LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mbowe kakosa nini?? ID yako inasadifu jinsi akili yako ilivyo kama makaa ya mawe
 
Hao wasaidizi akina bwire +adamoo ni toka enzi za kesi ya ugaidi wapo nae sako kwa bako.
 
Sidhani hata kama unajua nini maana ya laana
Na hakuna laana ya kushangilia kifo Cha mtu katili au Bedui, ambaye uongozi wake watu walikuwa wanaelea kwenye viroba wakiwa wafu!!!

Ni haki kushangilia kazi ya Mungu ya kuondoa watu wake duniani, bila kujali , ni Mtu mwema, au mbaya.
 
Wanaondoka tu Mungu yupo kazini
 
Asiachiwe huyo mpaka akamalizie ile kesi yake ya Ugaidi mahakamani.

Aisee
 
Hakuna lingine zaidi ya njama ya kuwakwamisha kwenye kampeni yao na siku zenyewe za kampeni ni chache. Kwa uonevu huo wananchi watawapigia kura za huruma wanaoonewa.
Hiyo mijizi itaiba uchafuzi (uchaguzi(
 
Samiah alimpa Mbowe kesi ya ugaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…