Freeman Mbowe acha kumsakama Mzee Kikwete, mwache apumzike

Freeman Mbowe acha kumsakama Mzee Kikwete, mwache apumzike

Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!

Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !

Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Hayo Mengine mimi siyajui ila hizi safari na hizi delegation hata mimi na kodi yangu hatuzipendi kabisa...; Huu ni ufujaji wa Pesa; Unajua safari moja na delegation yake inagharimu kiasi gani ?

Kina Nyerere wangefanya hivi kipindi kile dunia haijawa kijiji ningeelewa sasa hivi kuna kina Zoom n.k. hizi safari ni matumizi mabovu ya vijisenti na muda hususan kipindi hiki ambacho humu ndani mambo hayaeleweki
 
Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!

Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !

Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Tunataka kujua anasafiri kwa kodi za nani?kama kodi zetu sisi mbowe yuko sahihi.nchi ina matatizo mengi kwa sasa kuendelea kufisadi kodi zetu hii haikubaliki
 
Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!

Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !

Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Kupumzika wakati anazurura kila uchao na namba 1?
Huko angani ndio kupumzika?
Ushasikia Mwinyi akizungumziwa?
Ushasikia Sumaye akizungumziwa?

Tuliza mshono.
 
Tunataka kujua anasafiri kwa kodi za nani?kama kodi zetu sisi mbowe yuko sahihi.nchi ina matatizo mengi kwa sasa kuendelea kufisadi kodi zetu hii haikubaliki
Kwani wewe uliambiwa jk ni maskini?
 
Hayo Mengine mimi siyajui ila hizi safari na hizi delegation hata mimi na kodi yangu hatuzipendi kabisa...; Huu ni ufujaji wa Pesa; Unajua safari moja na delegation yake inagharimu kiasi gani ?

Kina Nyerere wangefanya hivi kipindi kile dunia haijawa kijiji ningeelewa sasa hivi kuna kina Zoom n.k. hizi safari ni matumizi mabovu ya vijisenti na muda hususan kipindi hiki ambacho humu ndani mambo hayaeleweki
Anasafiri kwa hela zake
 
kiongozi mstaafu anakua agenda ya mwenyekit wa Chadema Taifa 😀

huku ni kufilisika hoja kwa kiwango kibaya sana...

kwamba unawakusanya watu ili waje wakuskize kiongozi mkuu wa chama analalanika ati kiongozi fulani anasafiria sana na raisi na kwahivyo moyo wako unaima sana na ndio maana maisha yameyumba nchini😛
Sehemu yenye tatizo lazima iongelewe hata kama umestaafu.Kuratibu kuivuruga nchi kwa kisingizio cha ustaafu haikubaliki mahali popote pale penye watu wenye akili timamu.Nchi hii ni kubwa haistahili kuyumbishwa na mtu mmoja kwa kisingizio cha ustaafu.
 
Back
Top Bottom