BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Huyu jamaa alijenga nyumba kali sana ya ghorofa kipindi nipo shule ya msingi Mapinduzi, miaka ya 2000 mwanzoni huko. Watu walipata pesa zamani sana aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati
Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Ushauri mzuri. Sasa wote twende Kibosho na Machame tukaoe ili tuwe matajiri.Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati
Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Nilikuwa jirani yake maeneo hayo lakini sikuwahi kumfahamu, nilikuwa Naona mjengo na magari yakiingia na kutoka.Huyu jamaa alijenga nyumba kali sana ya ghorofa kipindi nipo shule ya msingi Mapinduzi, miaka ya 2000 mwanzoni huko. Watu walipata pesa zamani sana aisee.
Nilikuwa jirani yake maeneo hayo lakini sikuwahi kumfahamu, nilikuwa Naona mjengo na magari yakiingia na kutoka.
Ila watabaki kua watu wezi..waongo na mafisadi..hata shetani ukoo wake una umoja na mshikamano.Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati
Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Kwani ukichomwa chanjo unakua hupati tena Corona na kuugua au kufariki kabisa?Ujinga unalipa haraka sana.
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.Huyu jamaa alijenga nyumba kali sana ya ghorofa kipindi nipo shule ya msingi Mapinduzi, miaka ya 2000 mwanzoni huko. Watu walipata pesa zamani sana aisee.
kudhulumu nako ni akili mkuu. Sio kazi rahisiAliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.
Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wizi na ufisadi..ndio mana mnakufa hovyo.kudhulumu nako ni akili mkuu. Sio kazi rahisi
kudhulumu nako ni akili mkuu.Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.
Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wivu wa kike wewe, pambana na maisha usikalie kusema wachaga ni wezi
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.
Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka tu support wezi...mafisadi..unataka tutengeneze jamii ya aina gani?kudhulumu nako ni akili mkuu.
Acha wivu wa kike wewe, pambana na maisha usikalie kusema wachaga ni wezi
Wa mwasele.Huyo mzee minzi ni yule wa kule Ngokolo kwa Mwanamakanga au? Shirecu watu walipiga sana pesa aisee huyo dingi labda alikua mzembe tu.
Wa mwasele.
Wazee walipiga hela sana Shirecu..acha tu walikua wanajichotea mapesa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi nmemjua..ila wajanjwa walipiga sana shirecu..na wengi sana walifungwa na wengi walikufa kwa ngoma mana pesa ilikua nyingi starehe nyingi.Sana tu kuna mzee siwezi kumtaja ana hisa nyingi sana bank fulani lakini kiuhalisia hizo hisa zilikua ni za shirecu sasa acha zile za kuchota.
Sasa mbona unalaumu wachaga tu chief, akati kuna wazee walijichotea mapesa? Acha chuki na wachagaWa mwasele.
Wazee walipiga hela sana Shirecu..acha tu walikua wanajichotea mapesa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Walichota..ila fresho alidhurumu mtu kisha akamtishia maisha..Sasa mbona unalaumu wachaga tu chief, akati kuna wazee walijichotea mapesa? Acha chuki na wachaga
Nahisi nmemjua..ila wajanjwa walipiga sana shirecu..na wengi sana walifungwa na wengi walikufa kwa ngoma mana pesa ilikua nyingi starehe nyingi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app