Gaki Ni mchagga, Kuna Kaka yangu anafanya kazi pale Ni operation manager wa pamba, ana mkwanja mzuri Sana!Wanyantuzu ndio walimaliza hilo shirika aisee, wakina Gaki, Fresho, Mbuzi na kuna muarabu mmoja wakabaki wanatajirika kupitia pamba, chama cha ushirika kikiwa hoi.
Inakuwaje mnafahamu maisha ya watu kiasi hiki?Umenikumbusha Mzee Kiloba. Huyu alikuwa manager Lugulu. Kipindi tupo watoto kabisa. Mkewe alikufa kwa ngoma na yeye akamfuata. Walikuwa na bonge la nyumba Mwasele. Mwasele ilijaa wanyatunzu. Kina Magulu wadogo wawili nao ngoma iliwapeleka.Hivi mzee Mahongo bado yupo Mwasele ?Shirecu ltd 1984.Shirika hata miaka 20 halikufikisha likaanza kuyumba mpaka kufa. Edward Ng'hwani aliliua shirika kwa kuendeleza unyantuzu.
Wako vizuri sana aisee.Ndivyo ilivyo mkuu,halafu mwendazake alikuwa akiwapiga vita mno kutokana na majina yao ya ukoo,hakufahamu tu kuwa hawa ndiyo waliokuwa wakimsaidia kutimiza ndoto yake ya tanzania ya viwanda.
Gaki=Gaspar Kileo.Gaki Ni mchagga, Kuna Kaka yangu anafanya kazi pale Ni operation manager wa pamba, ana mkwanja mzuri Sana!
Hahah umetisha Sana jomba,mitaa ya kambarage uwanjani tuition kwa sosi.Namkumbuka alikua anakimbiza sana nilipiga na twisheni kwa mwalimu sosi..sijui yuko wapi sikuhizi..?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule dogo namsoma Sana,ana sister ake anaitwa Asha.Unamjua Bakari Matondo, hivi yuko wap huyo dogo?
...Hawa Hawa Wanaowatia Moto wa Petrol Washikaji zao, kama Kule Mbezi? Ama wengine?[emoji16]Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati
Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Sijajua mkuu.. mi nachojua Mbowe anakalia rungu za Askari magereza matakoni kwakeKwani Magu anasemaje huko motoni.
Unajua nilikuwa niende Shinyanga mwezi huu nikamuombe zile truck zake nifanye nazo kazi kwenye msimu wa Korosho..Pamba fresho ndio alibaki na nguvu nayo,hata msimu wa 2019,2020 ginnery zake zimenunua pamba sana...nina ndgu yangu ni mhasibu hapo
Kuna Thesis moja ya Muingereza Mmoja alikuwa anafanya research yake ya PhD aliliandika hili.Nyerere aliviogopa Kweli kweli fikiria Kama KNCU enzi hizo walimpa scholarships Reg Mengi kusoma Scotland,jiulize walikua na pesa kiasi gani.
KNCU,SHIRECU,KCU vilimalizwa kiaina.
Haya mkuu.Lisemwalo lipo..na ndio ukweli wachaga ni wezi..madhulumati na mafisadi huo ndio ukweli kama utaki kachanjwe chanjo ya korona.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! buluba hiyo kitu sio mchezo umenikumbusha mbali vurugu za waqt huo pana bwege mmoja alikuwa nadhani muhasibu wa polisi alowavuruga sana watoto wazuri wa hapo tukawa tunawalia macho tuHakuna kitu kigumu kukitunza Kama utajiri- inahitaji succession plan ya nguvu- matajiri wengi wa shy- hawakuwekeza kwenye elimu ya watoto wao- watoto wao wengi waliendekeza starehe- na ndio waliofilisi wazazi wao- mbali na Hawa matajiri wa shirecu- huko nyuma kulikuwa na matajiri wa kiaarabu- kina Zege- mwanamduni- super diga- Hamndani- seif Hotel- shinyanga welding- wengi wao wamechoka- kidogo phantom ndie hajateteleka sana-kwa muda mrefu Yuko juu- walitutesa sana- ngoja twende sawa kidogo- Kama tuliosoma mwenge primary na Buluba- ilikuwa ni shida Sana. Hawa wachaga kina shoo na kina Gaki- anagalau wanawekeza kwenye vitu vya maana- kuliko hao waarabu na Ex- shirecu- wao ilikuwa ponda mali- kufa kwaja.
Mchaga yupo tayari kumuozesha mtoto wake kabila lolote hata kumuozesha kwa ukoo wa shetani ilimradi tu anaenda kuolewa kwenye pesa...pesa imeondoa utu ndani ya wachaga.Acha kudanganya watu wewe, wewe ni mchagga haswaa. Tangu lini mchagga akakubali mwanae aolewe na kabila jingine tofauti na chagga!!! Hata kama wapo huenda ni wachache sana. Acha Walete feedback apa kama wamesalimika.
Nadhani kwa sababu ya hali baridi pia na ukatoliki...mana hauzuii pombe wala kitimoto.Aisee. Hatari mnoo. Na sijui wanayapendea nini manguruwe na mapombe/mambege!!! Si wanawake si wanaume. Adi midomo inachacha
Hahaaa..uzi haupo ila sio mbaya tukianzisha.jiwe angavu wa kupuliza Otterhound Danpol tweenty4seven Elungata Victoire funzadume Ni wakati Muafaka kuanzisha Uzi wa Shinyanga... au kama upo naomba Link
Kirefu cha Gaki ni Gasper Kileo.Gaki Ni mchagga, Kuna Kaka yangu anafanya kazi pale Ni operation manager wa pamba, ana mkwanja mzuri Sana!
Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.Inakuwaje mnafahamu maisha ya watu kiasi hiki?
Ndio maana Shinyanga iko vile hadi sasa. Watu wake wamekalia umbea umbea tu
Sawa sawa..ila Twishen na mwalimu sosi imetoa vijana wengi sana shy..miaka ya 2000 mwanzoni...mana shule zote za msingi wanafunzi asilimia kubwa wamesomea pale shilingi tano kambarage uwanjani.Hahah umetisha Sana jomba,mitaa ya kambarage uwanjani tuition kwa sosi.
Kuna kipindi Ibra niliwahi kukutana nae Vancouver,CA sijui Yuko wapi Siku hizi.
Wapo wakina hamisi..kanoga ile famili ya marehemu meya walikua wacheza basketball shy town kipindi hicho.Yule dogo namsoma Sana,ana sister ake anaitwa Asha.
Bakari zamani niliwahi kukutana nae Dar alikua anasoma Food Science (Bachelor) Kama Nakumbuka vzr
Hahaaa..buluba ilikua ni [emoji91][emoji91][emoji91]Duh! buluba hiyo kitu sio mchezo umenikumbusha mbali vurugu za waqt huo pana bwege mmoja alikuwa nadhani muhasibu wa polisi alowavuruga sana watoto wazuri wa hapo tukawa tunawalia macho tu