Mkuu, amka Sasa, daladala litakupitiliza kituo, naona ndoto imekukoleaHua naogopa sana juu ya mambo yanayo endelea dhidi ya ccm, kuna siku watu watabadilika wataingiwa na roho mbaya ya kutaka kujua hatma ya maisha yao.
Hawa polisi hawatafua dafu, jeshi halitaweza kuwazuia raia walio chafukwa roho.
Haya majamaa ya ccm yatakikana chama chao hadharani. Siku inakuja na itafika tu
Halafu ni Kamanda mwenzetu Kanda PwaniMzee kama huyu kukosa akili ni aibu kubwa sn kwa taifa
Kuna muda unatafakari hivi kweli hii nchi ipo Serious? Yaani ilikuwaje Sumaye akawa Wazir Mkuu? Uchawi upo aisee
uwezo wa mtu kuongoza nchi unapimwaje? kama waliongoza wenye mafaili mirembe atashindwa samia mpenda haki?Samia hana uwezo wa kuongoza nchi.
π€£π€£πππ π ππππMzee kama huyu kukosa akili ni aibu kubwa sn kwa taifa
Kwani nani kakataa,mbona wanakimbiza vivuli vyao wenyewe??Sisi wananchi hatuna shida na urais hata akiamua kuwa malikia,sisi tunataka matokeo chanya ya urais sio sifa na mapambio wakati wanachi hatuna maji ya kuoga tunanuka vikwapa na tunashinda bila umeme tunalala giza.Kama mtu ni kiongozi lazima ataona aibu hata kuchukua hiyo formu ya urais ila kama mtu ni mtawala au mlamba asali mshipa wa aibu nakuwa hana kuchukua fomu ya urais zaidi atakuwa rais wa masifa basi.Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.
Anasema kwa tathmini yake, hakuna wa kumuondoa SSH katika nafasi ya urais mpaka 2030.
Huyu ni mtu aliyekaa na akina pipoz, lazima anawajua undani wao, kwamba ni tabula rasa, wanaojenga nyumba kwa tofali za barafu.
Pia anaijua vizuri CCM. Nani wa kumbishia?
Ila pia tukumbuke kuna watu waliwahi kuitwa marofa na mzee Mkapa.R.I.P Mzee wa Rupaso.Hizi ni salamu kutoka kwa gwiji la Siasa za Tanzania. Ametumikia chama tawala na aliongoza Chadema. Amezitoa salamu wakati Rais Samia Leo hii, akiwa ziara Mkoa wa Manyara.
Anasema kwa tathmini yake, hakuna wa kumuondoa SSH katika nafasi ya urais mpaka 2030.
Huyu ni mtu aliyekaa na akina pipoz, lazima anawajua undani wao, kwamba ni tabula rasa, wanaojenga nyumba kwa tofali za barafu.
Pia anaijua vizuri CCM. Nani wa kumbishia?
Kabisa mkuu [emoji16]Mzee kama huyu kukosa akili ni aibu kubwa sn kwa taifa