Pre GE2025 Freeman Mbowe arejea Jimboni Hai, Umati wajitokeza Bomang'ombe kumsikiliza

Pre GE2025 Freeman Mbowe arejea Jimboni Hai, Umati wajitokeza Bomang'ombe kumsikiliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Mbowe huwa anafurahisha sana magenge-hilo nitampa.



Ukiulizwa ni jina gani apewe kama Msanii baada ya kung'atuka uenyekiti wautampa jina gani?

Amini usiamini Faye ni mshikaji wangu, huwezi kumfananisha na Mbowe kwa utulivu-sawa anakuwa na hisia kali majukwaani lakini sio hulka yake kama ilivyo kwa Mbowe.

Mbowe ni mkali hivyo majukwaani kama ilivyo mtaani. Itoshe, ni matumizi mabaya ya picha kama hiyo, haileti taswira nzuri(my point)
Ona hii hapa👇👀
jamiiforums1267461471_387x387-jpg.2572374


Hip hop hoooray, ana rusha watu kuliko Roma Mkatoliki!🙌
Tunakushukuru kwa picha kabambe
 
Mbunge wa Hai mwaka 2025 bye bye anatakiwa atafute kazi nyingine na siyo ya ubunge tena.
Hai chagueni mbunge kijana achaneni na hao vikongwe vizee au Mbowe au yeyote

Vyama vyote vya siasa Hai wekeni wagombea vijana.Hai wengi vijana wekeni kijana
 
Back
Top Bottom