Pre GE2025 Freeman Mbowe akutana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Balozi Michael Battle leo kujadili kuhusu Demokrasia nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kama kuzuia ujambazi wa mapanyarodi na waandamanaji haramu na majambazi ni honestly utoto, then January 24 tutajua kwamba ni siku ya usafi wa mazingira Dar kuepusha mlipuko wa kipindupindu au ni purukushani nguo kuchanika πŸ’
πŸ‘‰πŸŒˆπŸ₯±
 
Mbowe ni moja ya wanasiasa wastaarabu sana. Anaekewa sana kufanya siasa zenye ushawishi.

Tukiachana mambo ya uchawa chadema na ccm can make the best kwa hii nchi.
 
Mikwara tu

Hao hao ndio Chadema walikua wanadai waliibia nchi hii madini πŸ˜‚

Mzungu anamzuga tu
 
Lipumba humwambii kuhusu Maandamano hata kidogo πŸ˜…πŸ˜…
Hii ilikua ni utawala wa Kikwete juzi tu hapo 2015.

Maandamano makubwa ya CUF yalikua Zanzibar 2001 watu waliuwawa na wengine kukimbilia uhamishoni hadi leo na waliishia kupewa political asylum baadaye na uraia kabisa kwa wengine .
Nakumbuka mwaka huo sijui ilikuwa 2004 ile..

LIPUMBA ALIKULA KICHAPP
View attachment 2875515
Haya mapumbavu akili hayana kabisa.

Mtu hana silaha nguvu zote hizo za nini?

Sishangai kusikia kuwa wanachukua zile alama za chini kabisa za ufaulu ndio wanaojiunga huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…