Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Mbowe amesema watanzania ni wajinga. Sawa ni uhuru wake . Angeweza kusema yeye ni mjinga. Sawa pia ingekua ni uhuru wake .
Wewe Mlamba asali umesema Watanzania sio wajinga. Sawa ni uhuru wako.
Ungeweza ukasema wewe sio mjinga.Sawa pia ni uhuru wako.
Tuheshimu katiba. Kila mtu ana uhuru wa kujieleza.


Hata hivyo ni wazi kabisa kuwa Wapigaji wapo Kazini Kwa Sasa.
Wanatengengenza mtandao wao Kwa Kasi kubwa sana.

Magufuli alikua na mapungufu yake lakini hakuwa anamchekea kima pale anapomuona anasogelea Shamba.

Kukusanya Tozo nyingi hatukatai lakini kuwaacha wezi wazitumie wanavyotaka wakati Wana mishahara ni udhaifu mkubwa sana. Nchi inajengwa na wenye moyo lakini inaliwa na wenye meno.

Kwa Sasa mabosi na masekretari wao wanashindana kusafiri. Hivi anayefanya kazi ni bosi au ni yule mtu wa chini na ana Msimamizi Sasa safari za kiguu na njia za mabosi Zina tija Gani zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.?

Kwa Nini mama alikubali kudanganywa. Yani unaongeza tozo,unaongeza mishahara halafu unaongeza matumizi na safari wakati ndio TU nchi na Dunia Iko kwenye tatizo kubwa la kiuchumi.


Kwa Nini Mama asingeongeza tozo akazuia safari, akazuia kupanda Kwa posho za safari ,akazuia mishahara kuongezeka Kwa mishahara ,akazuia pesa za wizi unaofanywa na Tasaf ,akazuia ununuaji wa magari ya kifahari Kwa mabosi wachache wakati watumishi wa chini ambao ndio watendaji hawana hata baskeli za serikali. Wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa Serikali za mitaa hawana hata mshahara wa shilingi 50,000/ Kwa Mwezi lakini Kuna watu wanatumia magari ya mil. 500/- na mafuta ya Mili 3 Kwa Mwezi.

Mbowe hajawatukana Watanzania .

Hapo aliyewatukana watanzania ni yule anayewaibia na kuwaambia walipie starehe zake .

Mbowe anazidi kupata umaaru mana hajakurupuka na ameonyesha shida ilipo.
 
Mkuu Lucas mwashambwa, kwa vile wewe bado ni kijana mdogo na ni mgeni humu jf, you will have a bright future ahead of you kama utaendelea na kazi iliyokuleta humu ya kumsifia Mama mwanzo mwisho, lakini katika kusifu kwako usianze kuparamia watu kuwaponda na kuwachonganisha!.

Freeman Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani Tanzania, hivyo zijue kwanza kazi za upinzani ni nini ndipo umvae Mbowe kumshambulia.

Nimetokea kusoma mabandiko yako yote tangu umejiunga humu jf na yote yana mwelekeo mmoja, kusifu, hivyo una wish kila mtu asifu, hata wapinzani wamsifu Mama!.

Acha Mama aendelee kufanya kazi nzuri, wanaosifu tusifu lakini pia tujifunze kuwa na uvumilivu wa kisiasa, political tolerance kwa kukubali kusikia vitu tusivyopendezwa navyo na kuukubali ukosoaji wa nia njema ya kujenga, constructive criticism hivyo waache wa wasifiaji wasifu na wakosoaji wakosoe ndiko kujenga nchi kwenyewe.

Tena unaweza usiamini, kati ya wanaomsifia Mama na wanaomkosoa, unaweza kukuta wanao mkosoa ndio wanaomsaidia zaidi kuliko wanao msifia, hivyo ndugu yangu wewe endelea tuu kusifu na uwaache wakosoaji nao waendelee huku akina sisi wakongwe pia tupo kwenye mazuri tutasifu na kwenye mabaya tutakosoa.

P

Kaka mkubwa ameongea. Hii ndio raha ya kuwa na wakubwa Kwenye jf. Asipoukubali ushauri wako atapotea kabisa.
 
Wewe Itakuwa mtu wa Mbozi, Nawafahamu tabia zenu vizuri

Watu wa Mbozi Mbeya mna tofauti ndogo sana na wanyakyusa

Kama sio mndali wewe basi mtu wa Mikoa ya kanda hiyo Songwe, Mbeya au Rukwa

Mnajikomba huku mkiwa mna maisha màgumu hasa wanaume

Wanawake wenu wanapambana kutafuta Pesa Nyie ni umbea umbea tu kama uliouleta hapa

Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kàbisa huyu ni Mndali
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.

Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.

Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.

Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Wewe ni mjinga sana....
 
Enzi zile za Chama kimoja Vijana wa CCM walikua wanawapongeza Makada na Mawaziri waliokua wanapiga dhulma na ubadhirifu wa Mali za umma.


Siku hizi Vijana wanasifia wezi na kuwapongeza Kwa sababu ya kulambishwa asali.

Vijana mnaangamiza Taifa lenu wenyewe.

Hawa walioko madarakani wengi ni zao la Wahalifu .

Msiingie kwenye mtego wa kuwasifu.Ni zao la uovu uliofanywa Kwa muda mrefu.
Miaka ya nyuma palikua na wizi mkubwa sana wa mitihani.
Watoto wa wakubwa na matajiri walikua wanapata paper wiki mojakabla ya mitihani. Walikua hawasomi mana uhakika wa kupata mitihani ulikuwepo.

Walipofika vyuo vikuu wengi walikua wanatumia madesa na wale wa Ke walikua wanapata digrii Kwa miili yao. Hali kadhalika ajira zilikua ni ama kuhonga au kujuana.
Kura zilikua na mpaka Sasa zinapatikana Kwa Rushwa na kupindua matokeo.

Hao ndio wengi wao wapo kwenye position. Wanapeana Connection kwenye mabaa na magest.Yaani watu kila siku wanakutana kwenye starehe Kwa kutumia pesa za urefu wa kamba zao halafu unamwona Mbowe kuwa ana chuki binafsi. Mbowe ni mfanya biashara na tajiri Kwa kuzaliwa hajatajirika Kwa kuiibia nchi, anawajua wanaopiga na wanaojificha nyuma ya siasa huku wakiwa mabilionea walioiibia nchi na kutengeneza mitandao ya kusifu na kuabudu.

Ndugai alisema tubanane humu humu tuijenge nchi . Mbona Mlimfukuza? Ndugai Alimaanisha kwamba tubane matumizi ya pesa za Tozo na nyinginezo.

Kuna makampuni Mengi sana hayalipi Kodi ipasavyo na wanaojificha nyuma ya walioko madarakani.

Kama kampuni Moja ya TBL inakusanya zaidi ya Bil. 400.
Basi tunahitaji kampuni 100 TU kupata zaidi ya Trail. 40.
Ni wazi kampuni nyingi hazilipi Kodi. Pesa nyingi kwenye makampuni ya mafuta na utalii zinaishia mikononi mwa wasio hata na kamba.

Badala ya kumshambulia Mbowe tuelekeze nguvu zetu kuwasimamia watawala wanaotumia vibaya fedha zetu na kushindwa kubana matumizi huku wakitoa kauli za kejeli.

Kama Mwenyezi Mungu alimtumia Mwalimu Nyerere kuleta uhuru na uhuru ikapatikana Kwa wepesi basi Mwalimu alipewa nafasi Ile ili kuweka misingi ya Taifa hili na hiyo ndiyo aliyoitaka Mwenyezi Mungu iwe hivyo . Ni Hakika kama walamba asali wasipoacha kuitafuna nchi bado atakuja kutokea mtu mwenye roho Ile Ile ya Mwalimu na Ile ya JPM na wanaoiba Sasa watapata aibu kubwa.
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.

Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.

Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.

Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Uelewa wako umekupeleka gizani
 
Kwani lini mmekuwa na akili tena kuwa wajinga Bado katumia lugha laini mno nyie ni wapumbavu tu.

Wazee wa kupiga kelele mitandaoni bila kuchukua hatua.

Hii ni nchi ya mbumbumbu me naweza waita hivyo.

Huo ndio ukweli mchungu
Hili aliliona mkapa kitambo sana
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga, nimesikitika sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania.

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi.

Kwamba Mbowe haoni namna jambo hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda Ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka nani atujengee nchi yetu, anataka nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za Mh. Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo.

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri.

Mh. Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano.

Ombi langu na ushauri wangu kwa Mh. Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, Mh. Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega.
Tunajenga nchi wenyewe wakati tunakopa kwa staili ya mwendo kasi? Tupunguze matumizi ya uendesjaji Serikali na wananchi waongeze uzalishaji
 
Haya mambo unayo yasemea hapa serikali yako ilipaswa iwe imeyafanya 20 years ago ikiwezekana 30 kabisa..

Leo hii mnahangaika na madarasa 60 yrs after independence..vyoo vya shule mnaomba ufadhili..madawati mpaka mpewe pesa za uviko.

Ni aibu na inasikitisha...maisha ya watanzania kila uchwao yanazidi kuwa magumu..graduates hawana tena matumaini na kesho yao.

Ila kwakuwa umeamua kujizima data ili utumike kama toilet pepa..sawa endelee nadhani ndugu na jamaa zako wote mnalamba asali.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huu tunamuita ni ufisadi wa mawazo Kwa Mtanzania mvivu hata kufikiria Kwa kuwa anao mwanya wa kulamba asali au wa kulambishwa asali hata anajigeuza kipofu Ili hata asione🤔
 
Yes anafanya vitu vingi, kwenye kasoro lazima akosolewe kwa Sasa jambo lililopo kipaumbele kwenye midomo na akili za watanzania wengi ni Tozo ila sijawahi ona Uzi wako hata mmoja ukizungumzia hili zaidi ya kusifia utendaji wa rais.
Kwani tozo imeanza leo? Tulianza kuwekewa kwenye mafua ya disel, petrol na kerosene na magufuli tukakaa kimya leo wamenogewa na tozo tunatokwa povu, tuache unafiki watz
 
Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba Mh. Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananch
Nyie ni wapumbavu NDIO, alikua kimya mmeanza kumchokoza Kila siku Mbowe kalamba Asali Yuko kimya
 
Jionee mwenyewe hii ID ya nani.
Screenshot_20220901-072526.png
 
Ila sasa kuna wajinga ambao pamoja na ujinga wao bado wanajiona wapo sawa hata wakifanyiwa mambo ya kijinga na wajinga!
Na kwa sababu ya ujinga wao hawana uwezo wa kuelewa chochote wenye akili wakitoa hoja za kutafakarisha!
Mfano mzuri hili jambo la kulazimisha tozo!
Akili ya kawaida ni dalili za wizi na ubadhirifu!
Lakini wengine hawaoni hilo hivi ninavyoandika wapo bize kuandaa maandamano matamko kwa ajili ya kuwapongeza watozaji!!

Aibu sana!
Unataka Nani akujengee nchi yako, unataka huduma Bora ziboreshwe na Nani kwa chanzo kipi Cha mapato, unazani hao ulaya waliyapokea maendeleo Kama zawadi toka uwanja wa ndege
 
Back
Top Bottom