JOHN KARAN aka JK Alitimkia TONE Radio na wenzake 2013 baadae matarajio yakawa tofauti, sijui akapotelea wapi tenaDah kka uko kama mm yani, kipnd cha asubuhi cha John karani, Jk....nakimiss mnoooooooo [emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah Week end Top Thirty na Hollywood Hamilton umenikumbusha mbali sana 2000's.
hahahaha muziki ulipokuwa unaitwa muzikiDaa umenikumbusha mbali sn jamaa angu. Wasanii km Neyo,50 cent, Kelly Roland, ngoma ya ring back, My boo, My place,Isnt love, Hatari sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma
Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana
Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana
Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane
Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa
Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.
Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM
Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine
Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...
Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana
Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine
Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!
Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!
Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.
Yani ni rahisi kusikiliza redio kuliko kucomment JF
zama zake zimeishaFredwaa alikuwa vizuri RFA, alipokuja Clouds aliflop so siwezi kushangaa kwanini hasikiki tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nashauri hivi, Program kama zile za Kiss FM zinahitajika sana kwa hii new generation kwa sababu kiingereza kwao sio tatizo.Mara zote naitamani Kiss Fm ya 2010 kurudi nyuma
Asubuhi unaanza na John Karani JK na mwanadada fulani simkumbuki. Baada ya hapo ni Kiss Prime Time
The Big Fuse na Captain JML Joachim Munga Luguru (alikua anasema "keep on your inner ear and get terrifying"). Alikua na DJ Jeff Jerry...noma sana
Baadaye hii show alirithiwa na Ezden The Rocker,akaibadili jina na ikaitwa Bongo Collabo Mix Show. Hakuiharibu sana
Saa tano kamili tunapata News from the BBC na show inaendelea mpaka saa sita. Hapo tunapata show ya afternoon mpaka saa nane
Kuanzia saa nane ni Kiss Hot Wire na Dj Chriss...we acha kabisa
Saa kumi ni Kiss Drive. Ilikua na mtangazaji bonge moja la vocalist Dunia nzima Tobby The Splash! Huyu jamaa sijaona mfano wake mpaka sasa.
Show ya Tobby iliisha saa kumi na mbili jioni. Hapo aliingia Dee Seven na African Beat...mitamboni alikuwepo DJ Maliz..kulikua na jingle ya miluzo...fyuu fyuuuuuu...! acha kabisa Mangi. Hii ilikua ndio show pekee ya kiswahili kwa hii redio. Ilisimamisha mitaa yote na daladala zote Dodoma enzi hizo. Mji mzima iliskika sauti moja tu ya Kiss FM
Saa mbili kamili show iliisha. Aliingia mwanamama Sharbano Aboubakar "Sherry" na Kiss Comfort Zone. Ilikua hatari nyingine
Kuazia saa tatu kulikua na habari za BBC na sports kama sikosei. Saa nne kamili alichukua usukani jamaa mmoja mlavidavi aliitwa Gody B The Pilot na show iliitwa Love Zone! Acha kabisa arif...
Weekends waliungana na redio za marekani. Show ya Ryan Seacrest ya American Top 40 ilirushwa Mubashara. Kulikua pia na Weekend Top 30. Jumamosi kulikua na sebene mix za kufa mtu kuanzia saa tisa mchana
Walikua na best DJ's...Dj Maliz,DJ Devi,DJ Jeff Jerry,DJ Chriss na wengine
Kiss FM ilivyoharibika na watangazaji wote kutimkia kusikojulikana basi nilipatwa na msongo wa mawazo!
Aliyeiloga Kiss FM alaaniwe sana! Sasa hivi redio zote zinatengeneza programu sawa tu na Clouds. Hakuna ubunifu wowote utakaomfanya msikilizaji awe na choice ya program za redio tofauti. Program za asubuhi,mchana,jioni na usiku ni zilezile kwa redio zote. Ovyo kabisa!
Fredwaa pale RFA alikua na show ya tofauti sana na ubunifu wa kipekee nje ya huu mfumo wa ki-clouds. Sasa alipoenda clouds pale alikosa kabisa emotional freedom ya kufanya makeke yake! Natamani kumwona jamaa akiwa na show yake mwenyewe kwenye redio kubwa. Energy Man is very talented! Mashabiki wake tutakua naye mpaka mwisho!
Sent using Jamii Forums mobile app
hivo vitu si kazi, shida ipo kwa Mmiliki na washauri, washauri wa mmiliki bado wako enzi za Analogia hata kimuonekano hawawezi ku compete kibiashara na generation hii ya akina MajayMimi nashauri hivi, Program kama zile za Kiss FM zinahitajika sana kwa hii new generation kwa sababu kiingereza kwao sio tatizo.
Kiss wabadilike,hata kama hawana mtaji wa kutosha watafute muwekezaji (au ajitokeze mwekezaji ainunue kabisa Kiss FM ) kisha zirudishwe zile program zote za zamani na program mpya bora zaidi. Warudishwe wale watangazaji wote wa zamani,kwa wale watakao kosekana basi pengo lao lizibwe na mtu wa character hiyo
Wafanye Uzinduzi mkubwa na upate attention kubwa kisha Kiss FM ianze rasmi kuwasha moto. Wajifunze walipokosea awali na kuboresha zaidi na zaidi
Dj Maliz.....fyu fyuuuuuuu!
Kiss FM....Kiss FM........fss fss fsss....
For Today's Best Music!
We really miss you Kiss FM
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule ndiyo anaharibu kipindnikisikia sauti ya yule dada wa amplifaya najikuta nazima redio tu nisije kumkosea mungu bure
hahahahha unanikumbusha mbali sana enzi za SHOW TIME, Top 10 za Ijumaa huzikosi yaaaniMzee umeuwa kabisa. Yani niesoma napata picha ya getto langu la skul pale mbeya forest, masela wote tuliokuwa tunakutana toka kila mkoa tunaemda kusoma mbeya.
Hii ndio ilikiwa Radio ya Geto, ukibadili basi umeangukia RFA.
Ni kweli Radio zote Saiz ni Copy ya Clouds FM, labda power breakfast wameigeuza kuwa Michezo, kisha wanakuja na kipindi cha Akina Gea habibu, kuanzia saa 5 asbh hivi radio zote ni pumba na umbea cha maana ni matangazo tu ya biashara, sasa baada ya hapo studio ni ujinga ujinga mpk siku inayofuata.
We miss kiss fm ..kiss fm ssi siis iss (jingle hilo)[emoji16]
Dumelang
Mimi niliacha kusikiliza hicho kipindi baada huyu dada mwenye makelele kuvamiaHahahahah mbona analalamikiwa sana wakati wengine wanaona ni creative, me binafsi naona yule Dada akae nyuma ya mic tu, On air anazingua
kaharibu totalyMimi niliacha kusikiliza hicho kipindi baada huyu dada mwenye makelele kuvamia
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio hasikiki kabisa sasaFredwaa alikuwa vizuri RFA, alipokuja Clouds aliflop so siwezi kushangaa kwanini hasikiki tena
Sent using Jamii Forums mobile app