LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa japo mbowe ni haki yake kugombea, ila miaka 20 madarakani mweehNa ndiyo kitakuwa kimejizila rasmi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa japo mbowe ni haki yake kugombea, ila miaka 20 madarakani mweehNa ndiyo kitakuwa kimejizila rasmi.
Mbowe akigombea nitamdharau saanaHaahaa japo mbowe ni haki yake kugombea, ila miaka 20 madarakani mweeh
Haahaa huenda wafadhili wa chamaNani atalipia gharama za ukumbi?😀😀
Shida machawa, ndo yaleyale ya Nyerere, alidanganywa aendelee, kumbe ni maslahi binafsi ya watu😂Mbowe akigombea nitamdharau saana
Watu wataenda kuchekea vyooni...😂😂Wana mdanganya
Huo ndo mwisho wa chadema.
Katika hotuba ya lissu sikuona akimponda mbowe, zaidi ni kumzungumzia maswala. Uwazi katika hotuba ya lissu tumefanikiwa kujua kilichojificha kwenye baadhi ya mioyo ya wafuasi wa chadema mfano yeriko Nyerere, wanajifanya wanapenda uwazi kumbe unafiki mtupuKesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Uchaguzi huu ndo utatufanya kujua lengo la mbowe ni kutaka mabadiliko ya nchi au ya kwake binafsi, siasa ni muda na wakati, kwa sasa wanachadema na WA Tanzania wanamtaka lissu, ukubali ukatae.Atatuvunja Moyo Sana kwakweli.
RamliKesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.
Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.
Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.
Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.
Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Haahaa eti viongozi wenzangu watasema nigombee, eti kina yeriko chawa mkuu na boni yai😂😂Atangaze tu.
Sisi tunataka kuona watu wakitumia haki yao ya kugombea, kuchaguliwa na kushindwa.
Sio mtu mmoja, ajiaminishe kua yeye ndo mbeba maono