1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Mbowe amesema watanzania ni wajinga. Sawa ni uhuru wake . Angeweza kusema yeye ni mjinga. Sawa pia ingekua ni uhuru wake .
Wewe Mlamba asali umesema Watanzania sio wajinga. Sawa ni uhuru wako.
Ungeweza ukasema wewe sio mjinga.Sawa pia ni uhuru wako.
Tuheshimu katiba. Kila mtu ana uhuru wa kujieleza.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa Wapigaji wapo Kazini Kwa Sasa.
Wanatengengenza mtandao wao Kwa Kasi kubwa sana.
Magufuli alikua na mapungufu yake lakini hakuwa anamchekea kima pale anapomuona anasogelea Shamba.
Kukusanya Tozo nyingi hatukatai lakini kuwaacha wezi wazitumie wanavyotaka wakati Wana mishahara ni udhaifu mkubwa sana. Nchi inajengwa na wenye moyo lakini inaliwa na wenye meno.
Kwa Sasa mabosi na masekretari wao wanashindana kusafiri. Hivi anayefanya kazi ni bosi au ni yule mtu wa chini na ana Msimamizi Sasa safari za kiguu na njia za mabosi Zina tija Gani zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.?
Kwa Nini mama alikubali kudanganywa. Yani unaongeza tozo,unaongeza mishahara halafu unaongeza matumizi na safari wakati ndio TU nchi na Dunia Iko kwenye tatizo kubwa la kiuchumi.
Kwa Nini Mama asingeongeza tozo akazuia safari, akazuia kupanda Kwa posho za safari ,akazuia mishahara kuongezeka Kwa mishahara ,akazuia pesa za wizi unaofanywa na Tasaf ,akazuia ununuaji wa magari ya kifahari Kwa mabosi wachache wakati watumishi wa chini ambao ndio watendaji hawana hata baskeli za serikali. Wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa Serikali za mitaa hawana hata mshahara wa shilingi 50,000/ Kwa Mwezi lakini Kuna watu wanatumia magari ya mil. 500/- na mafuta ya Mili 3 Kwa Mwezi.
Mbowe hajawatukana Watanzania .
Hapo aliyewatukana watanzania ni yule anayewaibia na kuwaambia walipie starehe zake .
Mbowe anazidi kupata umaaru mana hajakurupuka na ameonyesha shida ilipo.
Wewe Mlamba asali umesema Watanzania sio wajinga. Sawa ni uhuru wako.
Ungeweza ukasema wewe sio mjinga.Sawa pia ni uhuru wako.
Tuheshimu katiba. Kila mtu ana uhuru wa kujieleza.
Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa Wapigaji wapo Kazini Kwa Sasa.
Wanatengengenza mtandao wao Kwa Kasi kubwa sana.
Magufuli alikua na mapungufu yake lakini hakuwa anamchekea kima pale anapomuona anasogelea Shamba.
Kukusanya Tozo nyingi hatukatai lakini kuwaacha wezi wazitumie wanavyotaka wakati Wana mishahara ni udhaifu mkubwa sana. Nchi inajengwa na wenye moyo lakini inaliwa na wenye meno.
Kwa Sasa mabosi na masekretari wao wanashindana kusafiri. Hivi anayefanya kazi ni bosi au ni yule mtu wa chini na ana Msimamizi Sasa safari za kiguu na njia za mabosi Zina tija Gani zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.?
Kwa Nini mama alikubali kudanganywa. Yani unaongeza tozo,unaongeza mishahara halafu unaongeza matumizi na safari wakati ndio TU nchi na Dunia Iko kwenye tatizo kubwa la kiuchumi.
Kwa Nini Mama asingeongeza tozo akazuia safari, akazuia kupanda Kwa posho za safari ,akazuia mishahara kuongezeka Kwa mishahara ,akazuia pesa za wizi unaofanywa na Tasaf ,akazuia ununuaji wa magari ya kifahari Kwa mabosi wachache wakati watumishi wa chini ambao ndio watendaji hawana hata baskeli za serikali. Wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa Serikali za mitaa hawana hata mshahara wa shilingi 50,000/ Kwa Mwezi lakini Kuna watu wanatumia magari ya mil. 500/- na mafuta ya Mili 3 Kwa Mwezi.
Mbowe hajawatukana Watanzania .
Hapo aliyewatukana watanzania ni yule anayewaibia na kuwaambia walipie starehe zake .
Mbowe anazidi kupata umaaru mana hajakurupuka na ameonyesha shida ilipo.