free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

free internet :GURU INTERNET TUNNEL KWA KILA MEMBER WA JAMII FORUMS............

labda imekushinda settings tu mkuu. ni antivirus gani hiyo nikusaidie? na kuhusu windows update unatakiwa uifanyie configuration internet explorer kutumia proxy husika. windows ita update kama kawaida.....

ok thnks me natumia kaspersky antivirus
 
ok thnks me natumia kaspersky antivirus
kuna njia mbili ya proxy na no proxy. wacha tufanye ya no proxy kwa kutumia vpn. hii ndio unaupdate hata windows.....
jaribu kukopia kwenye picha hii. hakikisha sehemu ya kaspersky proxy settings unaiweka no proxy. kwanza anza kucreate http tunneling kama kawaida . kisha nenda kwenye vpn tunnel. settings zilizofutwa hazina umuhimu. wewe hauzijazi hizo. tia tick use proxy weka port 6055.
updating.png

na baada ya kufanikiwa already.png
 
kuna uchochoro mwengine wa kutumia guru kwa speed kubwa kama zamani...... safari hii hata connectify dispatch inakubali vyema. nimegundua kuwa ile dispatch ya version 4.0 crack yake wameifix. sasa unahitaji dispatch version 4.3.
nimeweka mafaili yote unayohitaji kwa settings katika attachements
 

Attachments

kuna uchochoro mwengine wa kutumia guru kwa speed kubwa kama zamani...... safari hii hata connectify dispatch inakubali vyema. nimegundua kuwa ile dispatch ya version 4.0 crack yake wameifix. sasa unahitaji dispatch version 4.3.
nimeweka mafaili yote unayohitaji kwa settings katika attachements

speed ya kudownload kwa modem moja [video=youtube_share;2cGKNF07NQI]http://youtu.be/2cGKNF07NQI[/video]
speed ya kudownload kwa modem mbili kwa dispatch ......
[video=youtube_share;WHRbB1i-M6E]http://youtu.be/WHRbB1i-M6E[/video]

na kwa wale walioshindwa kudownload torrent video ifuatayo itawarahisishia. hakikisha unatumia romania servers au germany servers kwa torrents..... guru bitcomet dowload - YouTube [video=youtube_share;0PdwlZeCJOo]http://youtu.be/0PdwlZeCJOo[/video]

kama kawaida kwa members wa zamani tu wanaweza kuni PM Kuhusu hii kitu....
 
kwa wale wageni, wanashauriwa watumie modem moja tu kwa kuanzia , hadi watapoweza kuimaster hii kitu....
 
kwa wale washabiki na wapenzi wa movies na softwares kuna njia ya kuweza kudownload kwa urahisi na kwa speed kubwa. Tembelea channel ya youtube Asha Fatuma - YouTube ujifunze jinsi ya kupata premium haswa haswa ya filefactory.
na ukitaka link za moviez na softwares za filefactory jisajili News - eWares.org halafu bonyeza movies/tv shows link ipo upande wa kushot wa website http://www.ewares.org/news.php?list.20
 
show off: Jana nimeweka dashboad mpya. ndani ya siku 2 nina GB 70. leo pekee nimeshusha 33. tena sio mda wote komputa ilikuwa wazi. kuanzia asubuhi hadi mchana mchana......
dashMPYaa.png
 
show off: Jana nimeweka dashboad mpya. ndani ya siku 2 nina GB 70. leo pekee nimeshusha 33. tena sio mda wote komputa ilikuwa wazi. kuanzia asubuhi hadi mchana mchana......
View attachment 89056

Tume kuzoweya kijana weye endeya kubwabwaja na kulinadi Guru-baja lako lililokosa mvuto wakati wenzio tunakamua vitu kilainiiiiiiiiiii kama kumsukuma cha pombe.
 
Tume kuzoweya kijana weye endeya kubwabwaja na kulinadi Guru-baja lako lililokosa mvuto wakati wenzio tunakamua vitu kilainiiiiiiiiiii kama kumsukuma cha pombe.

Hara hara mtu na macho kijana!! kuna Ban huko mbele Paje kwani hiyo dashboard inaongeza speed au ni marembo tu?
 
Last edited by a moderator:
Kusema kweli hakuwezi kunisababishia Ban Shaffin Simbamwene maana kiukweli anachofanya Paje ni kuipigia chapuo Guru baada ya kuona imedoda so kila siku anajitahidi kuupdate ili nyuzi yake ionekane kirahisi kwa wajinga wajinga. Mrimi unayependa kuwakoromea wenzio wanaogawa matundu adharani upowapi umkoromee huyu nguri au nawe ushazibwa mdomo na offer ya Guru?
 
Last edited by a moderator:
Hara hara mtu na macho kijana!! kuna Ban huko mbele Paje kwani hiyo dashboard inaongeza speed au ni marembo tu?

ni latest version ya huawei mobile partner. nadhani inakuja na latest drivers tu. bila shaka haiwezi kuongeza speed. ila ina USSd-kwa ajili ya mpesa ,tigopesa etc na kujiunga offer mbalimbali za hii mitandao yetu. hivyo inaondoa ile shida ya kuweka lain kwenye simu ,
pia inaweza kupiga na kupokea simu kama laptop yako ina mic na speaker.
 
Kusema kweli hakuwezi kunisababishia Ban Shaffin Simbamwene maana kiukweli anachofanya Paje ni kuipigia chapuo Guru baada ya kuona imedoda so kila siku anajitahidi kuupdate ili nyuzi yake ionekane kirahisi kwa wajinga wajinga. Mrimi unayependa kuwakoromea wenzio wanaogawa matundu adharani upowapi umkoromee huyu nguri au nawe ushazibwa mdomo na offer ya Guru?

Mkuu ina maana mpaka sasa hujanielewa?Kwanza mimi sikoromei watu,lakini pia wewe ni shahidi juu ya namna gani siku hizi jamaa wako makini kufuatilia na kuziba matundu yote yanayotobolewa humu ndani.Huna haja na kunichukia ndugu yangu,wachukie wanaotuharibia,huh!
 
zile server mbili za germany zimebadilishwa zinatakiwa ziwe 46.166.174.202 na 46.166.174.213 . na zilizobaki zote zipo powa sasa
 
kwa ajili ya kuhifadhi na kulinda heshima yetu. member wapya, waliojiunga na JF zaidi ya november 2012 hawatounganishwa na GURU. hii ni kwa ajili ya usalama wao binafsi. their PMz will be ignored

duh kaz ipo kwaiyo c wageni ambao tuko interested ndo ndo basi tena....
 
mkuu unatumia dashboard gani kutumia connectify maana mi natumia zte 3g na huawei mob.broadband ila hazipigi mzigo kwenye connectify ka vp tupia na screen shots kabisa za hizo dashboard zako
 
Back
Top Bottom