Pre GE2025 Freeman Aikael Mbowe kesho atatangaza rasmi kugombea uenyekiti CHADEMA wakati wa ufunguzi wa ofisi ya CHADEMA Kinondoni

Pre GE2025 Freeman Aikael Mbowe kesho atatangaza rasmi kugombea uenyekiti CHADEMA wakati wa ufunguzi wa ofisi ya CHADEMA Kinondoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Katika hotuba ya lissu sikuona akimponda mbowe, zaidi ni kumzungumzia maswala. Uwazi katika hotuba ya lissu tumefanikiwa kujua kilichojificha kwenye baadhi ya mioyo ya wafuasi wa chadema mfano yeriko Nyerere, wanajifanya wanapenda uwazi kumbe unafiki mtupu
 
Atatuvunja Moyo Sana kwakweli.
Uchaguzi huu ndo utatufanya kujua lengo la mbowe ni kutaka mabadiliko ya nchi au ya kwake binafsi, siasa ni muda na wakati, kwa sasa wanachadema na WA Tanzania wanamtaka lissu, ukubali ukatae.
 
Atangaze tu.

Sisi tunataka kuona watu wakitumia haki yao ya kugombea, kuchaguliwa na kushindwa.

Sio mtu mmoja, ajiaminishe kua yeye ndo mbeba maono
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Ramli
 
Back
Top Bottom