Pre GE2025 Freeman Mbowe akutana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Balozi Michael Battle leo kujadili kuhusu Demokrasia nchini

Pre GE2025 Freeman Mbowe akutana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Balozi Michael Battle leo kujadili kuhusu Demokrasia nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe na Lisu ni watumishi wa mabeberu wataendelea kusaliti harakati za watanzania kuelekea kujikomboa
Nijuacho mimi ni kwamba watu wenye akili kama zako ikitokea leo hii Tanzania ikavamiwa hata na Rwanda, halafu wakaiweka Tanzania chini yao kama koloni, ninyi mtaendelea kusifu ma kuabudu.
Ninyi mmeumbwa kusifu walio madarskani na si vinginevyo.
Bahati mbaya sana mnawasifu badala ya kuwasaidia, mmasubiri wafanye au waongee chochote kile ili muwasifu.
 
Hivi CCM ipo kwenye harakati gani za kujikomboa? Kujikomboa toka kwa nani?

Najua wapo Watanzania wengi wanaohangaika kujikomboa toka kwenye ukoloni wa CCM. Kumbe na CCM nayo ipo kwenye jitihada za kujikomboa!!
Ni kweli CCM ikomboe nini na nani zaidi ya maslahi binafsi ya viongozi
 
Kwani serekali inaona ugumu gani kuleta marekebisho ya haki ?? Kweli karne hii ni ya kulazimisha wakurugenzi wasimamie uchaguzi ? Wakurugenzi ambao wameteuliwa wengine kutoka mitaani kama makada …..
Kuna ugumu gani kuwa na Tume huru ya uchaguzi ….kwani wakiamua kupenyeza watu wa TISS bado watashindwa …au hawawaamini hata TISS >>?
mawazo na maoni ya wachache yasipoungwa mkono na wengi imekua kulazimisha 🐒

ati akina nani wapenyezwe wap?

wengi wameamua kupuuza wito wa wachache kwenye hayo mapendekezo, unang'aka hivyo sembuse hao unaosema waamue kupenyeza sijui nini wapi si utapiga yowe wew 🐒
 
Big Point

Imefikia mahali sasa ambapo ccm hawawaamini tena usalama wa taifa wala jeshi …..kwa sababu hata huko tayari maafisa wengi wamechoka na ujanja ujanja ….na mkumbuke hawajaapa kulinda chama bali wao wanasimama na katiba ndio maana waliamua kusimama kidata kuhakikisha kuwa…Samia anakuwa Rais kwa sababu ni matakwa ya kikatiba…..siku wakiona wananchi wamechoka na kuendelea kuisaidia ccm ishinde ni kulipasua taifa nawahakikishia ndani ya usalama tuaataacha ianguke ….

SAMIA alikuwa na msimamo mzuri sana lakini wahafidhina ndani ya ccm wanamuharibia 4R yake …
 
😅😅
Huu nauona Mtego wa Serikali na mi naona ni bora isiingilie iwaache tu Waandamane maana naona Kuna Vugu vugu la chini wiki hii na ilopita amezunguka kwa mabalozi wa nchi zenye nguvu!
Hamna lolote jipya hapo boss. Uchaguzi wa 2020 uliporwa na hao mabalozi wanajua, lakini hakuna lolote walifanya. Bila sisi wenyewe kufanya machafuko au mapinduzi ya kijeshi, tusitegemee lolote la maana toka kwa nchi za nje.
 
Siasa za Mmarekani daima ni "divide and rule".
Ni sawa kwa hali tuliyo nayo bora tu wa-divide na ku-rule kama tunaongozwa na wasiojielewa!
Maisha yanazidi kuwa magumu halafu viongozi wenyewe wao wako kimya tu!
Si bora kwa majirani zetu tunawaona viongozi wao at least wanawapoza raia wao kwa maneno ya faraja
 
hapana wasiruhusiwe kabisa kuwaletea fujo wanaofanya kazi zao kwa amani...

hawajawahi kufanya andamano la amani hawa watu....

Haifai kuendekeza tabia mbaya ya kudekadeka, mara wanadai tume huru ya uchaguzi, kitu ambacho kilikuwepo kizuri mno kwenye rasimu ya warioba na waliridhika vizuri tume iwe kama ilivyo kwenye rasimu, lakini wakasusia bunge la katiba kudai serikali tatu ambazo haingewezekana kivyovyote kulingana na uchache wao mule bungeni...

Leo hii hawadai tena serikali tatu,
wanadai eti garama za maisha zipo juu, serikali iwajibike,
juzi walikua wanadai katiba mpya , jana bandari 😎

sasa wanachotaka ni nini hasa?
nadhani kuna kuchanganyikiwa fulani kama sio kulewa madaraka na kukosa uelekeo
To be honest sijui unaandikaga utoto gani?!
 
Itakuwa balozi wa Marekani amemwambia mbowe kuwa wewe na chama chako ni manyumbu na mafisi wakubwa. Itakuwa akaendelea kumuuliza Mbowe kuwa kwanini tangia 2004 ni wewe tu unang'ang'ania tu uenyekiti kama sumaku kwenye chuma? Kwamba kwenye chama hakuna mwingine anayeweza kuongoza isipokuwa wewe tu unayewaambia watu kuwa sumu haionjwi kwa ulimi? Itakuwa akamwambia pia mbowe kuwa ninyi kwanini hatujawahi kuwaona watoto wako au mke wako kwenye maandamano?
🌈
 
Nijuacho mimi ni kwamba watu wenye akili kama zako ikitokea leo hii Tanzania ikabamiwa hata na Rwanda hapo halafu wakaiweka Tanzania chini yao kama koloni, ninyi mtaendelea kusifu ma kuabudu.
Ninyi mmeumbwa kusifu walio madarskani na si vinginevyo.
Bahati mbaya sana mnawasifu badala ya kuwasaidia, mmasubiri wafanye au waongee chochote kile ili muwasifu.
Umemwonea Mkuu.
Kulwa Jilala hayuko hivyo
 
Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??

View attachment 2875477
Your democracy if doesn't benefit us it's nothing

Wao wataichukulia demokrasia ktk nchi yako kua ni demokrasia ikiwa tu wananufaika kpitia demokrasia yako

Maana ake hata ukiwa dictator, iwapo tu wananufaika na u dictator wako kwao ni shangwe tu.
 
Ni sawa kwa hali tuliyo nayo bora tu wa-divide na ku-rule kama tunaongozwa na wasiojielewa!
Maisha yanazidi kuwa magumu halafu viongozi wenyewe wao wako kimya tu!
Si bora kwa majirani zetu tunawaona viongozi wao at least wanawapoza raia wao kwa maneno ya faraja
Ni sawa kwa hali tuliyo nayo bora tu wa-divide na ku-rule kama tunaongozwa na wasiojielewa!
Maisha yanazidi kuwa magumu halafu viongozi wenyewe wao wako kimya tu!
Si bora kwa majirani zetu tunawaona viongozi wao at least wanawapoza raia wao kwa maneno ya faraja
Sivyo kama unavyofikiria kijana.

Wao hawajali maisha yao, wao wanakutawala bila kujijuwa kama wanakutawala ili yao yasikwame. Wanakutumia tu, Wakimaliza kazi na wewe wankutupa na kutumia mwengine.

Usifikiri hata siku moja kuwa watakuletea ahueni wewe mlalahoi, wangewafanyia wa kwao kwanza.
 
Imefikia mahali sasa ambapo ccm hawawaamini tena usalama wa taifa wala jeshi …..kwa sababu hata huko tayari maafisa wengi wamechoka na ujanja ujanja ….na mkumbuke hawajaapa kulinda chama bali wao wanasimama na katiba ndio maana waliamua kusimama kidata kuhakikisha kuwa…Samia anakuwa Rais kwa sababu ni matakwa ya kikatiba…..siku wakiona wananchi wamechoka na kuendelea kuisaidia ccm ishinde ni kulipasua taifa nawahakikishia ndani ya usalama tuaataacha ianguke ….

SAMIA alikuwa na msimamo mzuri sana lakini wahafidhina ndani ya ccm wanamuharibia 4R yake …
TISS wenyewe Ndo hawa wanaosukumwa na Security wa Kagame..
Kama watoto..

View: https://x.com/MfanyakaziNews/status/1747953372999589928?t=aMqb8--uxeLpwh9UlOwyww&s=09
 
To be honest sijui unaandikaga utoto gani?!
kama kuzuia ujambazi wa mapanyarodi na waandamanaji haramu na majambazi ni honestly utoto, then January 24 tutajua kwamba ni siku ya usafi wa mazingira Dar kuepusha mlipuko wa kipindupindu au ni purukushani nguo kuchanika 🐒
 
Back
Top Bottom