kama kuzuia ujambazi wa mapanyarodi na waandamanaji haramu na majambazi ni honestly utoto, then January 24 tutajua kwamba ni siku ya usafi wa mazingira Dar kuepusha mlipuko wa kipindupindu au ni purukushani nguo kuchanika π
Hii ilikua ni utawala wa Kikwete juzi tu hapo 2015.
Maandamano makubwa ya CUF yalikua Zanzibar 2001 watu waliuwawa na wengine kukimbilia uhamishoni hadi leo na waliishia kupewa political asylum baadaye na uraia kabisa kwa wengine .