Pre GE2025 Freeman Mbowe ashauriwa akichaguliwa amteue Tundu Lissu kwenye uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe akishachaguliwa tena hakuna hiyo kitu unasema. Alishaamua kwenda anavyotaka kuamini hilo angalia makamu wake wenje. Hapo kutakua na jipya lipi?
Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tu
 
Molemo acha kutumika. Wenzako wengi walikuja na gia kama hii ya kwako lkn wametulizwa.

Lisu hakamatiki.
Molemo Media haiwezi kutumika lakini pia haitaogopa kusema ukweli hata kama itakera baadhi ya watu
 
Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tu
Kwa maelezo ya Lissu, wajumbe wa kamati kuu wote walimpinga kuhusu maridhiano lakini bado aliwakatalia akaendelea nayo. Akaenda kutoa na tuzo bila kamati kuu kushirkishwa

Mbowe hawezi kufanya maamuzi kwa vikao. Anaamua vile anavyotaka
 
Mbowe anaongoza kwa vikao hafanyi maamuzi kutoka kichwani tu
Mchagueni Mbowe halafu mje kwa raia mtuambie habari ya katiba mpya, ukomo wa madaraka, kupinga Rais Samia kugombea au kujiongezea muda (akifanya hivyo) na mambo mengine ya aina hiyo muone mtavyozomewa na wananchi.
 
Acha kuporosha labda ni kwa vile hamkusoma hesabu, ukiona poll. Ya lisu ana 84% na mbowe ana 16%

Kwenye statistical research hiyo ni sample space ambayo automatically inakuonyesha mshindi

logically waliopiga kura jf ni pamoja ja na wajumbe wa mkutano mkuu

Hiyo poll result ni pro rata na matokeo yatayotoka
 
Naona mleta mada umetumwa kuja kupima UPEPO na hicho kiutafiti chako uchwara
 
Hata mimi nilitoka Kyela majuzi hakika huko kote ni Mbowe,hawajui habari ya Lissu kabisa.

Ukitazama uungwaji mkono huku mitandaoni utafikiri Lissu atachukua uongozi asubuhi.

Hali ni tofauti kabisa huku site.

Ngongo kwasasa Idodomya.
 
hata samlping from silent people inatosha ku justfy matokeo .
Lisu yuko kimtandao na wanaharakati na sii wapiga kura.
 
Wacha wamchague Mbowe halafu watanzania waachane na CHADEMA kisha tuone 2025 watapata nini.
Kama wewe upo CDM kwasababu ya Lissu ni bora ukafungasha virago asubuhi.

Fikiria mtu wa kawaida anahoji siwezi kumchagua mtu kila mara yuko Belgium.

Kwanini Meneja wa kampeni wa Lissu ni Mch Msigwa?.Haya ni baadhi ya maswali niliyokumbana nayo vijijini.

Wananchi wengi wa kawaida ikiwemo wapenzi na wanachama wanahoji ni kwanini Lissu hana shukrani kama si Mbowe leo angeshasahaulika.
 
Hao wajumbe mkutano mkuu watakuwa ni wajinga wakiendelea kumchagua tena Mbowe baada ya miaka 21!.
Wakifanya hivyo baada ya uchaguzi tarehe 22 jan wanapaswa kupelekwa milembe hosp!!.
 
Hata mimi nilitoka Kyela majuzi hakika huko kote ni Mbowe,hawajui habari ya Lissu kabisa.

Ukitazama uungwaji mkono huku mitandaoni utafikiri Lissu atachukua uongozi asubuhi.

Hali ni tofauti kabisa huku site.

Ngongo kwasasa Idodomya.
uko kyela ipi mkuu mbona huku wote ni lissu au uko kyela ya Malawi.
Mbeya iliyojaa wanaharakati refer mwambukusi ndiyo wamchague mbowe?
 
Lissu amejiondoa mwenyewe kwenye uongozi CDM, ningekuwa Mbowe nisingempa hata ujumbe wa CDM kwenye shina.
Kwa taarifa yako muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wz cdm umepita.
 
Mnamfanya Lissu kaonekana mtoto sana... motives zake zinaonesha wazi hakutaka uchaguzi bali kuachiwa cheo kwenye sinia.... too low for him....
Lissu hajawahi kudai point za bure uwanjani acha kumlisha maneno!.
Ila sie wapenda mabadiliko ndio tunamshangaa huyo mbowe baada ya miaka 21 madarakani ana jambo gani jipya tena kwa maendeleo ya chama??
Busaratu ilitakiwa kumuongoza akae pembeni apishe wengine wagombee nafasi hiyo.

Hv pata picha baada ya miaka yote hiyo halafu itokee amebwagwa kwenye uchaguzi tarehe 21 jan si fedheha kwake hiyo?!.
Yaani atakiachia kiti kwa aibu tofauti angeamua kung'atuka mwenyewe.

Binafsi, nitawaona wajumbe mkutano mkuu ni wapumbavu wakimpigia kura mbowe hata kwa 35% achilia mbali kushinda uchaguzi kabisa!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…