Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kuaga leo saa kumi kkkt mbezi beach
Karibuni
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa paulo hawana kitu ni walevi tuKina Paul na Edward Ng'hwani. Malori yao yaliitwa Rehema za Mungu. Wote wawili wameshaaga dunia. Utajiri kwishney. Watoto wao wana maisha ya kawaida tu.
Guest zao zimebaki maghofu rum itakua buku 5Enzi hizo jina Ngwani lilkua ndio jina kubwa Shy..walikua na hela sana hao jamaa..na gari zile za neema ya Mungu..hatari sana asee...sema kila zama na vitabu vyake.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Si angemwachia hata mdogo wake. Au mkewe. Duh unamwachia fisi bucha jamani......
Huyo ni Minzi mdogo. Minzi mkubwa ndo alikuwa manager na alikuwa na pesa. Ingawa minzi mdogo wa Ngokolo nae alikuwa mhasibu Shirecu. Walijua kupeana kazi.
Umenikumbusha Mzee Kiloba. Huyu alikuwa manager Lugulu. Kipindi tupo watoto kabisa. Mkewe alikufa kwa ngoma na yeye akamfuata. Walikuwa na bonge la nyumba Mwasele. Mwasele ilijaa wanyatunzu. Kina Magulu wadogo wawili nao ngoma iliwapeleka.Hivi mzee Mahongo bado yupo Mwasele ?Shirecu ltd 1984.Shirika hata miaka 20 halikufikisha likaanza kuyumba mpaka kufa. Edward Ng'hwani aliliua shirika kwa kuendeleza unyantuzu.Wanyantuzu walikua na shida sehemu, wengi walikufa kwa ngoma wakaacha majumba huko mwasele yanamilikiwa na watu wengine.
Nilisoma na watoto wa huyo Minzi mdogo, kuna kipindi alikatwa mguu
Ngokolo waliiuza kwa mwarabu. Usiombe kuishiwa.Yaah..kule ngokolo..walikua na nyumba kali sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata koti la suti ni Jacket pia mwamba.Chukua hiyo and update your vocabulary usihangaike na Google. Kama vipi tafuta Oxford dictionary
Magufuli alikuwa apendi wachaga hata kama walikuwa marafikiUongo unakusaidia nini? Fred was a friend to Magu hata kabla ya Urais wa Magu..
Besti ulipoteaga wapi? Kuna umbea flani niliupata yule rafiki yako kwenye wizara ya mafuta Trondheim alipataga kashfa akasimamishwa ikawa gumzo na umbea kwa mikusanyiko ya wabongo. Lakini baadaye amerudishwa. Si unajua wabongo kwa umbea.Ngokolo waliiuza kwa mwarabu. Usiombe kuishiwa.
Naona unajisifia na kabila lako mangiNilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati
Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Wabongo,ndo maana mimi sitaki mazoea nao kabisa.Kama karudishwa safi sana kawaziba midomo yao.Besti ulipoteaga wapi? Kuna umbea flani niliupata yule rafiki yako kwenye wizara ya mafuta Trondheim alipataga kashfa akasimamishwa ikawa gumzo na umbea kwa mikusanyiko ya wabongo. Lakini baadaye amerudishwa. Si unajua wabongo kwa umbea.
Magonjwa Mtambuka
Mwenyekiti Ngwani..daah enzi hizo..kimsingi shirecu ilikua ni [emoji91][emoji91]..wakina sull..kabizi..minzi..mbogo..kunze..magulu..kiloba ..na wengine wengi..hakika wanyantuzu walitake over.Umenikumbusha Mzee Kiloba. Huyu alikuwa manager Lugulu. Kipindi tupo watoto kabisa. Mkewe alikufa kwa ngoma na yeye akamfuata. Walikuwa na bonge la nyumba Mwasele. Mwasele ilijaa wanyatunzu. Kina Magulu wadogo wawili nao ngoma iliwapeleka.Hivi mzee Mahongo bado yupo Mwasele ?Shirecu ltd 1984.Shirika hata miaka 20 halikufikisha likaanza kuyumba mpaka kufa. Edward Ng'hwani aliliua shirika kwa kuendeleza unyantuzu.
Hivi GM Sulla bado yupo ?Kweli Shirika lilijaa wanyantuzu. Kumbuka Edward Ng'hwani ndo alikuwa mwenyekiti wa Shirecu. Sema Ukimwi kweli uliwamaliza. Kuna mjomba wangu pia alikufa alikuwa manager wa Ginery moja ya Shirecu [emoji24]
Hawa walikuwa wanakojoa bar halafu anamuambia muhudumu deki halafu anamlipa hapo hapo. Ndio hawa walianzisha mfumo wa kununua bia kreti, wanajaza kwende ndoo ya lita 20 zote halafu wanachota kwa kikombe. Matajiri wengi wa shinyanga, bariadi na mwanza msingi wao mkubwa ulitokana na NCU na SHIRECU.Pale Shy hakuna watu walikufa kwa ngoma kama wafanyakazi wa shirecu, aisee we utakua umekaa sana hapo mzee
Kina Ng'wani, wana nyumba karibu kila kata.Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.
Shirecu ndio iliyoujenga shy.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi leo Shirecu imejaa wasukuma. Sasa hivi General Manager wake ni jamaa moja anaitwa Hans ni Mnyakyusa, ila staff wote ni full wasukuma. Ila hivi vyama vilikuwa Giant sana, hadi Nyerere unaambiwa aliviogopa.Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.
Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyu alisomesha wanae. Walau wanae wapo vizuri.Mzee Sulla last time napita Shy alikua na ka saccoss pale NSSF naona bado anajitahidi kujifanya boss.
Kuna msako umepita mwaka jana wa mali za Shirecu, umetesa sana watu. Hasa huko maeneo ya Mwasele na ushirika.Wanyantuzu walikua na shida sehemu, wengi walikufa kwa ngoma wakaacha majumba huko mwasele yanamilikiwa na watu wengine.