Freeman Mbowe akiachia Uenyekiti CHADEMA itakufa na kusambaratika ndani ya miezi michache

Leo saa mbovu imesema Kweli.

Mbowe ahakikishe CDM inashika DOLA ndo ang'atuke .

Bt kumbuka pia Uenyekiti CDM Si vita, CHADEMA ni Moja.

Aamen
Chadema na chama chochote kile Cha upinzani hakiwezi kupewa nafasi ya kuongoza nchi hii,Jua liwake mvua inyeshe Hakuna mpinzani wakwenda ikulu. Ikulu no mahali patakatifu siyo mahali ambapo kila mtu anaweza kwenda na kukaa,
 
Siyo kweli Mbowe katengeneza backup mzuri sn, Heche, Mnyika, Sugu, Msigwa, MMM n.k
Awaangalie Sana akina Lema na Lisu ,wale Ni vibaraka wa mabeberu,wapo tayari kuleta na kuchochea hata machafuko maana hawana uchungu na nchi yetu,Namtetea mh Mbowe kwa kuwa yupo Tayari kwa maridhiano
 
Utahangaika sana lakini kamwe hutateuliwa Samia hatoi teuzi za kishamba na hataki kushobokewa
Naona unahangaika Sana na Mimi kuhusu neno Hilo la uteuzi kana kwamba hii Ni barua ya kuomba uteuzi,ungekuwa wewe Ni mgawaa pumzi bila Shaka ungeninyima oksijeni ili nife maana unachuki kubwa Sana na Mimi. Hata hivyo Mimi Sina hasira Wala kinyongo na wewe,Nakuombea Hekima na busara ili upunguze chuki na hasira juu yangu
 
Safari hii hakuna teuzi za kindezindezi.
 
Ndiyo mnavyokaririshwa huko CCM?
 
Chama kama hakina mbadala wa tu mwingine kushika uenyekiti ni chama mfu yaani akiondoka mbowe kina kufa? sasa hicho siyo chama ni saccoss ya mbowe ndiyo jina unaweza kusema kwa maana chama ni taasisi siyo mali ya mtu binafsi kwanza ni matusi kusema hakuna mtu mwingine zaidi ya mbowe
 
Leo saa mbovu imesema Kweli.

Mbowe ahakikishe CDM inashika DOLA ndo ang'atuke .

Bt kumbuka pia Uenyekiti CDM Si vita, CHADEMA ni Moja.

Aamen
chama kama hakiwezi kubadirishana uenyekiti huwezi kuita chama ni kikundi tucha wahuni fulani
 
chama kama hakiwezi kubadirishana uenyekiti huwezi kuita chama ni kikundi tucha wahuni fulani
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kihuni , rejea ushenzi uliofanyika 2019/20 kwenye chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kihuni , rejea ushenzi uliofanyika 2019/20 kwenye chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
hivi chadema wakipewa nchi si watakuja kulazimisha kukaa madarakani mpaka dunia iishe ?kama mwenyekiti tu hataki kutoka kuwapisha wengine unakiitaje kuwa chama cha democrasia yaani democrasia inabakwa hadharani na mhuni mmoja tu mbowe ambaye hana dira wala mwelekeo hajulikani kama kaunga juhudi au la?
 
chama kama hakiwezi kubadirishana uenyekiti huwezi kuita chama ni kikundi tucha wahuni fulani
Tuanze kubadilishana DOLA,

Miaka 5 CCM, miaka 5 inayofuata tunakipa CDM au chama kingine Cha upinzani.

Utaratibu huo ni mzuri sana, chama Cha Democratic na Republican wamefanya sana na umeleta tija USA.

Kwann CCM inganganie tangu uhuru?

Huoni ni UHUNI huo ndugu???
 
hatuoni jipya kwa chadema maana kama wameshindwa kuwa na democrasia ndani ya chama wataweza kubadirishana nchi? inaonekana hawana hazina ya watu wenye uwezo wa uongozi sasa mnawapa nchi ya nini
 
hatuoni jipya kwa chadema maana kama wameshindwa kuwa na democrasia ndani ya chama wataweza kubadirishana nchi? inaonekana hawana hazina ya watu wenye uwezo wa uongozi sasa mnawapa nchi ya nini
Jibu swali, kwann CCM ikae muda wote pekeake, huoni inatakiwa kubadilishana na vyama vingine?
 
Chadema na chama chochote kile Cha upinzani hakiwezi kupewa nafasi ya kuongoza nchi hii,Jua liwake mvua inyeshe Hakuna mpinzani wakwenda ikulu. Ikulu no mahali patakatifu siyo mahali ambapo kila mtu anaweza kwenda na kukaa,
Ni Kweli IKULU ni Mahali PATAKATIFU, mbona yule Askofu mwingira alimuona SHETANI kwenye nyumba hiyo na CCM ndo chama tawala???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…