Soka Ndio Maisha Yangu
Member
- Nov 27, 2024
- 43
- 127
Atauambie kwani nafasi ya uwenyekiti anataka kujimilikisha maisha.Kesho Chadema watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Ni kati ya wale machawa wake ambao Makamu kasema wanaharibu chama.We umejuaje?
Hakika. Kitakua chama cha mtu mmoja😅aki gombea tena hiki chana kitakuwa ni useless .
Nimeipenda hii comment yako. Nakazia na mimi hapoSiwezi kuamini hadi nione, Mbowe akigombea tena uwenyekiti nitamvua heshima yote niliyonayo juu yake.
A junk of stupidityKesho Chadema watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Wasiompenda Mbowe ni maccm tu, atangaze kura ziamue ,yoyote atakaepita awe Mbowe au lissu sawa tu wala sioni tatizo .Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Kwa walio karibu na Mbowe wamshauri kwa nia nzuri tu, ni kweli kafanya kazi kubwa kukijenga chama ila ni muda sahihi kukaa pembeni angalau kwa muda mfupi na kuona namna mawazo mbadala yanavyoweza kuleta mabadiliko.Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Na ndiyo kitakuwa kimejizila rasmi.😅aki gombea tena hiki chana kitakuwa ni useless .