Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawapa stata watu wa dini ile,hivi aliwafanya nini!?..maana Hadi viongozi wenu wa dini hawampendi..Wewe kama nani? Kikwete lazima asakamwe unataka au hutaki
Brainwashed ni wewe unayeona fahari kutumia lugha ngeniMtoa mada ni brainwashed
Brainwashed ni wewe unayeona fahari kutumia lugha ngeniMtoa mada ni brainwashed
Hayo Mengine mimi siyajui ila hizi safari na hizi delegation hata mimi na kodi yangu hatuzipendi kabisa...; Huu ni ufujaji wa Pesa; Unajua safari moja na delegation yake inagharimu kiasi gani ?Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Tunataka kujua anasafiri kwa kodi za nani?kama kodi zetu sisi mbowe yuko sahihi.nchi ina matatizo mengi kwa sasa kuendelea kufisadi kodi zetu hii haikubalikiUmekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Kupumzika wakati anazurura kila uchao na namba 1?Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
JK ndiyo dalali mkuu wa dili za nchi hii akisaidiwa na RostamJakaya mwenyewe anataka kupumzika basi?
Sijui alisahau nini ktk awamu yake zaidi kuliingiza Taifa ktk mikataba mibovu kabisa!
Bora angetulia aheshimiwe pamoja na uovu ule, pia aache hujuma kwa wengine!
wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote
Tulia dada anguHata wewe ukitamani hizo deal nenda
Tulia mjinga weweAnachezea uliwahi kumsaidia
Anasafiri kwa hela zakeHayo Mengine mimi siyajui ila hizi safari na hizi delegation hata mimi na kodi yangu hatuzipendi kabisa...; Huu ni ufujaji wa Pesa; Unajua safari moja na delegation yake inagharimu kiasi gani ?
Kina Nyerere wangefanya hivi kipindi kile dunia haijawa kijiji ningeelewa sasa hivi kuna kina Zoom n.k. hizi safari ni matumizi mabovu ya vijisenti na muda hususan kipindi hiki ambacho humu ndani mambo hayaeleweki
Sehemu yenye tatizo lazima iongelewe hata kama umestaafu.Kuratibu kuivuruga nchi kwa kisingizio cha ustaafu haikubaliki mahali popote pale penye watu wenye akili timamu.Nchi hii ni kubwa haistahili kuyumbishwa na mtu mmoja kwa kisingizio cha ustaafu.kiongozi mstaafu anakua agenda ya mwenyekit wa Chadema Taifa 😀
huku ni kufilisika hoja kwa kiwango kibaya sana...
kwamba unawakusanya watu ili waje wakuskize kiongozi mkuu wa chama analalanika ati kiongozi fulani anasafiria sana na raisi na kwahivyo moyo wako unaima sana na ndio maana maisha yameyumba nchini😛