tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hao wanabiashara nyingi mabasi ni nyongeza tu,hiyo biashara ni ngumuUnamzungumzia vp tajiri Abood na Shabiby mzee, frester ana kituo cha mafuta pia hapo Buhongwa Mwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanabiashara nyingi mabasi ni nyongeza tu,hiyo biashara ni ngumuUnamzungumzia vp tajiri Abood na Shabiby mzee, frester ana kituo cha mafuta pia hapo Buhongwa Mwanza.
Mwizi nae kadhulumiwa hapo ngoma droo...kina ngwani nani aliwadhulumu pesa mbona nao walibaki na maghofu tu hapo shy pia watoto hawana pesa kabisa kina nyarobiHahaaa..kwahiyo ni mchezo wa majizi..ila hadi kumtishia maisha ingawa ndiye aliyempa hela amhifadhie alizopiga..ili akitoka jela amrudishie na maisha yaendelee.
Ila point itabaki hao majamaa mali zao niza wizi..udhulumaji na ufisadi wa kupindukia...hawaaminiki.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mali bila daftar...pia no succession plan.Mwizi nae kadhulumiwa hapo ngoma droo...kina ngwani nani aliwadhulumu pesa mbona nao walibaki na maghofu tu hapo shy pia watoto hawana pesa kabisa kina nyarobi
Shida sio hiyo waliwekeza shy tu maguest badala wa kujenga mwz,dar huko mpka leo wangekua wanakula pesa....paulo kafa hela imekata heri edward anahotel ya ghorofa mwanza kaluta
Kina Paul na Edward Ng'hwani. Malori yao yaliitwa Rehema za Mungu. Wote wawili wameshaaga dunia. Utajiri kwishney. Watoto wao wana maisha ya kawaida tu.Mwizi nae kadhulumiwa hapo ngoma droo...kina ngwani nani aliwadhulumu pesa mbona nao walibaki na maghofu tu hapo shy pia watoto hawana pesa kabisa kina nyarobi
Enzi hizo jina Ngwani lilkua ndio jina kubwa Shy..walikua na hela sana hao jamaa..na gari zile za neema ya Mungu..hatari sana asee...sema kila zama na vitabu vyake.Shida sio hiyo waliwekeza shy tu maguest badala wa kujenga mwz,dar huko mpka leo wangekua wanakula pesa....paulo kafa hela imekata heri edward anahotel ya ghorofa mwanza kaluta
Yaah..kule ngokolo..walikua na nyumba kali sana.Kina Paul na Edward Ng'hwani. Malori yao yaliitwa Rehema za Mungu. Wote wawili wameshaaga dunia. Utajiri kwishney. Watoto wao wana maisha ya kawaida tu.
Hao kinda Paulo ngwani hawakuwa na mipango mizuri na pesa zao za ndagu, sema hao jamaa waliokuwa na viwanda vya pamba wana mikopo mikubwa sana kwenye ma bankMwizi nae kadhulumiwa hapo ngoma droo...kina ngwani nani aliwadhulumu pesa mbona nao walibaki na maghofu tu hapo shy pia watoto hawana pesa kabisa kina nyarobi
Tulichokosa waafrika ni wealth transfer from one generation to another..no succession plan..akifa mwenye mali nazo ndio zimepotea.Kina Paul na Edward Ng'hwani. Malori yao yaliitwa Rehema za Mungu. Wote wawili wameshaaga dunia. Utajiri kwishney. Watoto wao wana maisha ya kawaida tu.
Kumbe mbinu mnazijua Na nyie ibeni mkuu mpige vita umasikini uliokithiri mnakotoka huko…Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.
Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini hata uchagani umekithiri..hakuna kwenye unafuu...walio toboa ni wachache sio wote jamii zote za watz iko hivyo.Kumbe mbinu mnazijua Na nyie ibeni mkuu mpige vita umasikini uliokithiri mnakotoka huko…
Hivi GM Sulla bado yupo ?Kweli Shirika lilijaa wanyantuzu. Kumbuka Edward Ng'hwani ndo alikuwa mwenyekiti wa Shirecu. Sema Ukimwi kweli uliwamaliza. Kuna mjomba wangu pia alikufa alikuwa manager wa Ginery moja ya Shirecu 😭Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.
Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sulla yupo..Wakina kulwa kabizi..wapo..ni kweli wanyantuzu walijaa sana shirecu..bho mami ulikua mingi sana..walikua wanapeana vyeo hata mtu hana shule...mwisho wakaanza ufisadi na wizi uliokithili..kupelekea shirika kufa wengi walifungwa..walioendekeza uchi nao walikufa kwa ngoma sana.Hivi GM Sulla bado yupo ?Kweli Shirika lilijaa wanyantuzu. Kumbuka Edward Ng'hwani ndo alikuwa mwenyekiti wa Shirecu. Sema Ukimwi kweli uliwamaliza. Kuna mjomba wangu pia alikufa alikuwa manager wa Ginery moja ya Shirecu [emoji24]
Huyo ni Minzi mdogo. Minzi mkubwa ndo alikuwa manager na alikuwa na pesa. Ingawa minzi mdogo wa Ngokolo nae alikuwa mhasibu Shirecu. Walijua kupeana kazi.Huyo mzee minzi ni yule wa kule Ngokolo kwa Mwanamakanga au? Shirecu watu walipiga sana pesa aisee huyo dingi labda alikua mzembe tu.
Wivu wa kipuuzi kabisa wa wabantu.. Kama vile kusema jamaa tajiri kwa sababu anatumia majini.. Asa si na wewe uyafate hayo majini upige hela? Kama huwezi unyamazeKwahiyo unataka tu support wezi...mafisadi..unataka tutengeneze jamii ya aina gani?
Huyo fresho mwenyewe nguvu ya soda wizi na utapeli mtupu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana..ila ndio life..kila mtu anajia za kufikia utajiri..ila penye uovu lazima pasemwe.Wivu wa kipuuzi kabisa wa wabantu.. Kama vile kusema jamaa tajiri kwa sababu anatumia majini.. Asa si na wewe uyafate hayo majini upige hela? Kama huwezi unyamaze
Sawa huyo mkubwa ni wa mwasele..baada ya kupiga pesa alikuja kufungwa..pesa alimkabidhi fresho amhifadhie kipindi hicho fresho anauza duka la vyombo..kuja kutoka fresho kawa tajiri..na kamtishia kumuua ikiendelea kufuata kuomba pesa zake..mzee ilibidi aokoke tu..ila alikua na pesa asee mana maisha aliyokua anashi ni ya kifahali sana enzi hizo...sahivi yupo maisha yanaenda kibishi.Huyo ni Minzi mdogo. Minzi mkubwa ndo alikuwa manager na alikuwa na pesa. Ingawa minzi mdogo wa Ngokolo nae alikuwa mhasibu Shirecu. Walijua kupeana kazi.
Ofcoz undugunization ulikua mkubwa sana shirecu..wote wanyantuzu walijaa na walipeana magep sana.Huyo ni Minzi mdogo. Minzi mkubwa ndo alikuwa manager na alikuwa na pesa. Ingawa minzi mdogo wa Ngokolo nae alikuwa mhasibu Shirecu. Walijua kupeana kazi.
Si angemwachia hata mdogo wake. Au mkewe. Duh unamwachia fisi bucha jamani......Sawa huyo mkubwa ni wa mwasele..baada ya kupiga pesa alikuja kufungwa..pesa alimkabidhi fresho amhifadhie kipindi hicho fresho anauza duka la vyombo..kuja kutoka fresho kawa tajiri..na kamtishia kumuua ikiendelea kufuata kuomba pesa zake..mzee ilibidi aokoke tu..ila alikua na pesa asee mana maisha aliyokua anashi ni ya kifahali sana enzi hizo...sahivi yupo maisha yanaenda kibishi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafrika hatuaminiani wala kupendana..ila hope aliamini kuziweka mbali na wanafamilia yake kungeiepusha familia kuingia kwenye matatizo...na kesi zisizo za msingi.Si angemwachia hata mdogo wake. Au mkewe. Duh unamwachia fisi bucha jamani......