Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Unaweza kuta hata kodi halipi KKB anakuja kuleta keleleWe popoma kweli...unajuwa nani anayelipia hizo safari? Gharama za kurusha hilo pipa na kulisha hiyo komvoi ?Chawa wa kihindi wewe...
Na mke mwenzake.Naulizatu, mtamlinda wewe na nani?
Naye mnachambana naye? Eeeeh.. nyie watu ni shida. Mi nimevuta kiti niwasomeKwani yeye huyo lengai wenu mbowe alikuwa hachambi? Si uliona anaongea anaweka mkono kiunoni kabisa
Wewe sasa ndio unayafanya Maandamano yafanikiwe ππMaandamano yamekosa kile mlirarajia sasa mnataka kuhamishia hasira zenu kwa jakaya hamtaweza
Ni hasira za kubuma kwa maandamanokiongozi mstaafu anakua agenda ya mwenyekit wa Chadema Taifa π
huku ni kufilisika hoja kwa kiwango kubaya sana...
kwamba unawakusanya watu ili waje wakuskize kiongozi mkuu wa chama analalanika ati kuongozi fulani anasafiria sana na raisi na kwahivyo moyo wako unaima sana na ndio maana maisha yameyumba nchiniπ
Mzee mbowe badala ya kueneza sera za chama chake ameamua kujikita kwenye umbea na kufuatilia maisha binafsi ya mwanaume mwenzake .AIBUUUUmekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Kama wewe unavyolamba kimba la huyu unaemtetea hapaView attachment 2919069ass licker upo kazini. Nyie jinsia huwa mkimpenda mtu mnamtetea sana.
Siyo hivyo salma kikwete umeelewa vibaya tuMaandamano yamekosa kile mlirarajia sasa mnataka kuhamishia hasira zenu kwa jakaya hamtaweza
Hahahaha πππView attachment 2919098
Nyie endeleeni kumjadili mwenyewe anaendelea kuburudika
ass licker kwamba huyo jamaa ni mlamba Tako au?View attachment 2919069ass licker upo kazini. Nyie jinsia huwa mkimpenda mtu mnamtetea sana.
Acha kumhusisha ALLAH kwenye ushetani, kapewa nini kihalali?,hana morals kabisa na nyuma kujificha nyuma ya nyumba za ibada, bila shaka wewe ni dot.com, nenda kwenye kumbukumbu na soma kuhusu Waziri Jackson Makwetta (MHSRIP),then mlinganishe na fisadi lako hiloUna wivu wa kijinga aliyepewa kapewa ,hakuna wizi Wala nini Kila na alichopangiwa na mungu
Obasanjo Kila siku yupo nchi mbalimbali kwenye oparesheni za kudumisha amani ya afrika ukiwa mstaafu haukai nyumbani kuku weweJakaya mwenyewe anataka kupumzika basi?
Sijui alisahau nini ktk awamu yake zaidi kuliingiza Taifa ktk mikataba mibovu kabisa!
Bora angetulia aheshimiwe pamoja na uovu ule, pia aache hujuma kwa wengine!