Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Kavumbi ni surna!! Kwani unaliogopa?? lazima kawepo pia tukaone kidogo!! siyo lami tuuu mpaka chooni huo ni uwenda wazimu! Maji siyo changa moto Tza,

labda km hujui kutumia akili. DSM Mvua zipo za kutosha kabisaa, Mbali na kuzungukwa na maziwa Mengi nchini

Bongo Land tuna mvua za kutosha, sasa kwa nini usigeme maji ya Mvua?? hilo nalo usaidiwe?..nenda Tarime. Moshi, Arusha, Manyara nk ukajifunze kuvuna maji, siyo unakaa uzaramoni huko tuu ndo km hivi!

Tena umetamka vizuri Maendeleo yako Mikoani. Wilayani Safi sana kumbe tuko vizuri, zamu kwa zamu sasa tunakuja Tarafani, shida iko wapi?? hivi weye ni Mtanzania kweli?

Wabongo hatupendi vya bure wewe ndo wa kwanza!! tunaamini Msaada ni hatare kwa maishaya mtu, ivi mtoa msaada akikuomba naniliu utakataa!!! sema u kweli wako?......

na wewe unajua fika tabia za Waarabu za kupenda choo!...hata kama hajakabwa!

fikiria tu Arabuni mtu mzima anatembea na ganda la kiberiti mfukoni km ugoro wajameni mwee??...unatutia aibu Bhana labda km weye ni Muarabu sawa nitakusamehe!!....
 
Kwani uongo? Sisi siyo tu wajinga bali wapumbavu!
 
Kwani uongo? Sisi siyo tu wajinga bali wapumbavu!
Hatuwezi kuwa wajinga kwa uamuzi wetu wa kuamua kujihudumia wenyewe kuliko kusubiri wenzetu walipe Kodi huko kwao ili sisi tuletewa tu na kupokea, tutalemaa akili na tutachelewa Kuendelea kimaendeleo
 
Sisi watanzania Ni mazezeta, afadhali wajinga wanaweza kuelimishwa
 
Unatukanwa wewe mwenye akili kama panzi!
 
Sasa hivi uko kwenye payroll yake unakata miuno kumpigia debe kahaba mkubwa wewe.
 
We shetani unakumbuka hili andiko lako?
 
Hajakosea mkuu.. Wewe ni mjinga.
 
Usitumie sisi,tumia neno Mimi.

Sisi wewe na nani!.
Wenzako ni Yale makubwa jinga menzio.
Ukae ujitathimini mda mwingine.
Hivi wewe ni nwanaume kweli,uliyekulia Tanzania bara.
Au ndo wale watu wa Nchi za jirani,ambapo anajificha nyuma ya uanachama wa Ccm maana kule hata uwe mwovu,ama sio raia huwezi kufatiliwa kama unasifu na kuabudu wajinga wale.

Maana ukiwa ccm,hata ufanye jinai,utakingiwa kifua na vyombo vya mama ntilie.
Unayoyafanya ndo yanadhihirisha kuwa Mfumo wa Elimi ya Nchi yetu una tatizo mahali bado. Up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…