free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

Ukiona sehemu flani kuna party na watu wapo kimya na sauti ya muziki ipo chini alafu watoto mnaambiwa sogea mbali, basi hapo ni MITAFUNO TU! Wakuu huku ni ni party ya kimya kimya....!

Wasalaam,
Ndebile, P.O. Box Private Bag, Mwashilalage, Kwimba - MWANZA.
 
Ukiona sehemu flani kuna party na watu wapo kimya na sauti ya muziki ipo chini alafu watoto mnaambiwa sogea mbali, basi hapo ni MITAFUNO TU! Wakuu huku ni ni party ya kimya kimya....!

Wasalaam,
Ndebile, P.O. Box Private Bag, Mwashilalage, Kwimba - MWANZA.


mkuu usione tuko kimya mambo matamu mpaka tunajisahau,,tuko bize tunakaamua utamu
 
Baada ya jamaa wa GURU TUnnel kuweza kuweka mahusiano mazuri na www.facebook.com sasa ni rahisi kwa mimi kuwapatia member wa JF a good and cheap way of browsing internet. bila ya kohofia kublockiwa na FESIBUKU. bila ya kujali ni wa zamani au wa sasa. nachukua nafasi hii kuwaambia kila anayetaka unlimited internet ani PM.

Internet hii unaweza kuitumia kwa kudownload kwa speed kubwa kulikoni.......
angalia screen shot hapa chini. ukitaka download kikawaida ukitaka download kwa torrent,........

View attachment 76803 with 2 modems View attachment 76804

Agalia inbox mkuu Paje
 
kwa ajili ya kuhifadhi na kulinda heshima yetu. member wapya, waliojiunga na JF zaidi ya november 2012 hawatounganishwa na GURU. hii ni kwa ajili ya usalama wao binafsi. their PMz will be ignored
 
duh. Umejitahidi kuifuta lakini bado inaonesha. Ni nani mwenye jina refu hapa tanzania katika dashboard kama si huyo uliyemfuta? Mie naona unaanika mambo hadharani. Bro njunwa wamavoko futa hiyo screenshot yako hapo. Inaweka kauzibe fulani

kweli baba!!!!!!!!!!!!!!
 
umewahi kutaka kutumia program ambayo haina sehemu ya kuweka proxy? au umejaribu kudownload fail kubwa zaidi ya 2GB kwa wakati mmoja? jee umefanikiwa? basi kama jibu lake ni hapana wewe unahitaji proxifier ili aweze kufanya shughuli hiyo. inapendeza version 3.21 ndio iko mzukka. icheki hapa http://kat.ph/usearch/proxifier/ please kama unatumia guru usipendelee magnetic link. kwani haipatani na guru. chukua hii http://torcache.net/torrent/CE666D1685E560358A8F538B8574FBAFCD8B518D.torrent?title=[kat.ph]initex.software.proxifier.v3.21.standard.edition.with.key.tordigger

SETTINGS:
ukimaliza kuinstall proxifier nenda profile=>proxy server then weka proxy kama unavyoona kwenye picha hapa chini
proxyfaya setings1.png
hapo hakikisha unapiga OK.... na endelea step ya pili: PROFILE==> PROXIFICATION RULE.. kama settings zitajiweka automatically kama unavyoona kwenye picha hii ya chini hapa ikubalie na usave. lakini ikikataaa kukaa kama hapa chini browse na itafute program ya javaw.exe kwenye program file.... na ufananishe settings zako na picha hiii......
proxyfaya settings2.png
hapo sasa save. na kwenye program kama vile firefox , idm , skype au torrrent hutakiwi tena kuweka ile 127.0.0...
unatakiwa uweke no proxy. na hizi zifuatazo ni snapshot wakati proxifier ikimsaidia guru in action...
inaction2.pngna hii inaction1.png
please check ipi inakupa speed nzuri na uwepesi wa kutumia. kisha amua mwenyewe kutumia hii kitu au laa....
 
mkuu safi sana,, ujue huo ujanja wa kutotumia magnetic link nilikuwa sijausoma kabisa
 
Mkuu Paje na video online inaweza kuplay hiyo guru.Kama inaweza naomba uni pm jinsi ya kujiunga na gharama zake manake natumia simu hapa nilipo.Natanguliza shukrani
 
Last edited by a moderator:
some app do not work with proxifier... i even tried set it manual.. like kaspersky antivirus
 
dah...blaza mimi nahtaj sana hii k2 ila cjui nianzie wapi...msaada plz
 
Paje mkuu mi nilitaka kujiunga kipindi kile cha kwanza lkn nikaona vitu vingi sivielewi bado. Hebu ngoja nitulie nisome nielewe nitakuja tena PM THANKS
 
Mkuu nakupm msg zinafeli,na namba yako ndio vile tena embu nicheki basi nijue 2nafanyaje?
 
basi la guru limegonga mti juz jion.. some wamedead papohapo wengine majeruhi wanapumulia mpira hospital
 
Back
Top Bottom