya mafuta Trondheim alipataga kashfa akasimamishwa ikawa gumzo na umbea kwa mikusanyiko ya wabongo. Lakini baadaye amerudishwa. Si unajua wabongo kwa umbea.

Magonjwa Mtambuka
Wabongo,ndo maana mimi sitaki mazoea nao kabisa.Kama karudishwa safi sana kawaziba midomo yao.
 
Umenikumbusha Mzee Kiloba. Huyu alikuwa manager Lugulu. Kipindi tupo watoto kabisa. Mkewe alikufa kwa ngoma na yeye akamfuata. Walikuwa na bonge la nyumba Mwasele. Mwasele ilijaa wanyatunzu. Kina Magulu wadogo wawili nao ngoma iliwapeleka.Hivi mzee Mahongo bado yupo Mwasele ?Shirecu ltd 1984.Shirika hata miaka 20 halikufikisha likaanza kuyumba mpaka kufa. Edward Ng'hwani aliliua shirika kwa kuendeleza unyantuzu.
Mwenyekiti Ngwani..daah enzi hizo..kimsingi shirecu ilikua ni [emoji91][emoji91]..wakina sull..kabizi..minzi..mbogo..kunze..magulu..kiloba ..na wengine wengi..hakika wanyantuzu walitake over.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Sulla last time napita Shy alikua na ka saccoss pale NSSF naona bado anajitahidi kujifanya boss.
Hivi GM Sulla bado yupo ?Kweli Shirika lilijaa wanyantuzu. Kumbuka Edward Ng'hwani ndo alikuwa mwenyekiti wa Shirecu. Sema Ukimwi kweli uliwamaliza. Kuna mjomba wangu pia alikufa alikuwa manager wa Ginery moja ya Shirecu [emoji24]
 
Pale Shy hakuna watu walikufa kwa ngoma kama wafanyakazi wa shirecu, aisee we utakua umekaa sana hapo mzee
Hawa walikuwa wanakojoa bar halafu anamuambia muhudumu deki halafu anamlipa hapo hapo. Ndio hawa walianzisha mfumo wa kununua bia kreti, wanajaza kwende ndoo ya lita 20 zote halafu wanachota kwa kikombe. Matajiri wengi wa shinyanga, bariadi na mwanza msingi wao mkubwa ulitokana na NCU na SHIRECU.

Na pia jeshini enzi za msuguli yaelezwa imetajirisha sana wengi.
 
Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.

Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi leo Shirecu imejaa wasukuma. Sasa hivi General Manager wake ni jamaa moja anaitwa Hans ni Mnyakyusa, ila staff wote ni full wasukuma. Ila hivi vyama vilikuwa Giant sana, hadi Nyerere unaambiwa aliviogopa.
 
Back
Top Bottom