DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hope wamezungumzia maandamano ya vurugu ya mapanyarodi January 24, na hatua ya vyombo vya ulinzi na usalama kuwa na kampeni ya kusafisha jiji kama tahadhari ya kudhibiti mlipuko wa kipindupindu dar...Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??
View attachment 2875477
😅😅hope wamezungumzia maandamano ya vurugu ya mapanyarodi January 24, na hatua ya vyombo vya ulinzi na usalama kuwa na kampeni ya kusafisha jiji kama tahadhati ya kudhibiti mlipuko wa kipindupindu dar...
Maoni yangu ni kuwa vyama vya upinzani nchini vina haki ya kufanya maandamano ya Amani bila ya kuwekwa mizengwe maana katiba inalitambua hilo.Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??
View attachment 2875477
Hutaki hama nchi urudi kwenu BurundiSiasa za Mmarekani daima ni "divide and rule".
Dawa ya mjanja ni kuwa mjanja zaid yake[emoji28][emoji28]
Huu nauona Mtego wa Serikali na mi naona ni bora isiingilie iwaache tu Waandamane maana naona Kuna Vugu vugu la chini wiki hii na ilopita amezunguka kwa mabalozi wa nchi zenye nguvu!
Funga domo lako wewe uvccm uchwaraDemokrasia gani yeye ameng'owa kipengele cha katiba aongoze milele aliahidi 2023 ndio mwisho lakini yeye kwanza anataka kugombea uraisi!
Kwani umetokea pori gani?Maoni yangu ni kuwa vyama vya upinzani nchini vina haki ya kufanya maandamano ya Amani bila ya kuwekwa mizengwe maana katiba inalitambua hilo.
Najua mmemchoka lakini ndio hakuna namna!Funga domo lako wewe uvccm uchwara
Stupid idiothope wamezungumzia maandamano ya vurugu ya mapanyarodi January 24, na hatua ya vyombo vya ulinzi na usalama kuwa na kampeni ya kusafisha jiji kama tahadhari ya kudhibiti mlipuko wa kipindupindu dar...
Wakati mnakesha kila siku mnawapigia hao wazungu kuomba misaada hata ya kupatiwa bure ARVYalishapita mengi kama hayo na hakukua na jipya cha muhimu ni kukaza buti.
Beneru yupo BurigiMbowe na Lisu ni watumishi wa mabeberu wataendelea kusaliti harakati za watanzania kuelekea kujikomboa
Nikweli lakini barabala walizopanga kufanyia maandamano hayo ni shida mfano Buguruni mpaka mwembe yenga nisawa na kusimamisha mgali yote kuanzia bandarini mpaka kimala ubungo mpaka bunju yote hiyo itakua foleni ya mwaka pia kinondoni mpaka ulipo ubarozi wa Marekani hii itawafanya watu wa dar kushinda njaaMaoni yangu ni kuwa vyama vya upinzani nchini vina haki ya kufanya maandamano ya Amani bila ya kuwekwa mizengwe maana katiba inalitambua hilo.
Wrong place to seek advice.Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??
View attachment 2875477
Labda wanaongeza hizo division sababu kabla ya divide and rule yao nyinyi wenyewe mlishaji-divide vipande vipande..udini, ukanda, umakundi kwenye vyama vyenu nk..Siasa za Mmarekani daima ni "divide and rule".
hapana wasiruhusiwe kabisa kuwaletea fujo wanaofanya kazi zao kwa amani...😅😅
Huu nauona Mtego wa Serikali na mi naona ni bora isiingilie iwaache tu Waandamane maana naona Kuna Vugu vugu la chini wiki hii na ilopita amezunguka kwa mabalozi wa nchi zenye nguvu!