SI KWELI Freeman Mbowe asitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Aseme alikurupuka.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Ngeeesee
 
Thubutuuu were weee ndio maana kaitanguliza familia Qatar kula bata wiki ya pili sasa.....

Hatotoka mtu.....hata wawe na NAFSI ya MDUDE NYAGALI hutomuona mtu akitoka maandamanoni....🤣
Kwenye Space ya Maria Sarungi kule X watu wana preach kama vile vita wanaiweza na wanaijua na mkwara kama vile wanapindua serekali muda wowote binafsi hamu yangu ni kuwaona tarehe 23 kama wanayo yasema kweli wanamaanisha
 
Kumbe wewe ni chawa, I thought I am discussing with a rational man! kwaheri!
Sina uchawa wowote, hujawahi niona nashabikia mwana siasa yoyote hapa.
Mimi ni muumini wa fact, no fact no right to speak. Mimi sijawahi kuwa nyumbu wa kuongea ushabiki wa kisiasa bila evidence.

Mbona umetoa evidence ya Idd Amin, kwa nini uwe mkali ninapotaka evidence ya Samia?? Keyboard worrier
 
Mbowe kama kawaida yake kashindwa kudeliver.

Kapoza hasira za wananchi msibani huko Tanga

Halafu leo analeta stori za viongozi wa dini. Viongozi gani hao, wa BAKWATA wasioona baya lolote la serikali?

Sasa viongozi wa dini na maandamano wapi na wapi?
 
y necessary implication, she is a culprit!
 
Ni logic kama kuna development mpya juu ya willingness ya serikali kujadiliana basi ni jambo jema.

Naamini serikali italeta hoja ama proposal nzuri mezani kwa sababu they have something to lose than to gain.

Safi sana.
Nyie ni wajinga sana swala ilikuwa kuandamana ili serikali iwataje wauaji ambao ni polisi akiwemo mafwele ghafla mmekimbia na albadili imeyeyuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…