Pre GE2025 Freeman Aikael Mbowe kesho atatangaza rasmi kugombea uenyekiti CHADEMA wakati wa ufunguzi wa ofisi ya CHADEMA Kinondoni

Pre GE2025 Freeman Aikael Mbowe kesho atatangaza rasmi kugombea uenyekiti CHADEMA wakati wa ufunguzi wa ofisi ya CHADEMA Kinondoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Nani atalipia gharama za ukumbi?😀😀
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Wana mdanganya
Huo ndo mwisho wa chadema.
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Itakua saaa ngapi????
Ili nasi tuwe "Live"
#CRITICAL THINKER.
 
Siwezi kuamini hadi nione, Mbowe akigombea tena uwenyekiti nitamvua heshima yote niliyonayo juu yake.
Dalili zote zinaonyesha atagombea. Ameanza kwa kutengeneza mtandao wa machawa wake huko wilayani,mikoani na kwenye kanda. Na Mungu akitujalia 2029/30, atagombea tena. Ukishakula nyama ya mtu hutaacha. Hakuna kitu kinacholewesha kama madaraka. CHADEMA walifanya kosa kubwa kubakiza hiki kifungu cha kuondoa ukomo kwenye uongozi kwa muda mrefu. Around 2015 kilitakiwa kiondolewe. Nasikia hata kijana wa Mbowe naye anapewa majumu ya kufanya kwenye chama kwa namna inayoacha mashaka. Haya yote ni madhara ya kulewa madaraka.
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Kwahiyo Mbowe nae anataka kuanza kampeni mapema kama Lisu wakati bado uchaguzi haujatangazwa?
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Afya ya Chama katika kujibizana hadharani Iko wapi?


Madhaifu ya Makamu hayatamsafisha yeye bali yatazidi kilukichafua Chama. Sio lazima kujibu kila kitu.
Ukimya sio Ujinga, ni jibu tosha.
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Kama wanataka Chadema iendelee kuungwa mkono na kusonga mbele basi hiyo kesho atangaze kuwa hatogombea uwenyekiti bali atasimamia uchaguzi kuhakikisha kuwa Chama kinapata Mwenyekiti mpya! Vinginevyo asiongelee kabisa masuala ya uchaguzi wala asimjibu Tundu Lisu. Najua Mhe. Mbowe ni mtu mwenye buasara.
 
Kama wanataka Chadema iendelee kuungwa mkono na kusonga mbele basi hiyo kesho atangaze kuwa hatogombea uwenyekiti bali atasimamia uchaguzi kuhakikisha kuwa Chama kinapata Mwenyekiti mpya! Vinginevyo asiongelee kabisa masuala ya uchaguzi wala asimjibu Tundu Lisu. Najua Mhe. Mbowe ni mtu mwenye buasara.
Exactly
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Lissu amesha maliza kazi anasubiri uchaguzi tu
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Mbowe syo kichaa kama lisu
 
Lissu hana uwezo wa kupamabana na Mbowe ndani ya CHADEMA
 
Siwezi kuamini hadi nione, Mbowe akigombea tena uwenyekiti nitamvua heshima yote niliyonayo juu yake.
Na huu ni mtazamo wa chadema nzima, ni wakati aamue kuondoka kwa heshima au aharibu legacy yake
 
Kesho CHADEMA watafungua ofisi yao pale Kinondoni ambapo mgeni rasmi atakuwa mwenyekiti wa chama hicho na mtafuta hela wa chama hicho Freeman Mbowe.

Mbowe ametafuta platform hiyo ili amjibu vizuri sana Tundu Lissu.

Wengi wamemshauri asikae kimya, Yale yote yaliyosemwa na Makamu wake ayatolee ufafanuzi black and white.

Pia kesho ataeleza udhaifu wote wa makamu wake, mwanzo mwisho.

Na hapo vita ndio itakuwa imeanza rasmi kesho.
Mbowe ana haki ya kutangaza Nia ya kugombea uongozi ila SI kwa kutumia platfomu ya shughuli za chama, atakuwa kakosea maxima.Yeye naye atafute siku yake maalumu atangaze Nia, waandishi wa habari wampige maswali yote.Pia sitarajii tukio la mbowe kutangaza Nia liwekwe kwenye chadema media kamwe.
 
Back
Top Bottom