We ni ke au me?Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Naulizatu, mtamlinda wewe na nani?Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote
Wewe kama nani? Kikwete lazima asakamwe unataka au hutakiUmekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Mbona kama unachambaUmekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Imekuaje tena?Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
We popoma kweli...unajuwa nani anayelipia hizo safari? Gharama za kurusha hilo pipa na kulisha hiyo komvoi ?Chawa wa kihindi wewe...Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
kiongozi mstaafu anakua agenda ya mwenyekit wa Chadema Taifa 😀Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Kwani Salma unataka kusemaje???Umekosa hoja ! Umekosa mvuto ,Hauna dira yoyote ! Kama kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia ,kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani! Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa jk wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote ,kikwete sio mgombea Tena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu ,pambaneni na makonda anayewatoa kamasi kwa knockout Kwa Kila jaribio lenu ! Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Wanawake utawaweza basi? Ndo uongeaji wao siku zote hasa hawa ambao hawana shule.Mbona kama unachamba
Una wivu wa kijinga aliyepewa kapewa ,hakuna wizi Wala nini Kila na alichopangiwa na munguWewe kama nani umlinde kikwete?,huyu kwangu ni mwizi tu, kaliibia sana taifa hili na elewa Tanzania hii sio ya akina kikwetes, na ya watanzania wote, nani REAL OWNER WA UDA na Nyati cross borders transporter?
Salma unampambania kweli kweli mumeoUna wivu wa kijinga aliyepewa kapewa ,hakuna wizi Wala nini Kila na alichopangiwa na mungu
Pambaneni na watawala sio wastaafu ambao kwa sasa sio wagombea ni ujinga kupambana jiwe lililosimikaAcha jaziba za kijinga, jifunze kwanza kuandika kituo hadi kitu na kuzingatia sentensi na sentensi
Kwanza Kikwete hajawahi kukasirika hovyo hovyo kama wewe mwandishi
Na umesahau kitu gani kuhusu siasa?
Mara ngapi kikwete kasemwa na bado alifanya na hata sasa anaendelea?
Akitumia mali za umma pasipostahili lazima awe agenda labda kama haujitambui na inatakiwa kuwa agenda kwa kila mtazania ili huyo mstaafu afikishwe mahakamani.kiongozi mstaafu anakua agenda ya mwenyekit wa Chadema Taifa 😀
huku ni kufilisika hoja kwa kiwango kubaya sana...
kwamba unawakusanya watu ili waje wakuskize kiongozi mkuu wa chama analalanika ati kuongozi fulani anasafiria sana na raisi na kwahivyo moyo wako unaima sana na ndio maana maisha yameyumba nchini😛