Fredrick Sumaye: Samia ataongoza nchi mpaka 2030

Mkuu, amka Sasa, daladala litakupitiliza kituo, naona ndoto imekukolea
 
Kitendawiliii!
Waziri mkuu duni aliyedumu muda mrefuuu...
Tuache kulamba watawala visigino!!!
 
Yote hii ni baada ya Bashiru kuunguruma?
 
Mr ZERO Hadi anamalizia uongozi wake kama MP, hakujua Hasa kwann Tanzania ni maskini.

Yaani hajui chanzo Cha umaskini wa Watanzania.

Ye nani aseme Hadi 2030, huo Si ndo udikteta?

What if Watanzania wakimchagua Rais Kutoka UPINZANI 😠😠😠?
 
Kwani nani kakataa,mbona wanakimbiza vivuli vyao wenyewe??Sisi wananchi hatuna shida na urais hata akiamua kuwa malikia,sisi tunataka matokeo chanya ya urais sio sifa na mapambio wakati wanachi hatuna maji ya kuoga tunanuka vikwapa na tunashinda bila umeme tunalala giza.Kama mtu ni kiongozi lazima ataona aibu hata kuchukua hiyo formu ya urais ila kama mtu ni mtawala au mlamba asali mshipa wa aibu nakuwa hana kuchukua fomu ya urais zaidi atakuwa rais wa masifa basi.
 
Ila pia tukumbuke kuna watu waliwahi kuitwa marofa na mzee Mkapa.R.I.P Mzee wa Rupaso.
 
Ana haki ya kutoa maoni kama Bashiru.

Kampumzike sasa maana hii ni thread ya 40 kwa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…