Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Freeman Mbowe anatutukana watanzania kuwa sisi ni wajinga?

Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Ww bwana kwa taarifa hii hapana.tumeikataa
 
 
Trash 🚮🚮🚮
 

Attachments

  • IMG-20220830-WA0067.jpg
    IMG-20220830-WA0067.jpg
    23.2 KB · Views: 2
  • IMG-20220831-WA0097.jpg
    IMG-20220831-WA0097.jpg
    57.9 KB · Views: 3
Acha matusi ndugu yangu, changia kwa hekima na busara bila matusi Wala kumdhalilisha mtu au kumvunjia heshima, Ndio maana unaona mimi hakuna nilipo tukana mtu Wala huwezi Nikita namtukana mtu
Wewe Itakuwa mtu wa Mbozi, Nawafahamu tabia zenu vizuri

Watu wa Mbozi Mbeya mna tofauti ndogo sana na wanyakyusa

Kama sio mndali wewe basi mtu wa Mikoa ya kanda hiyo Songwe, Mbeya au Rukwa

Mnajikomba huku mkiwa mna maisha màgumu hasa wanaume

Wanawake wenu wanapambana kutafuta Pesa Nyie ni umbea umbea tu kama uliouleta hapa

Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Itakuwa mtu wa Mbozi, Nawafahamu tabia zenu vizuri

Watu wa Mbozi Mbeya mna tofauti ndogo sana na wanyakyusa

Kama sio mndali wewe basi mtu wa Mikoa ya kanda hiyo Songwe, Mbeya au Rukwa

Mnajikomba huku mkiwa mna maisha màgumu hasa wanaume

Wanawake wenu wanapambana kutafuta Pesa Nyie ni umbea umbea tu kama uliouleta hapa

Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Tangia lini ukweli ukaitwa umbeya? Acha ubaguzi wa kikanda utafubaza akili yako katika kufikiria, utabagua wangapi, dhambi ya ubaguzi Ni mbaya na haina mpaka, utajikuta unabagua Hadi ndugu zako
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega

Wewe una tatizo sio dogo. Mbowe akikaa kimya mnamsema akiongea mnasema kuwa amaetukana.
 
Wewe una tatizo sio dogo. Mbowe akikaa kimya mnamsema akiongea mnasema kuwa amaetukana.
Tutamsema pale kinywa chake kikifunguka na kutoa maneno ya taharuki na kukosa heshima kwa mamlaka, hata samaki hunaswa na mvuvi Mara tu afunguapo kinywa chake
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Hatahivyo wewe ni mjinha
 
Bila Shaka ulishayazoea matusi ya mh Mbowe kila unapotukanwa, Ila sisi watanzania tunasema atuache tuijenge nchi yetu maana tunajuwa yeye Mbowe anashinda Dubai

Wewe mnafiki, baadala ujiongelee mwenyewe unaongelea watanzania. Punguza uchobganishi, kesho mama Samiah akiondoa tozo ya mabenki utasemaje?. Kutafuta cheo kusikufanye utetee kunyonywa kwa raia wa nchi hii.
 
Tutamsema pale kinywa chake kikifunguka na kutoa maneno ya taharuki na kukosa heshima kwa mamlaka, hata samaki hunaswa na mvuvi Mara tu afunguapo kinywa chake

Maneno gani ya taharuki? Kupinga double taxation ni kosa. Huwezi kumtoza mpangaji Kodi ya Jengo na Kodi ya pango wakati Yale Ni makazi sio ya biashara. Wangemtoza mwenye nyumba maana ndio anafanya biashara.
 
Jambo jema au hoja ya ukweli haiangalii na Wala haipimwi Kama unavyotaka kutuaminisha,Nenda kasome habari za Galileo ndio utaelewa vyema hiki nachokueleza hapa

Tangu nione umeweka jina lako halisi, nikajua Kuna kitu unalenga. Ila hufai kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi. Maana unatetea hata Jambo la dhulma.
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Kwani uongo?’ Ukweli mtupu
 
Ndugu zangu mchana kutwa sikuingia humu jukwaani kwa kuwa nilikuwa katika mapambano ya maisha Kama kijana, Ndugu zangu nimeiona na kushituka Sana video inayomuonyesha mh Mbowe akitutukana watanzania kuwa sisi Ni wajinga, Nimesikitika Sana ndugu zangu kwa dharau zake Mbowe kwetu watanzania

Ndugu zangu yaani Mbowe anatutukana watanzania kisa tu tumeamua kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe? Kwamba mh Mbowe haoni namna moyo na uamuzi huo wa kuamua kujenga nchi yetu ulivyo saidia kusogeza huduma muhimu kwa mwananchi

Kwamba Mbowe haoni namna Jambo Hilo lilivyosaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida kwa kwenda shule kwa wakati baada ya kuwa madarasa yamejengwa na kukamilika kwa wakati?

Kwamba mh Mbowe anafikiri sisi watanzania Ni vipofu kwamba hatuoni namna kwa Sasa ambavyo huduma za maji umeme na hata Miundombinu ilivyoboreshwa na kusogezwa kwa mwananchi?

Kwamba mh Mbowe anazani sisi wote watanzania tuna mapesa mengi Kama yeye? Anazani sote tutakwenda ulaya kusoma au kutibiwa, anazani na sisi tutakuwa na madakitari binafsi?

Anataka Nani atujengee nchi yetu, anataka Nani awajibike kwa niaba yetu Katika kubeba mzigo wetu, anataka tuijenge nchi yetu kwa madeni? Anataka tuijenge kwa misaada? Je hiyo mikopo na misaada tutaipokea Hadi lini? Tutalipa madeni Hadi lini? Kwamba hata matundu ya vyoo tukakope na kusubili misaada itufikie? Je wakati huo wanafunzi watakuwa wanatumia Nini? Au watapanga foleni kusubiri matundu yaje kwa ndege?

Kwanini asipongeze juhudi za mh Rais wetu kuongoza njia katika kuijenga nchi yetu kwa kujitegemea wenyewe? Kwa Nini asimuunge mkono Rais katika kuhakikisha tunapunguza mzigo wa madeni kwa nchi yetu, anataka tukope mpaka tuweke rehani vitu vyetu, anataka tukope mpaka tushinde tunafanya kazi ya kulipa tu madeni bila kufanya maendeleo

Watanzania tunasema kuwa sisi siyo wajinga, siyo wajinga watanzania, Tumeamua kuijenga nchi yetu wenyewe, Tumeamua kubebaa mzigo wetu wenyewe, Tumeamua wajibu wetu uwe juu ya mabega yetu, Tumeamua kuwa acha tuumie leo lakini tufaid matunda yake kesho, Tumeamua vizazi vijavyo vijuwe kuwa Kuna kizazi kilipita na kilikuwepo ambacho kilitekeleza wajibu wake vyema ili wao waishi vizuri

Mh Mbowe atuache tuijenge nchi yetu, asitukatishe tamaa maana Tumeamua kusonga mbelee, atupishe mbele katika kuibeba nchi yetu,tupo katika kuipambania nchi yetu kuhakikisha inasimama na kupigiwa mfano,

Ombi langu na ushauri wangu kwa mh Rais wetu Kama kijana wake mtanzania napenda kumwambia kuwa Asikatishwe tamaa Wala kuvunjika moyo, Tumeona juhudi zake na tupo tunamuunga mkono ,maana kazi zake zimegusa maisha yetu watanzania, mh Rais wetu mpendwa songa mbele bila hofu wananchi tupo nawewe bega kwa bega
Acha ujinga wewe ndio unawaona waTanzania wote mafala! Hili linawaunganishajenwaTanzania kama umeiona tatizo liwe lako mwenyewe. Shida ni kutumwa kutoka Lumumba na ninyi ndio mnaodumaza Demokrasia na Maendeleo ya waTanzania mkidhani mwenye kuongea ni Fulani tuu huu ni ujinga mkubwa.
Ndio maana asilimia kubwa 80% ya Vijana wa wako mitaa na wanachojadili ni zero ushabiki jwa kujiunga badala kutafuta kujiendeleza. Watu wanapoleta hijab za kubadilika mkubali sio kuleta uzi pinganishi.
 
Back
Top Bottom