Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

Fredwaa (Fredi Fidelis) forgive, forget and move on? PB imepoaaa

View attachment 1376753
Fred Fidelis aka Fredwaa

Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza Sauti pamoja na Ripoti ya Bonge ya alfajiri hakuna.

Pia zile reggae za alfajiri siku ya Ijumaa hakuna, sasa huyu jamaa ni likizo tu au kuna lingine nyuma ya pazia, imekuwa muda sana hayupo kwenye Kipindi, Inaleta shaka flani kama jamaa kapiga chini hivi, post yake kwenye akaunti ya Instagram siku mbili zilizopita inanipa mashaka, inasema: "FORGIVE, FORGET and move on, everyone got history in their life".

Pia kituo kiko kwenye kampeni ya siku ya mwanamke, na karibu asilimia 90 ya staff wameweka picha ambayo inatangaza kampeni hiyo ila yeye sijaona hiyo kitu.

PM Mr Shafii Dauda fanyeni mpango huyu jamaa arudi, tunajua kwenye riziki yoyote hapakosi husda kama ni hivyo basi weka sawa, kama ni likizo basi wasikilizaji wa kipindi wajuzwe, tumemiss sauti, jingle, drops za Mr Energy Man, hakuna kama yeye hapo.
Na Husna nae kapotelea wapi?
 
Khee..! Kujiunga na redio nyingine ndo kunakufanya uone redio iliyojiunga ndo ya maana..!?? SASA KWANINI USISIKILIZE HIYO REDIO WANAYOJIUNGA NAYO..???
wanajiunga nayo it means ni washirika hawana frequency hapa
 
Mkuu kwa kuwa wewe huwa unasikiliza redio, waweza share nasi huwa unasikiliza kitu gani(kipindi gani) kutoka redio ipi?
Wabongo wanajua kujifanya wako advanced eti hawasikilizi redio wakati habari wanazo. Watanzania bwana nayeuliza hivyo kama kapata muda wa kucomment kwenye post yako anakosaje muda wa kusikiliza redio ambayo unaiwasha tu halafu unaendelea na mambo yako.

Yani ni rahisi kusikiliza redio kuliko kucomment JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee... !!! kwa hiyo, unamaanisha, watanzania kuipata BBC ni mpaka kupitia redio zinazojiunga nayo? Is it?
ndio, hakuna frequency hapa bongo unaweza ipata BBC.., Zaidi ya redio washirika na hii tunaizungumzia ni ile Idhaa ya Kiswahili
 
Khee..! Kujiunga na redio nyingine ndo kunakufanya uone redio iliyojiunga ndo ya maana..!?? SASA KWANINI USISIKILIZE HIYO REDIO WANAYOJIUNGA NAYO..???
Kinachotangazwa ndicho kinachovutia kukisikiliza. Hizo redio wanazojiunga nazo hazina masafa yao rasmi hapa Tz na kuwasikiliza kupitia mtandao bando la data ni shida. Umaana wa redio unaletwa na hicho kinachotangazwa. "It's the content that counts" Waingereza walisema hivyo.
 
sio lazima anachokisikiliza yeye na wewe ukisikilize, redio zipo nyingi na vipindi mbalimbali
Ila jamaa kaomba tu atajiwe hicho kipindi anachosikiliza mdau. Yaani ye y yeye ataje.tu kipindi. Simple tu mbona hiyo.
 
Ila jamaa kaomba tu atajiwe hicho kipindi anachosikiliza mdau. Yaani ye y yeye ataje.tu kipindi. Simple tu mbona hiyo.
asikilize EA Drive ya EA Radio au Kiss Drive time ya Kiss fm
 
Back
Top Bottom