SI KWELI Freeman Mbowe asitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Issue sio maandamano, kinachoendelea nchini Bora maandamano yangekuwepo,ili ujue watu wanaongea nini.
nadhani kiongozi makini mwenye maono, ikitokea changamoto anaketi chini kutafakari kudeal na kutafuta majawabu muafaka ya kutatua changamoto husika, na sio kuzidisha na kuchochea changamoto zaidi ambazo ni useless zaidi, kwamfano akafa mtu kwenye maandamano haramu ya samia must go?

si kamanda Ally Mohamed Kibao atasahaulika kabisa kama aliwahi kuuawa kikatili?πŸ’
 
hebu eleza vizuri gentleman kwa faida ya wadau πŸ’

hayo maandamano haramu yaliyopigwa marufuku,

ni kwajili ya kuleta fujo, maafa na kuharibu demokrasia na Samia Must Go?

au ni hiyo ingine ya mwanzo umetaja?πŸ’
Unatetea ugali wako πŸ˜†πŸ˜† time will tell
 
Ubalozi wa Germany, waichunguze hii radio ya . Kuna mamluki wa uvccm
 
Watanganyika,tunachofanyiwa na yule bibi ni sawa na kile kilichofanywa na waliotumwa na afande ,huku Dodoma.
 

Nimeona video ikizunguka kwenye mitandao ya Kijamii ikonesha kuwa jioni ya leo, mwenyekiti wa CHADEMA amesitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23


Chadema hawajawahipo kuandamana, tanganyika bado sana, mbowe ni coward sana, tundulisu aliwahi kutanganza maandamo baada ule uchaguzi walioibiwa siku iliyofuata ata yeye hakutoka, siku ya pili akakimbilia belgium
 
Aisee.

Mimi sio shabiki wa mambo ya kisiasa ila Mbowe ni mtu mmoja mstaarabu sana na muungwana sana,ni msikivu na mvumilivu,

Big up sana kwake.
Mbowe uliyekuwa unamjuwa ww sasaiv siye tena, hatoki ikulu na makoti yake nilijua tu watauchomoa, kwa sasaivi hasa kumjua nani ni chadema utapata tabu sana viongozi wote wanatumiliwa na kuendeshwa kama remote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…