Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mahakama inaenda kusikiliza madai ya Mwenyekiti kwamba amechafuliwa.

Hoja za msigwa zinapaswa kujibiwa na chama kupitia katibu mkuu kama ambavyo Lissu alipendekeza.
chadema iko zigzag sana,
mbaya zaidi hawaelewani kabisa,

kwa mfano sasa hivi uskute Makamu mwenyekiti yupo anachekea chooni muda huu juu ya anachofanya mwenyekiti, eti anaenda mahakamani 🤣
 
Seriously?!

Hili ni muhimu zaidi kuliko ya kutetea Taifa?
Mnahangaika na huyu mwenzenu yes mwenzenu badala ya kufungua kesi za kulikomboa Taifa, kuwarejesha waliotekwa kujua mstakabali wa Taifa mpo na kukimbizana na mjanja mwenzenu.


Tukisema hakuna upinzani bongo ni biashara za wachache hii ndio maana yake..
Mwenyekiti ajibu hoja za aliyemchafua sio hizi sarakasi

Mnajua kuwapanga wabongo duh!

Wanaofaidi keki ya Taifa ni wengi.
Mbowe kama mtu binafsi ndiye katangaza kumfungulia Msigwa kesi ya defamation. CHADEMA kama chama hakihusiki. kinaweza kuhusishwa kama shahidi mahakamani ikibidi. Upinzani upo ila si kazi rahisi kupambana na chama dola au serikali yenyewe.
 
Hiyo ni kesi ya Defamation. Maana Msigwa amemtaja mbowe kama mbowe
Licha ya kua hakuna kesi ya maana pale,

Lisu atakua amanufaika pakubwa na ofcoz itakua ni Fursa muafaka ya kutaka kujua na kuhoji zaidi kama madai ya Msigwa sio ya msingi wala sio ya kweli...

ili kujiridhisha nadhani uchunguzi wa kichama ili kupata Ukweli wa hasira na mihemko ya chairman inatokana na nini? na actually kujua na kuhoji mambo mengine muhimu hususani yanayohusiana na fedha za uendeshaji wa chama, mikopo ya chama na madeni ya chama 🐒
 
Yaani mtu kikushtaki mahakamani iweje tena ni kujaribu kukutisha ikiwa alisema Kweli.

Hizo si ndiyo lugha tulizizowea?

Hujawahi kusikia kuburuzwa mahakamani kukitumika kama kitisho?
 
Alisema watoe majibu ndani ya chama, wajibu hoja za msigwa kwa kutoa ufafanuzi wa matumizi ya mali za chama.
Hayo ndio majibu yenyewe.Kama jambo nilauongo mtu anaongea tu ili aonekane na waliomsajili wamesajili mtu bora utamjibu nini?.Kwahiyo kama alichokiongea ni sahihi basi atajibu mahakamani ila kama yalikua maneno ya uongo ataomba samahani.simple as that.
 
Seriously?!
....badala ya kufungua kesi za kulikomboa Taifa, kuwarejesha waliotekwa kujua mstakabali wa Taifa mpo na kukimbizana na mjanja mwenzenu.
Wewe unaonekana hufuatilii mambo ya siasa za nchi hii.
 
Kesi za kisiasa hizo zitaisha kisiasa. Msigwa aendelee kupiga spana huyo Mbowe.
Kuwaumiza wananchi masikio kwakupiga makelele kwa habari za uongo nayo ni kipaji kingine cha ujinga.Aombe samahani ili tujue ilikua ni siasa nasio kweli.
 
Hayo ndio majibu yenyewe.Kama jambo nilauongo mtu anaongea tu ili aonekane na waliomsajili wamesajili mtu bora utamjibu nini?.Kwahiyo kama alichokiongea ni sahihi basi atajibu mahakamani ila kama yalikua maneno ya uongo ataomba samahani.simple as that.
Sawa, Lakini haya mambo hayajaanza kusemwa na msigwa, hata Lissu aliwahi kusema kipindi yupo kwenye mkutano pale Iringa.

Alisema amezoea kuona Chama hakina pesa za mikutano, lakini kwenye chaguzi za ndani kunakuwa na pesa nyingi na haijulikani zimetoka wapi.

Akaomba uongozi wa chama utoe maelezo kuhusu hilo, na akakiri kwamba chama kimevamiwa na rushwa kutoka CCM.

Hizo hoja mpaka leo hakuna aliye zijibu. Akaulizwa tena na Chief odemba kuhusu fedha za join the chain, akasema Mnyika ndyo anapaswa kujibu lakini hakuna maelezo mpaka sasa.

Kwa maana hiyo, kwa namna moja ama ingine mwenyekiti ana hoja za kujibu, ukimya wake unaleta mashaka, kuamua kwenda mahakamani bado sio suluhisho kwani wanachama wanataka maelezo ya ndani ya chama na sio maamuzi ya mahakama.
 
Sawa, Lakini haya mambo hayajaanza kusemwa na msigwa, hata Lissu aliwahi kusema kipindi yupo kwenye mkutano pale Iringa.

Alisema amezoea kuona Chama hakina pesa za mikutano, lakini kwenye chaguzi za ndani kunakuwa na pesa nyingi na haijulikani zimetoka wapi.

Akaomba uongozi wa chama utoe maelezo kuhusu hilo, na akakiri kwamba chama kimevamiwa na rushwa kutoka CCM.

Hizo hoja mpaka leo hakuna aliye zijibu. Akaulizwa tena na Chief odemba kuhusu fedha za join the chain, akasema Mnyika ndyo anapaswa kujibu lakini hakuna maelezo mpaka sasa.
Umeandika bandiko reeefu lakini halina mantiki. Lissu alisema kuna mtu kala hizo fedha ama alisema Katibu Mkuu ndiye anayehusika na mambo ya fedha?

Msigwa kamtuhumu Mbowe moja kwa moja. Hivyo si suala la chama bali ni la kibnafsi.
 
Umeandika bandiko reeefu lakini halina mantiki. Lissu alisema kuna mtu kala hizo fedha ama alisema Katibu Mkuu ndiye anayehusika na mambo ya fedha?

Msigwa kamtuhumu Mbowe moja kwa moja. Hivyo ni suala la chama bali ni la kibnafsi.
Ni swala la binafsi lakini lina uhusiano mkubwa na mambo mengine kwasababu mwenyekiti ndyo mwanachama namba moja, na kila kitu lazima afahamu.
 
Ni swala la binafsi lakini lina uhusiano mkubwa na mambo mengine kwasababu mwenyekiti ndyo mwanachama namba moja, na kila kitu lazima afahamu.
Kwenye CHADEMA hakuna mwanachama mwenye sifa za upekee. Mbowe ni Mwenyekiti lakini pia ukimtuhumu kibinafsi anastahili kupambana na wewe kibinafsi nje ya chama.

Ukisema CHADEMA ujue unamaanisha ni vikao na siyo mtu. Na ndiyo maana ukitaka kuishitaki CHADEMA unaishitaki bodi ya wadhamini na siyo mtu binafsi.
 
Kwenye CHADEMA hakuna mwanachama mwenye sifa za upekee. Mbowe ni Mwenyekiti lakini pia ukimtuhumu kibinafsi anastahili kupambana na wewe kibinafsi nje ya chama.

Ukisema CHADEMA ujue unamaanisha ni vikao na siyo mtu. Na ndiyo maana ukitaka kuishitaki CHADEMA unaishitaki bodi ya wadhamini na siyo mtu binafsi.
Hayo ni maneno tu lakini huwezi tenganisha CHADEMA na mbowe, siku Lissu akitaja orodha ya waliokula pesa za Abduli ndyo tutajua mbivu na mbichi.
 
Hayo ni maneno tu lakini huwezi tenganisha CHADEMA na mbowe, siku Lissu akitaja orodha ya waliokula pesa za Abduli ndyo tutajua mbivu na mbichi.
Usilete mambo ya vijiweni. Mbowe ni mwenyekiti tu wa CHADEMA na siyo CHADEMA.

Usilete makorokoro ya mambo ya Abdul na mama yake kwenye hoja nyingine. Kama unaona sawa watu waibe hela za umma na kutumia hela hizo kuhonga watu, hilo ni tatizo lako na siyo la kila mtu.
 
JPM alikuwa hataki mtu amkosoe, ukimkosoa tu, uko polisi kisha mahakamani kqa kesi ya jinai. Mbowe yeye hana mapolisi wa kumkamata na kumfungulia jinai Msigwa, ila ametumia njia ya madai kumziba mchungaji Msigwa ambaye anayajua ya ndani na uvunguni mwa Chadema
 
Sawa, Lakini haya mambo hayajaanza kusemwa na msigwa, hata Lissu aliwahi kusema kipindi yupo kwenye mkutano pale Iringa.

Alisema amezoea kuona Chama hakina pesa za mikutano, lakini kwenye chaguzi za ndani kunakuwa na pesa nyingi na haijulikani zimetoka wapi.

Akaomba uongozi wa chama utoe maelezo kuhusu hilo, na akakiri kwamba chama kimevamiwa na rushwa kutoka CCM.

Hizo hoja mpaka leo hakuna aliye zijibu. Akaulizwa tena na Chief odemba kuhusu fedha za join the chain, akasema Mnyika ndyo anapaswa kujibu lakini hakuna maelezo mpaka sasa.

Kwa maana hiyo, kwa namna moja ama ingine mwenyekiti ana hoja za kujibu, ukimya wake unaleta mashaka, kuamua kwenda mahakamani bado sio suluhisho kwani wanachama wanataka maelezo ya ndani ya chama na sio maamuzi ya mahakama.
Mbona uwasilishwaji wa hizo hoja ni tofauti.msigwa yeye alikua anamtuhumu mbowe direct as individual na hizo hoja zingine zilikuja kwa mbowe kupitia mgongo wa chama.Na majibu yake ni mepesi tu kua kama unamashaka na mambo ya chama basi majibu nenda kwa katibu wa chama ila kama hoja umeelekeza kwa mbowe person ndio hivyo ameanza kuchukua hatua ili hizo hoja zipate majibu sahihi.Huwezi kujibu mambo ya chama majukwaani kwasababu huo sio utaratibu.wakifanya hivyo majibu yatakua yakisiasa bila ukweli au usahihi kwahiyo yanakosa mantik mbele ya macho ya wenye uelewa.
 
Back
Top Bottom