Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukiikataa lakini lazima nchi yetu iendeleee kujengwa , kero za wananchi lazima ziendelee kutatuliwa kila kukicha na kila Senti ipatikanayo lazima ipelekwe katika kugusa maisha ya watu kwa kuwapunguzia mzigo wa keroWw bwana kwa taarifa hii hapana.tumeikataa
Haiwezekana mamillion ya watanzania wakawa wajinga katika uamuzi wao mwema wa kuamua kumuunga mkono mh Rais kuweza kugharamia baadhi ya miradi yetu kwa fedha zetu wenyeweAcha ujinga wewe ndio unawaona waTanzania wote mafala! Hili linawaunganishajenwaTanzania kama umeiona tatizo liwe lako mwenyewe. Shida ni kutumwa kutoka Lumumba na ninyi ndio mnaodumaza Demokrasia na Maendeleo ya waTanzania mkidhani mwenye kuongea ni Fulani tuu huu ni ujinga mkubwa.
Ndio maana asilimia kubwa 80% ya Vijana wa wako mitaa na wanachojadili ni zero ushabiki jwa kujiunga badala kutafuta kujiendeleza. Watu wanapoleta hijab za kubadilika mkubali sio kuleta uzi pinganishi.
Taja vitano ambavyo ameanza navyo maana vya urithi vilimshindaVitu alivyovifanya mh Rais wetu Ni vingi Sanaa ambavyo ukianza kuvielezea huwezi hata kuvimaliza
Wewe utakuwa msahaulifu Sana, kwani hukuwa unaona namna wananchi wanavyo kimbizana na migambo, lakini kwa Sasa mh Rais wetu mpendwa ametupitisha katika njia iliyo nzuri, maana kipindi kile Kuna viongozi walikuwa wanatumia vibaya pesa hizo na kuweka kiwango kikubwa Sana asichoweza kulimudu mwananchi mnyongeMiaka yote madarasa yanajengwa tena kwa kodi leo mkopo wa Corona ndo useme amefanya kazi
Mbowe yupo sahihi 100%
Hawa wahuni wanaitafuna nchi vizuri sn
Lazima ujuwe kuwa mh Rais wetu mpendwa anaendelea na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo pia akishiriki kuinadi nchi nzima uchaguzi mkuu uliiopitaTaja vitano ambavyo ameanza navyo maana vya urithi vilimshinda
Kwa Sasa hayo yamekomeshwa katika uongozi wake mh Rais wetu, utapona na kusalimika endapo tu utakuwa hujabainika lakini ukibainika utasakwa popote ulipoKwani unafikiri tulishakuwa wajanja lini,ujanja wetu ufisadi,uzembe na uvivu basii🤔
Ulikuwa umekesha na ulanzi au kupanga mazingira ya kukamua maziwa yaingie kwenye kikombe chako? Watanzania wote wanalia unga haununuliki wewe unapambana na mavx. Wewe ni Laana kweli kweli.Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Duh !!Mbowe hajakosea. Kama wewe hapo una akili kweli?
Kodi zetu na pesa zetu zipo katika mikono salama ya mh Rais wetu Ndio maana unakuwa unaona utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kila Kona ya nchi yetuMbowe amesema watanzania ni wajinga. Sawa ni uhuru wake . Angeweza kusema yeye ni mjinga. Sawa pia ingekua ni uhuru wake .
Wewe Mlamba asali umesema Watanzania sio wajinga. Sawa ni uhuru wako.
Ungeweza ukasema wewe sio mjinga.Sawa pia ni uhuru wako.
Tuheshimu katiba. Kila mtu ana uhuru wa kujieleza.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa Wapigaji wapo Kazini Kwa Sasa.
Wanatengengenza mtandao wao Kwa Kasi kubwa sana.
Magufuli alikua na mapungufu yake lakini hakuwa anamchekea kima pale anapomuona anasogelea Shamba.
Kukusanya Tozo nyingi hatukatai lakini kuwaacha wezi wazitumie wanavyotaka wakati Wana mishahara ni udhaifu mkubwa sana. Nchi inajengwa na wenye moyo lakini inaliwa na wenye meno.
Kwa Sasa mabosi na masekretari wao wanashindana kusafiri. Hivi anayefanya kazi ni bosi au ni yule mtu wa chini na ana Msimamizi Sasa safari za kiguu na njia za mabosi Zina tija Gani zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.?
Kwa Nini mama alikubali kudanganywa. Yani unaongeza tozo,unaongeza mishahara halafu unaongeza matumizi na safari wakati ndio TU nchi na Dunia Iko kwenye tatizo kubwa la kiuchumi.
Kwa Nini Mama asingeongeza tozo akazuia safari, akazuia kupanda Kwa posho za safari ,akazuia mishahara kuongezeka Kwa mishahara ,akazuia pesa za wizi unaofanywa na Tasaf ,akazuia ununuaji wa magari ya kifahari Kwa mabosi wachache wakati watumishi wa chini ambao ndio watendaji hawana hata baskeli za serikali. Wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa Serikali za mitaa hawana hata mshahara wa shilingi 50,000/ Kwa Mwezi lakini Kuna watu wanatumia magari ya mil. 500/- na mafuta ya Mili 3 Kwa Mwezi.
Mbowe hajawatukana Watanzania .
Hapo aliyewatukana watanzania ni yule anayewaibia na kuwaambia walipie starehe zake .
Mbowe anazidi kupata umaaru mana hajakurupuka na ameonyesha shida ilipo.
Kodi zetu na pesa zetu zipo katika mikono salama ya mh Rais wetu Ndio maana unakuwa unaona utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kila Kona ya nchi yetMbowe amesema watanzania ni wajinga. Sawa ni uhuru wake . Angeweza kusema yeye ni mjinga. Sawa pia ingekua ni uhuru wake .
Wewe Mlamba asali umesema Watanzania sio wajinga. Sawa ni uhuru wako.
Ungeweza ukasema wewe sio mjinga.Sawa pia ni uhuru wako.
Tuheshimu katiba. Kila mtu ana uhuru wa kujieleza.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa Wapigaji wapo Kazini Kwa Sasa.
Wanatengengenza mtandao wao Kwa Kasi kubwa sana.
Magufuli alikua na mapungufu yake lakini hakuwa anamchekea kima pale anapomuona anasogelea Shamba.
Kukusanya Tozo nyingi hatukatai lakini kuwaacha wezi wazitumie wanavyotaka wakati Wana mishahara ni udhaifu mkubwa sana. Nchi inajengwa na wenye moyo lakini inaliwa na wenye meno.
Kwa Sasa mabosi na masekretari wao wanashindana kusafiri. Hivi anayefanya kazi ni bosi au ni yule mtu wa chini na ana Msimamizi Sasa safari za kiguu na njia za mabosi Zina tija Gani zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.?
Kwa Nini mama alikubali kudanganywa. Yani unaongeza tozo,unaongeza mishahara halafu unaongeza matumizi na safari wakati ndio TU nchi na Dunia Iko kwenye tatizo kubwa la kiuchumi.
Kwa Nini Mama asingeongeza tozo akazuia safari, akazuia kupanda Kwa posho za safari ,akazuia mishahara kuongezeka Kwa mishahara ,akazuia pesa za wizi unaofanywa na Tasaf ,akazuia ununuaji wa magari ya kifahari Kwa mabosi wachache wakati watumishi wa chini ambao ndio watendaji hawana hata baskeli za serikali. Wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa Serikali za mitaa hawana hata mshahara wa shilingi 50,000/ Kwa Mwezi lakini Kuna watu wanatumia magari ya mil. 500/- na mafuta ya Mili 3 Kwa Mwezi.
Mbowe hajawatukana Watanzania .
Hapo aliyewatukana watanzania ni yule anayewaibia na kuwaambia walipie starehe zake .
Mbowe anazidi kupata umaaru mana hajakurupuka na ameonyesha shida ilipo.
Wengine darasani tulikuwa tunasindikiza hasa mimi yaani sijakuelewa ngoja ninywe chai nirudi kukusomaNdugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Mjinga anapokataa kuitwa mjinga kwa kuutetea ujinga anakua mpumbavu pro maxNdugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Miundominu inaongezwa,kwa kuongezeka idadi ya watu,miaka 30,60 iliyopita idadi ya watu ilikuwa ndogo,utaongeza vipi madarasa,zahanati nk,ikiwa hakuna watumiaji.Kila panapoongezeka idadi ya watu,na miundombinu inaongezeka.Haya mambo unayo yasemea hapa serikali yako ilipaswa iwe imeyafanya 20 years ago ikiwezekana 30 kabisa..
Leo hii mnahangaika na madarasa 60 yrs after independence..vyoo vya shule mnaomba ufadhili..madawati mpaka mpewe pesa za uviko.
Ni aibu na inasikitisha...maisha ya watanzania kila uchwao yanazidi kuwa magumu..graduates hawana tena matumaini na kesho yao.
Ila kwakuwa umeamua kujizima data ili utumike kama toilet pepa..sawa endelee nadhani ndugu na jamaa zako wote mnalamba asali.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Zambia miaka ya nyuma Bei ya mkate ilipanda watu wakaandamana, sisi tunanyang'anywa pesa zetu tunakimbilia nitandaoni kuchat na kulalamika, kwa mara ya Kwanza nakuwa upande wa Mbowe ahsante kutuheshimu na kutuita jina ambalo linatamkika.Kwani lini mmekuwa na akili tena kuwa wajinga Bado katumia lugha laini mno nyie ni wapumbavu tu.
Wazee wa kupiga kelele mitandaoni bila kuchukua hatua.
Hii ni nchi ya mbumbumbu me naweza waita hivyo.
Huo ndio ukweli mchungu
Umesema kweli,ndio maana hawana hoja,wanabakia kutukana.Acha matusi ndugu yangu, changia kwa hekima na busara bila matusi Wala kumdhalilisha mtu au kumvunjia heshima, Ndio maana unaona mimi hakuna nilipo tukana mtu Wala huwezi Nikita namtukana mtu
Umeeleza kweli tupu,ndio maana hakuna wa kukujibu kwa hoja,au kupinga kama hayo hayajafanyikaNdugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.
Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?
Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?
Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?
Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?
Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.
Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.
Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.
Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.