TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Pale Shy hakuna watu walikufa kwa ngoma kama wafanyakazi wa shirecu, aisee we utakua umekaa sana hapo mzee
Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.
Shirecu ndio iliyoujenga shy.

#MaendeleoHayanaChama


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.
Shirecu ndio iliyoujenga shy.

#MaendeleoHayanaChama


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyantuzu ndio walimaliza hilo shirika aisee, wakina Gaki, Fresho, Mbuzi na kuna muarabu mmoja wakabaki wanatajirika kupitia pamba, chama cha ushirika kikiwa hoi.
 
Wanyantuzu ndio walimaliza hilo shirika aisee, wakina Gaki, Fresho, Mbuzi na kuna muarabu mmoja wakabaki wanatajirika kupitia pamba, chama cha ushirika kikiwa hoi.
Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.

Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.

Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubinafsishaji sawa, sema kiuhalisia watu walishindana kuiba, afu kama unavyosema wajanja walitumia fulsa( ilifika hatua pamba inapigwa moto ili bima ilipe), Unaona wakina mbuzi ( Jambo group) washaachana na mambo ya pamba kabisa kwa sasa.
 
Waafrika tunakataa chanjo ya corona

wakati huo huo binadamu wengine wanaiogopa corona huku wakiwa wamechanjwa

Dunia imechangamka kweli😅
Huyu .... Nikimkuta mbinguni sijui malaika watakuwa wamekosea wapi ... Mdhulumati Sana Huyu mzee ....
 
Siyo tu, Babu Loliondo alikuwa akitibu na kutoa kinga dhidi ya Corona kwa kikombe cha jero. Aliwafanya hayo bila kuwa ba maji tiririka, sabuni, wala kuvaa kuvaa barakoa.

Mtoa tiba ya Corona babu wa Loliondo hakuhitaji hata PPEs akiwa na baraka zote za wizara ya afya na serikali, huku wakimsalimu kwa jina la JMT.


Tutawahoji hawa siku moja, ngoja tuchanjwe kwanza.
Acha nife .. Sichanjiiiii ...
 
Koti la suti kwa Kiingereza ni “jacket”
Lakini wao wanasema jacket ni hizi hapa

Screenshot_20210801-065530_Samsung Internet.jpg
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo minzi yeye mwizi sasa unasemaje pesa ya uwizi ikawa imedhulumiwa,bila roho ngumu utajiri utaupata ahera
 
Huyo minzi yeye mwizi sasa unasemaje pesa ya uwizi ikawa imedhulumiwa,bila roho ngumu utajiri utaupata ahera
Hahaaa..kwahiyo ni mchezo wa majizi..ila hadi kumtishia maisha ingawa ndiye aliyempa hela amhifadhie alizopiga..ili akitoka jela amrudishie na maisha yaendelee.

Ila point itabaki hao majamaa mali zao niza wizi..udhulumaji na ufisadi wa kupindukia...hawaaminiki.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom