wewe mbona unaishi pamoja na wenzako baada ya mfadhili wenu kupigwa na kitu kizito cha kishetani kwenye moyo na kutimkia jehanamu!Ghorofani 🐼
Ziara ya kuaga tayari kustaafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mbona unaishi pamoja na wenzako baada ya mfadhili wenu kupigwa na kitu kizito cha kishetani kwenye moyo na kutimkia jehanamu!Ghorofani 🐼
Ziara ya kuaga tayari kustaafu
kwahiyo huo ndio umati ulokua ukimsubiria siku nzima 🐒Leo 25/03/2024 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, ambako amehutubia mkutano kabambe wa Hadhara kwenye eneo la SHOW VIEW kata ya Bomang'ombe .
Hali ndio kama mnavyoiona
View attachment 2944688View attachment 2944690View attachment 2944691
Hesabu za CAG bado za mwaka huu!Kwani trilioni 15 ya ccm walikula akina nani?
Hesabu si zinakaguliwa na CAG, kuna ulaji ulionekana?
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha utapiamlo wako wa akili!
Pole sana Mkuu. Umeshaachia lindo kule Chato??Hali mbaya mikutano ya chadema ilikua nyomi sasa huu ni mkutano wa familia maskini!
andiko refu ila ujinga mtupuUkiachilia michango hii,
- Fedha za join ze chain zilipatikana bei gani na ziko wapi?
- Ruzuku ya Tsh. 2.7/- Mbowe umekula na nani? Hii fedha mtakuja kusema hapa kama sio hisani ni haki yenu, lakini mkumbuke kwamba baada ya uchaguzi mkuu 2020 mkatamka wazi kwamba, hamtochukua ruzuku kwani kufanya hivyo ni kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu 2020, ila 2023 mmefanya hivyo na mmekaa kimya..
- Fedha za matibabu ya Prof. J hamkuwahi kusema mlipata bei gani na hata siku moja hatukuona mkitoa msaada kwa mgonjwa huyo!
Fedha za Michango ya wahanga wa Mafuriko kule HANANG mtaziwakilisha na kuzikabidhi lini kwa wahanga?
Je!inakuwaje mnatumia RUZUKU kulipana posho za kujikimu kwenye Maandamano ambayo kimsingi ni ya Hiari?
Inakuwaje mwenyekiti wa Chadema ambacho kinajinasibu kuwa mtetezi wa watanzani, ana wadhurumu waandishi wa habari wa "Tanzania Daima" Gazeti ambalo ndio hasa lolikuwa msingi wa Propaganda za Chadema na kusaifia kwa kiasi kikubwa kuipaisha Chadema had kufikia hapo ilipo?
Je tukisema kwamba Mbowe hafai kuwa kiongozi wa kariba ya uongozianaojinasibu kuwa nao mtatuona wabaya?
Maswali hayo hapo juu ukiwa ndani ya chadema kama utayauliza, utakuwa au naweza kuwa ume sign your death warranty!
Ujinga kwa mpumbavu kama wewe!andiko refu ila ujinga mtupu
Ndiyo afoke foke namna hii?Ghorofani 🐼
Ziara ya kuaga tayari kustaafu
Usivute bhangi kipindi cha mfungo mtukufu!Pole sana Mkuu. Umeshaachia lindo kule Chato??
yaani hamna hoja mmebaki kupayuka tu kila sehemu mkimaliza mnaenda kulala yaani hakuna mnalolifanya la maana na watu wameshaanza kuwapuuzaSiku hizi Mikutano ya Chadema inaandaliwa kwa nusu saa tu , Muhimu kuwe na Spika na umeme tu , Watu ni kama wanasubiri tu Chadema itangaze Mkutano Wajae.
hawana sera hawa hakuna upinzani kuna wachumia tumbo tuNdiyo afoke foke namna hii?![]()
mbowe sasahivi hana ushawishi wa kisiasa hakuna mu mwenye akili yake timamu anaweza kuacha kazi zake kwenda kumsikilizaKama hiyo ndiyo idadi ya watu waliohudhuria mkutano wa Mbowe, halafu ni kwao Hai kwa wamachame wenzake ambako pia aliwahi kuhudumu kama mbunge; basi Mbowe kwisha habari yake.
Akazanie tubiashara twake huenda akazeeka akiwa na uhakika wa kupata chai.
Siasa kwake kwa sasa...imemshinda.
Kila Mwanasiasa ni muongeaji , ndio maana kila anaposimama Samia unaona micyaani hamna hoja mmebaki kupayuka tu kila sehemu mkimaliza mnaenda kulala yaani hakuna mnalolifanya la maana na watu wameshaanza kuwapuuza
Ulimuona Faye wa Senegal akitoa hotuba alivyokuwa serious? ni kuambiana ukweli tu.Ndiyo afoke foke namna hii?![]()
samia ana vitu vya muhimu vya kuwaambia wananchi wake sasa mbowe anawachosha tu watu kusikiliza vitu ambavyo havitekelezekiKila Mwanasiasa ni muongeaji , ndio maana kila anaposimama Samia unaona mic
Amini usiamini Faye ni mshikaji wangu, huwezi kumfananisha na Mbowe kwa utulivu-sawa anakuwa na hisia kali majukwaani lakini sio hulka yake kama ilivyo kwa Mbowe.Ulimuona Faye wa Senegal akitoa hotuba alivyokuwa serious? ni kuambiana ukweli tu.
Huyu Mbowe huwa anafurahisha sana magenge-hilo nitampa.
Ukiulizwa ni jina gani apewe kama Msanii baada ya kung'atuka uenyekiti wautampa jina gani?
Amini usiamini Faye ni mshikaji wangu, huwezi kumfananisha na Mbowe kwa utulivu-sawa anakuwa na hisia kali majukwaani lakini sio hulka yake kama ilivyo kwa Mbowe.
Mbowe ni mkali hivyo majukwaani kama ilivyo mtaani. Itoshe, ni matumizi mabaya ya picha kama hiyo, haileti taswira nzuri(my point)
Ona hii hapa👇👀![]()
Hip hop hoooray, ana rusha watu kuliko Roma Mkatoliki!🙌
Wachaweee uliwahi kikiri hili lini?Hali mbaya mikutano ya chadema ilikua nyomi sasa huu ni mkutano wa familia maskini!