jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.Pale Shy hakuna watu walikufa kwa ngoma kama wafanyakazi wa shirecu, aisee we utakua umekaa sana hapo mzee
Shirecu ndio iliyoujenga shy.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app