labda imekushinda settings tu mkuu. ni antivirus gani hiyo nikusaidie? na kuhusu windows update unatakiwa uifanyie configuration internet explorer kutumia proxy husika. windows ita update kama kawaida.....
ok thnks me natumia kaspersky antivirus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda imekushinda settings tu mkuu. ni antivirus gani hiyo nikusaidie? na kuhusu windows update unatakiwa uifanyie configuration internet explorer kutumia proxy husika. windows ita update kama kawaida.....
kuna njia mbili ya proxy na no proxy. wacha tufanye ya no proxy kwa kutumia vpn. hii ndio unaupdate hata windows.....ok thnks me natumia kaspersky antivirus


kuna uchochoro mwengine wa kutumia guru kwa speed kubwa kama zamani...... safari hii hata connectify dispatch inakubali vyema. nimegundua kuwa ile dispatch ya version 4.0 crack yake wameifix. sasa unahitaji dispatch version 4.3.
nimeweka mafaili yote unayohitaji kwa settings katika attachements
show off: Jana nimeweka dashboad mpya. ndani ya siku 2 nina GB 70. leo pekee nimeshusha 33. tena sio mda wote komputa ilikuwa wazi. kuanzia asubuhi hadi mchana mchana......
View attachment 89056
Tume kuzoweya kijana weye endeya kubwabwaja na kulinadi Guru-baja lako lililokosa mvuto wakati wenzio tunakamua vitu kilainiiiiiiiiiii kama kumsukuma cha pombe.
Hara hara mtu na macho kijana!! kuna Ban huko mbele Paje kwani hiyo dashboard inaongeza speed au ni marembo tu?
Kusema kweli hakuwezi kunisababishia Ban Shaffin Simbamwene maana kiukweli anachofanya Paje ni kuipigia chapuo Guru baada ya kuona imedoda so kila siku anajitahidi kuupdate ili nyuzi yake ionekane kirahisi kwa wajinga wajinga. Mrimi unayependa kuwakoromea wenzio wanaogawa matundu adharani upowapi umkoromee huyu nguri au nawe ushazibwa mdomo na offer ya Guru?
kwa ajili ya kuhifadhi na kulinda heshima yetu. member wapya, waliojiunga na JF zaidi ya november 2012 hawatounganishwa na GURU. hii ni kwa ajili ya usalama wao binafsi. their PMz will be ignored