- Thread starter
- #41
Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tuMbowe akishachaguliwa tena hakuna hiyo kitu unasema. Alishaamua kwenda anavyotaka kuamini hilo angalia makamu wake wenje. Hapo kutakua na jipya lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tuMbowe akishachaguliwa tena hakuna hiyo kitu unasema. Alishaamua kwenda anavyotaka kuamini hilo angalia makamu wake wenje. Hapo kutakua na jipya lipi?
Muda utakujibu.Watanzania gani wataachana na Chzdema?
Kwa maelezo ya Lissu, wajumbe wa kamati kuu wote walimpinga kuhusu maridhiano lakini bado aliwakatalia akaendelea nayo. Akaenda kutoa na tuzo bila kamati kuu kushirkishwaMbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tu
Mchagueni Mbowe halafu mje kwa raia mtuambie habari ya katiba mpya, ukomo wa madaraka, kupinga Rais Samia kugombea au kujiongezea muda (akifanya hivyo) na mambo mengine ya aina hiyo muone mtavyozomewa na wananchi.Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tu
Acha kuporosha labda ni kwa vile hamkusoma hesabu, ukiona poll. Ya lisu ana 84% na mbowe ana 16%Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA.
Kumekuwa na mpambano mkali kwenye mitandao ya kijamii hasa nani anafaa kuchaguliwa kuongoza chama hicho katika uchaguzi wa Januari 21
Katika uchunguzi uliofanywa na Molemo Media Tundu Lissu anaonekana kuungwa mkono kwa wingi na makundi ya watu yaliyo nje ya chama hicho kama vile wanaharakati na Watanzania waishio nje ya nchi wanaojulikana kama Diasspora.
Freeman Mbowe anayetetea kiti chake anaonekana kuungwa mkono na wapiga kura wengi ndani ya chama hicho.Mpaka sasa ana uhakika wa kupata walau robo tatu ya kura zote zitakazopigwa kwenye mkutano mkuu.
Uchunguzi wa Molemo Media umegundua Freeman Mbowe anaweza kuzoa kura zote za Unguja na Pemba kutokana na kile wajumbe wanachodai matamshi tata ya Tundu Lissu kuhusu Muungano na kuonekana hapendelei sana upande wa Zanzibar.
Pia uchunguzi unaonyesha Freeman Mbowe anaungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika Kanda za Nyasa, Kusini, Kaskazini, Magharibi, Victoria na Kanda ya Kati.
Tundu Lissu anaonekana amejikita zaidi Kanda ya Serengeti na kwa uchache Kanda ya Pwani.
Uchunguzi zaidi uliyo huru wa Molemo Media unaonyesha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wanaamini kumpigia kura Freeman Mbowe ni kukibakisha chama katika mikono salama na kumchagua Tundu Lissu ni kukiweka rehani kwa wanaharakati na watu waishio nje ya nchi.
Katika mahojiano yasiyo rasmi yaliyofanywa na Molemo Media pamoja na watu maarufu ndani ya Chadema, wamemshauri Freeman Mbowe endapo kama atachaguliwa kuwa Mwenyekiti basi amteue Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.
Wachunguzi wa mambo wanadai kumteua Tundu Lissu kuwa mjumbe wa Kamati Kuu kutasaidia kuimarisha umoja ndani ya chama hicho na pia kutaendelea kuwavuta wanaharakati waendelee kukiunga mkono chama hicho ambao wamekuwa wakikishabikia miaka mingi.
Yote kwa yote kilichobaki ni siku tu ya kupiga kura kwani inaonekana tayari idadi kubwa ya wajumbe wa mkutano mkuu wameshachagua upande wa kuunga mkono.
Vyovyote itakavyokuwa lazima nguvu yake itaonekana, simaanishi atakaposhindaKama atapita ni sawa,ila tuna mashaka atadhulumiwa ushindi wake
POROJOKwako ni Porojo lakini kwa wengine ni Facts.Demokrasia ndivyo ilivyo
Hujaeleweka unamaanisha niniPOROJO
Hata mimi nilitoka Kyela majuzi hakika huko kote ni Mbowe,hawajui habari ya Lissu kabisa.sampuli ya wahojiwa ilikuwaje? Mbona habari nusu nusu? Walihojiwa wangapi kutoka hizo kanda tajwa? ni wangapi walisema watamsapoti Mbowe na wangapi walisema lisu. Hivyo hivyo ni kati wajumbe wangapi waliowakataa wote. Wachunguzi wa mambo, ni akina nani hao? hawana majina, Identity au ni anonymous?
hata samlping from silent people inatosha ku justfy matokeo .sampuli ya wahojiwa ilikuwaje? Mbona habari nusu nusu? Walihojiwa wangapi kutoka hizo kanda tajwa? ni wangapi walisema watamsapoti Mbowe na wangapi walisema lisu. Hivyo hivyo ni kati wajumbe wangapi waliowakataa wote. Wachunguzi wa mambo, ni akina nani hao? hawana majina, Identity au ni anonymous?
Kama wewe upo CDM kwasababu ya Lissu ni bora ukafungasha virago asubuhi.Wacha wamchague Mbowe halafu watanzania waachane na CHADEMA kisha tuone 2025 watapata nini.
uko kyela ipi mkuu mbona huku wote ni lissu au uko kyela ya Malawi.Hata mimi nilitoka Kyela majuzi hakika huko kote ni Mbowe,hawajui habari ya Lissu kabisa.
Ukitazama uungwaji mkono huku mitandaoni utafikiri Lissu atachukua uongozi asubuhi.
Hali ni tofauti kabisa huku site.
Ngongo kwasasa Idodomya.
Umevimbiwa ubwabwa na samaki.uko kyela ipi mkuu mbona huku wote ni lissu au uko kyela ya Malawi.
Mbeya iliyojaa wanaharakati refer mwambukusi ndiyo wamchague mbowe?
Umevimbiwa ubwabwa na
kwa uongo wako huo wewe utakuwa umevimbiwa magimbi na maparachichi
Kwa taarifa yako muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wz cdm umepita.Lissu amejiondoa mwenyewe kwenye uongozi CDM, ningekuwa Mbowe nisingempa hata ujumbe wa CDM kwenye shina.
Lissu hajawahi kudai point za bure uwanjani acha kumlisha maneno!.Mnamfanya Lissu kaonekana mtoto sana... motives zake zinaonesha wazi hakutaka uchaguzi bali kuachiwa cheo kwenye sinia.... too low for him....