Freeman Mbowe akiachia Uenyekiti CHADEMA itakufa na kusambaratika ndani ya miezi michache

Jibu swali, kwann CCM ikae muda wote pekeake, huoni inatakiwa kubadilishana na vyama vingine?
hakuna chama makini cha kuweza kuchukua nchi zaidi ya ccm chadema wenyewe hawaelewani wenyewe kwa wenyewe sasa muwape nchi ? nchi siyo ya kujaribishana uongzi unatakiwa uwe umeiva kama wana ccm
 
hakuna chama makini cha kuweza kuchukua nchi zaidi ya ccm chadema wenyewe hawaelewani wenyewe kwa wenyewe sasa muwape nchi ? nchi siyo ya kujaribishana uongzi unatakiwa uwe umeiva kama wana ccm
Tusadie chama mbadala ni kipi kama CDM hakijakua Ili tukibadili na CCM?
 
Wewe hata hujui unajadili nini, CCM ndiyo iko madarakani tangu tupate Uhuru na ndiyo hii inatumia mabavu ya vyombo vya dola kubaki madarakani. Watu kibao wameshauliwa katika chaguzi mbali mbali ili CCM iendelee kutawala kibabe.
 
hakuna chama makini cha kuweza kuchukua nchi zaidi ya ccm chadema wenyewe hawaelewani wenyewe kwa wenyewe sasa muwape nchi ? nchi siyo ya kujaribishana uongzi unatakiwa uwe umeiva kama wana ccm
Kama Kweli unaona hakuna mbadala wa CCM huoni ni UDIKTETA huo!!!

Unapata wapi nguvu ya kuunyooshea kidole UENYEKITI wa MBOWE?

Kaa Kwa kutulia!!!

Pia ujue CDM ni MOJA.
 
Ni Kweli IKULU ni Mahali PATAKATIFU, mbona yule Askofu mwingira alimuona SHETANI kwenye nyumba hiyo na CCM ndo chama tawala???
Siyo kila mwenye macho huona kwa hiyo inategemeana ulionaje,Ndio maana Kuna wenye macho lakini hawaoni na Kuna wanao ona lakini hawaelewi.
 
Wewe hata hujui unajadili nini, CCM ndiyo iko madarakani tangu tupate Uhuru na ndiyo hii inatumia mabavu ya vyombo vya dola kubaki madarakani. Watu kibao wameshauliwa katika chaguzi mbali mbali ili CCM iendelee kutawala kibabe.
Watu gani walio uwawa,una ushahidi huo, Mbona wewe huja uwawa wakati kila Siku unafanya kazi ya kutukana mimatusi humu utafikiri umekosa malezi Bora ya wazazi?
 
Watu gani walio uwawa,una ushahidi huo, Mbona wewe huja uwawa wakati kila Siku unafanya kazi ya kutukana mimatusi humu utafikiri umekosa malezi Bora ya wazazi?
Wewe unabishana kishabiki oya oya naamua kukupuuza. Wale waliuliwa kule Pemba hadi kwa mara ya kwanza tukazalalisha wakimbizi siyo watu au ulikuwa bado uko kijijini kwenu unakunya porini huko?
 
Jibu swali, kwann CCM ikae muda wote pekeake, huoni inatakiwa kubadilishana na vyama vingine?
CCM ipo madarakani na itaendeleaa kuwepo hapa kwa maelfu ya miaka kwa kuwa Ina Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania wanyonge,kwa kuwa Ina uchungu na maisha ya watanzania,kwa kuwa inawajari na kuwa sikiliza watanzania,kwa kuwa Ina Dira na muelekeo unaoeleweka,kwa kuwa Ina safu ya uongozi inayoeleweka,kwa kuwa CCM imefanya kazi kubwa Sana ya kuleta maendeleo katika Taifa letu katika kila nyanja Tangia tujipatie Uhuru wetu
 
Unajua maana ya DEMOKRASIA?

Marekani Kuna vyama viwili vikuu, DEMOCRATIC party na REPUBLICAN,

Vyama hivi vyote vinawatumikia vizuri wananchi Kila vinapopewa nafasi ya Kutoa RAIS wa kuongoza Nchi.

Wananchi wanavibadili vyama hivi watakavyo.

KWANN CCM isiwe na mbadala?

CCM ni mama etu asiwe na mbadala?
 

Ulikuwepo wakati kaburu ana hama CHADEMA?

Ulikuwepo wakati Zitto anahama CHADEMA?

Ulikuwepo kipindi Dr Slaa anahama CHADEMA?

Nini kilitokea baada ya hao watatu kuhama chama?. Chama kimebaki imara.

CHADEMA Ina watu wengi wakuongoza. Mbowe kaacha vifaa vingi.
1. Lissu
2. Heche
3. Mwalimu
4. Amani Golugwa
5. Dr Albano
6. Msigwa.
7. Lema
8. Mnyika
9. Susan Kiwanga
10. Ruge Catherine, etc

CHADEMA Ni imara Sana hakuna wa kuiangusha zaidi ya Mungu mwenyewe.
 
Awaangalie Sana akina Lema na Lisu ,wale Ni vibaraka wa mabeberu,wapo tayari kuleta na kuchochea hata machafuko maana hawana uchungu na nchi yetu,Namtetea mh Mbowe kwa kuwa yupo Tayari kwa maridhiano
Maridhiano ya kijinga hayana time frame na ni faida kwa CCM
 
Ungekuwepo enzi ya mkoloni ungejiunga na chama cha mkoloni na kuwaacha waafrika wenzako kwani unapenda vilivyokwishakuwa tayari. Waache wapiganaji CDM waunde chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…