Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume kuzoweya kijana weye endeya kubwabwaja na kulinadi Guru-baja lako lililokosa mvuto wakati wenzio tunakamua vitu kilainiiiiiiiiiii kama kumsukuma cha pombe.
kama kawaida ya mtu mnafiki...... anaponda guru lakini kwenye desktop yake kumejaa guru, tena latest version, ana proxifier...... na hakai online bila ya guru....kawaida icon inakuwa na muonekano kama kwenye screen-shoot
View attachment 90078
Kwa wale wnaopenda kuedit/kuremba ikon fanya hivi:-
Nenda properties then fuatisha screen
kama kawaida ya mtu mnafiki...... Anaponda guru lakini kwenye desktop yake kumejaa guru, tena latest version, ana proxifier...... Na hakai online bila ya guru....
Leo umeiposti mwenyewe desktop yako......ukiwa muongo usiwe msahaulifu..
taratibu mwana kuwa na software kwenye desktop aimaanishi kwamba unaitumia. ...pia nikusahihishe proxifier tumekuwa tukiitumia kitambo tena kabla ujaanza kuinadi hiyo guru au unataka kutuambia kwamba bila guru haifanyi kazi?
ukweli situmii guru pia sijazuia mtu kutumia ndiyo maana utaona ktk baadhi ya post zangu nawaelekeza wana jamvi waje kwako wanatiane kwa Guru mengine ni changamoto tu kaka so usinichukie bure we nipende kiroho safi
Kudadek tayari manyau nyau kakukamata uchawi sasa kazi ni kwako!!
Kuhusu proxfier nakubaliana nawe kwamba haipo kwaajili ya Tunnel Guru maana mimi naitumia kwa zile naniino zetu za enzi na enzi ila ilo la Guru mh.....!!!
Sidhani kama umeiegesha kwenye desktop yako kama urembo tu!!!! au tuseme nawe upo kwenye kundi la wale "kipitacho lete" yaani wanao install kila software kwenye pc zao pasipo kuzitumia
Keyser Söze;6156582 said:Not working
Kudadek tayari manyau nyau kakukamata uchawi sasa kazi ni kwako!!
Kuhusu proxfier nakubaliana nawe kwamba haipo kwaajili ya Tunnel Guru maana mimi naitumia kwa zile naniino zetu za enzi na enzi ila ilo la Guru mh.....!!!
Sidhani kama umeiegesha kwenye desktop yako kama urembo tu!!!! au tuseme nawe upo kwenye kundi la wale "kipitacho lete" yaani wanao install kila software kwenye pc zao pasipo kuzitumia
Paje we noma kweli wataka kujua tunavyoitumia wakati yako unauza teh teh teeh.........!!!!hebu nisaidie mkuu, proxifier unaitumia kwa nini kipindi hiki ........ kama ni aibu japo ni PM basi.... maana mie ndio mtu wa mwanzo kuileta idea ya proxifier humu jamvini. lakini huenda ikawa nimebakia nyuma....
Paje we noma kweli wataka kujua tunavyoitumia wakati yako unauza teh teh teeh.........!!!!
Mr Kicheko usilegeze kamba we mpotezee tu.
krapka davinooooooo
Hacha pumba mkuu Hiyo Guru haifiki ki hivyo kwanza nasikia wadau wamejitoa kiroho safi!!!![]()
Anayepata 4mbps siku ya leo ajitokeze iwe wa kubundi au wa bundle full kujiachia mwezi
wee dogo mwenyewe si unalipia na kutumia guru?? au unapewa vocha buree?? kwani una mahusiano mazuri na muhindi wa guru? katika desktop yako hakuna software nyengine ya kutumika na proxifier zaidi ya guru..... tena ni latest version...
hebu hapa chini jiangalie unavyojithibitisha mwenyewe kama ni mtumiaji mzuri ila siku hii ulishindwa kufanya configuration vizuri...... ukalalamika kiusaniii....
hebu nisaidie mkuu, proxifier unaitumia kwa nini kipindi hiki ........ kama ni aibu japo ni PM basi.... maana mie ndio mtu wa mwanzo kuileta idea ya proxifier humu jamvini. lakini huenda ikawa nimebakia nyuma....
Tooba wacha nikae pembeni ili hiyo ngoma yenu muicheze wenyewe wewe na na Devu maana yy ndo mwenye Alternenative way ya kupenyeza mirija kwenye Mitungi.
Kama vipi muombe kikombe kishkaji au mfanye mbadilishano wa jenzi wakuu
Paje nimekupm kitambo mbona kimya mkuu