Pre GE2025 Freeman Mbowe arejea Jimboni Hai, Umati wajitokeza Bomang'ombe kumsikiliza

Pre GE2025 Freeman Mbowe arejea Jimboni Hai, Umati wajitokeza Bomang'ombe kumsikiliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani trilioni 15 ya ccm walikula akina nani?
Hesabu si zinakaguliwa na CAG, kuna ulaji ulionekana?
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha utapiamlo wako wa akili!
Hesabu za CAG bado za mwaka huu!
Usijibu kitu ambacho ni zaidi ya uwezo wako wa kufikiri.
Halafu uelewe kwamba ninaulizia kwa sababu mimi ni mlipa kodi inayokuja kutumbuliwa na Kina Mbowe&Company!
Hatuongei kwa kuropoka!
 
Ukiachilia michango hii,

  • Fedha za join ze chain zilipatikana bei gani na ziko wapi?
  • Ruzuku ya Tsh. 2.7/- Mbowe umekula na nani? Hii fedha mtakuja kusema hapa kama sio hisani ni haki yenu, lakini mkumbuke kwamba baada ya uchaguzi mkuu 2020 mkatamka wazi kwamba, hamtochukua ruzuku kwani kufanya hivyo ni kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu 2020, ila 2023 mmefanya hivyo na mmekaa kimya..

- Fedha za matibabu ya Prof. J hamkuwahi kusema mlipata bei gani na hata siku moja hatukuona mkitoa msaada kwa mgonjwa huyo!
Fedha za Michango ya wahanga wa Mafuriko kule HANANG mtaziwakilisha na kuzikabidhi lini kwa wahanga?
Je!inakuwaje mnatumia RUZUKU kulipana posho za kujikimu kwenye Maandamano ambayo kimsingi ni ya Hiari?

Inakuwaje mwenyekiti wa Chadema ambacho kinajinasibu kuwa mtetezi wa watanzani, ana wadhurumu waandishi wa habari wa "Tanzania Daima" Gazeti ambalo ndio hasa lolikuwa msingi wa Propaganda za Chadema na kusaifia kwa kiasi kikubwa kuipaisha Chadema had kufikia hapo ilipo?

Je tukisema kwamba Mbowe hafai kuwa kiongozi wa kariba ya uongozianaojinasibu kuwa nao mtatuona wabaya?

Maswali hayo hapo juu ukiwa ndani ya chadema kama utayauliza, utakuwa au naweza kuwa ume sign your death warranty!
andiko refu ila ujinga mtupu
 
andiko refu ila ujinga mtupu
Ujinga kwa mpumbavu kama wewe!
Hayo ni maswali ambayo hamtapenda kuulizwa!
Wengi waliowahi kujaribu kuyauliza leo hatuko nao Duniani.
Akiwemo Marehemu Chacha Wangwe!
Tunaona na tunawafahamu majizi party two baada ya CCM!
 
Ghorofani 🐼

Ziara ya kuaga tayari kustaafu
Ndiyo afoke foke namna hii?
screenshot_2024-03-25-22-38-30-1-png.2944688
 
Siku hizi Mikutano ya Chadema inaandaliwa kwa nusu saa tu , Muhimu kuwe na Spika na umeme tu , Watu ni kama wanasubiri tu Chadema itangaze Mkutano Wajae.
yaani hamna hoja mmebaki kupayuka tu kila sehemu mkimaliza mnaenda kulala yaani hakuna mnalolifanya la maana na watu wameshaanza kuwapuuza
 
Kama hiyo ndiyo idadi ya watu waliohudhuria mkutano wa Mbowe, halafu ni kwao Hai kwa wamachame wenzake ambako pia aliwahi kuhudumu kama mbunge; basi Mbowe kwisha habari yake.

Akazanie tubiashara twake huenda akazeeka akiwa na uhakika wa kupata chai.
Siasa kwake kwa sasa...imemshinda.
mbowe sasahivi hana ushawishi wa kisiasa hakuna mu mwenye akili yake timamu anaweza kuacha kazi zake kwenda kumsikiliza
 
yaani hamna hoja mmebaki kupayuka tu kila sehemu mkimaliza mnaenda kulala yaani hakuna mnalolifanya la maana na watu wameshaanza kuwapuuza
Kila Mwanasiasa ni muongeaji , ndio maana kila anaposimama Samia unaona mic
 
Kuna mkutano wa CUF ulifanyika Iringa mwaka wa uchaguzi mwenye ile picha tafadhali
 
Huyu Mbowe huwa anafurahisha sana magenge-hilo nitampa.



Ukiulizwa ni jina gani apewe kama Msanii baada ya kung'atuka uenyekiti wautampa jina gani?
Ulimuona Faye wa Senegal akitoa hotuba alivyokuwa serious? ni kuambiana ukweli tu.
Amini usiamini Faye ni mshikaji wangu, huwezi kumfananisha na Mbowe kwa utulivu-sawa anakuwa na hisia kali majukwaani lakini sio hulka yake kama ilivyo kwa Mbowe.

Mbowe ni mkali hivyo majukwaani kama ilivyo mtaani. Itoshe, ni matumizi mabaya ya picha kama hiyo, haileti taswira nzuri(my point)
Ona hii hapa👇👀
jamiiforums1267461471_387x387-jpg.2572374


Hip hop hoooray, ana rusha watu kuliko Roma Mkatoliki!🙌
 
Huyu Mbowe huwa anafurahisha sana magenge-hilo nitampa.



Ukiulizwa ni jina gani apewe kama Msanii baada ya kung'atuka uenyekiti wautampa jina gani?

Amini usiamini Faye ni mshikaji wangu, huwezi kumfananisha na Mbowe kwa utulivu-sawa anakuwa na hisia kali majukwaani lakini sio hulka yake kama ilivyo kwa Mbowe.

Mbowe ni mkali hivyo majukwaani kama ilivyo mtaani. Itoshe, ni matumizi mabaya ya picha kama hiyo, haileti taswira nzuri(my point)
Ona hii hapa👇👀
jamiiforums1267461471_387x387-jpg.2572374


Hip hop hoooray, ana rusha watu kuliko Roma Mkatoliki!🙌
dakar-senegal-in-photos-taken-on-march-24-2024-bassirou-diomaye-faye-photo-leader-of-the-main-...jpg
 
Back
Top Bottom