Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
mmmhMtoa mada ni lipumbavu wa kiwango cha fast jet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmhMtoa mada ni lipumbavu wa kiwango cha fast jet
Kama kazi ya upinzaaniii ni kukosoa kila kitu na kwa kila Jambo lazima ijulikane na ifahamike kuwa Ni Haki yangu nami pia kueleza Yale aliyo yafanya mh Rais wetu, Haki haiwezi ikawa kwa mkosoaji pekee halafu kwangu ikawa Ni ushambuliaji, Anayo haki hiyo mh Mbowe ya kukosoa, lakini nami pia ninayo haki ya kumtetea mh Rais kwa kuwa aliyoyafanya na kuyatekeleza ninayaona na yanaonekana , Hivyo siwezi kujipa ukipofu wa kuamua kukaa kimya tu
Lakini pia lazima ujuwe upinzani wa Tanzania Ni tofauti Sana na wanchi zilizoendelea maana upinzani wa wenzetu Ni kuwa wanakosoa mahali panapohitajika kuboreshwa na wanasifia na kupongeza mahali palipofanyika kazi nzuri
Wenzetu walioendelea wanaweza wakapongeza Sera lakini wakakosoa utekelezaji wake, na wakashauri njia iliyo Bora, wenzetu Taifa mbele vyama baadaye wakati huku kwetu ni kupingaa tu kila kitu ilimradi tu kinatekelezwa na Serikali
Upinzani wa Tanzania hauna dira Wala Sera Wala ajenda yoyote Ile wanayosimana, wao wanaendeshwa na vimatuikio tukio tu ,Wao Ni kupinga kila kitu tu na ukisema umsikilize kila mtu utajikuta unakosa muelekeo Kama wao,
Mkuu Tanzania hatuna upinzani wenye kuleta ushawishii kwa wananchi ndio maana unaona wamepuuzwa kwa Sasa na Wala hawatiliwi maanani Kama enzi hizo za Dr slaa ulipokuwa upinzani wa hoja nzito nzito, ajenda kwa Sasa zimebebwa na kufanyiwa kazi na mh Rais,
Hivi mkuu mwandishi nguli unaweza ukasema kwa Sasa Kuna mbadala wa CCm hapa Tanzania? Hapana haupo ndugu yangu, angalia tu hata safu yao ya uongozi ndio utajuwa na kupata picha, angalia tu hata muundo wa baraza kimvuli walilokuwa nalo awamu iliyopita ambayo ndio Taswira yake ya klimu waliyokuwa wanaitegemea,, Sasa nikuulize je unaona ndio baraza lingetuvusha lile Kama nchi?
Wao kushambulia na kutukana kwao Ni kawaida, kwani wewe ni Mara ngapi wamekushambulia na kukutukana kwa kutumia Uhuru wako tu kueleza mtizamo wako? Wamekuvunjia heshima mara ngapi? Hata vitoto vidogo vimekutusi, je ndio misingi ya demokrasia hiyo ya kutukanana? Je hatufundishani kuvumiliana na kukosoana kwa heshima na staha hata kwa tunaotofautiana nao? Je unaona upinzani wakilifanya Hilo? Mara ngapi wamewadhalilisha watu bila sababu, wangapi manguli wa mijadara wameamua kukaa kimya humu kwa kuogopa kuogeshwa matusi na watoto wadogo kiumri?
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushtuka Sana video inayomuonesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyosaidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anadhani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anadhani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anadhani na sisi tutakuwa na madaktari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubiri misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Mpumbàfu na mjinga lazima aitwe kwa majina yake.Kwani lini mmekuwa na akili tena kuwa wajinga Bado katumia lugha laini mno nyie ni wapumbavu tu.
Wazee wa kupiga kelele mitandaoni bila kuchukua hatua.
Hii ni nchi ya mbumbumbu me naweza waita hivyo.
Huo ndio ukweli mchungu
Mtoa post ni mjinga kiwango Cha backteria.Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushtuka Sana video inayomuonesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyosaidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anadhani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anadhani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anadhani na sisi tutakuwa na madaktari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubiri misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Jumla ya posts mpaka sasa...150Kodi zetu na pesa zetu zipo katika mikono salama ya mh Rais wetu Ndio maana unakuwa unaona utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kila Kona ya nchi yetu
Mkuu Mag3, naamini umeisha wahi kusoma kitabu cha "An Enemy of the People kilichoandikwa na Henrik Ibsen, kuna mstari mule ndani usemao, "The strongest man on the world is he who stands alone!", hivyo hata kama tunaomuunga mkono ni watu wanne tuu na wanaompinga ni 150, hakuna uthibitisho wowote hawa 150 ndio wako right!, tumia mfano wa Sodoma na Gomora!.Jumla ya posts mpaka sasa...150
Jumla waliokubaliana naye ........4 sawa na asilimia 0.02%
Jumla ya wanaompa za uso...146 sawa na asilimia 97.8%
Waliomuunga mkono Lucas mwashambwa mpaka sasa ni hawa;
Ushauri kwa Lucas mwashambwa ...kwa ujinga wao unazidi kumharibia huyo unayedhani unamsifia!
Kwa kuwa ulidai umeandika kwa niaba ya Watanzania na hivyo kama una chembe ya akili, ficha upumbavu wako na tafadhali, chutama.
Sorry....nmekosea nmetuma huku badala ya kukutumia private. Nmekutumia msg whatsappAcha unafiki wewe, ulikaa na Nani au umekosa hoja
Muhimu ni quality sio quantity.Muhimu ni ubora sio wingi.Jumla ya posts mpaka sasa...150
Jumla waliokubaliana naye ........4 sawa na asilimia 0.02%
Jumla ya wanaompa za uso...146 sawa na asilimia 97.8%
Waliomuunga mkono Lucas mwashambwa mpaka sasa ni hawa;
Ushauri kwa Lucas mwashambwa ...kwa ujinga wao unazidi kumharibia huyo unayedhani unamsifia!
Kwa kuwa ulidai umeandika kwa niaba ya Watanzania na hivyo kama una chembe ya akili, ficha upumbavu wako na tafadhali, chutama.
Wanaowatukana na kuwafanya nyie wapumbavu (siyo wajinga) ni hao wanawatoza kodi mara mbili mbili ili waishi kifahari na nyie muishi kama vibwengo. Na kwa akili kama yako hii wewe siyo mjinga bali ni mpumbavu kabisaaaNdugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushtuka Sana video inayomuonesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyosaidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anadhani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anadhani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anadhani na sisi tutakuwa na madaktari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubiri misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Narudia tena wewe ni certified imbecileBila Shaka ulishayazoea matusi ya mh Mbowe kila unapotukanwa, Ila sisi watanzania tunasema atuache tuijenge nchi yetu maana tunajuwa yeye Mbowe anashinda Dubai
Hakuna popote walipa kodi halali wameitwa wajinga....kwa kuwa amesema sisi watanzania tunaolipa kodi ni wajinga
Ndiyo anakatwa kodi halaliNa sote tunatambua kuwa hiyo kodi hata yeye anakatwa
Kukatwa kodi halali si ujinga ni wajibu wa mwananchi kulipaIna maana hata yeye ni mjinga.
Anachoita ujinga ni kuridhia makato yasiyo halali ili viongozi walafi wazidi kuneemeka. Serikali inawaibia wananchi ili viongozi hao waendeshe V8 ambazo gharama zake si chini ya 250,000,000 kila moja.Ni fedheha sana; alikosa lugha ya kutumia kufikisha ujumbe
Huyo siyo mjinga bali ni mpumbavu. Mjinga akielimishwa na akaelimika anakuwa mwerevu lakini mpumbavu hicho ni kipaji cha kuzaliwa nacho hakiwezi kumtoka mhusikaHivi wewe kwa uliyoandika unajiona sio jinga?
kWANI Dubai kuna nini?? si km hapo Manzese tuuu!! ......tena bora Manzese utoana warembo weusi wakikupa Mambooo!! yaani kule nishida tu! tatizo lako unaona dubai km paradiso kwa vile hujawai fika!tunajuwa yeye Mbowe anashinda Dubai
Kwa mujinga nisawa make ndo mwake lkn linakuwa tusi kwa Mwelevu manake hayuko ivo!! akikupa za mbavu usilalamike!Ujinga sio tusi.......ni sifa....
Mbona mkapa alisema wapinzani marofa na wapumbavu hukutoa kasoro au hukukasirishw????Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushtuka Sana video inayomuonesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyosaidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anadhani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anadhani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anadhani na sisi tutakuwa na madaktari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubiri misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.